kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Ndugu jitahidi kuwa na akili ndio maana kuna thread nilikuambia ujipeleke mwenyewe Milembe.Hivi huoni hata aibu!? Katika majimbo 265 kote nchini, mna wabunge 36 tu...pamoja na kuunganisha nguvu ya vyama pinzani na kuachiana majimbo...Na bado mnajiona mmefanya vizuri!? Kuwa mkweli katika nafsi yako tu...Huna sababu ya ku-reply hii comment.
CHADEMA ilipata Wabunge 35 wa kuchaguliwa kuongeza 36 Viti maalum
CUF - Ilipata wabunge 35 wa kuchaguliwa kuongeza 10 viti maalum
NCCR - Ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa
Hivyo idadi ya Wabunge Muungano wa UKAWA ni 117, huku wabunge wa kuchaguliwa wakiwa ni 71 sasa wewe hiyo 36 umeitoa wapi?
Nimekuambia jitahidi kuwa na fikra pana za kujenga kuliko kuendelea kujiaibisha hapa JF.