Naona hao wote kheri kuliko fundi nguo mara apime sehemu ya matiti mara makalio yaani taabu tupu.Ni mwendo wa kununua special tuu dukani kama ndo ivyo.
Though hatuwezi wakwepa madokta wazalishaji
Hilo la dactar, mi nkija oa mke wangu lazima atibiwe na dactari mwanamke.
Wakina dada jitahidini muwe madactar bwana kwa wingi.
Ila of kozi mi naponaga haraka nikikutana na daktar wa kike. Hilo haliitaji kengele.
Teh teh jamani wapi tatizo?kijana wa watu anaonyesha umahiri wake nyie mnamuonea wivu si haki hata kidogo,mbona na mijibabu inafanyiwa scrub au msg na vibinti vidogo huko saloon na hamlalamikiKuna tabia ya vijana imeanza siku hizi kwa kujiajiri kukata kucha za miguu za wake wa watu na wasichana wavivu kweli inanipa wasix2.
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja huku anakwaruza na kupuliza unyayo mpaka huyu mama anasinzia na amevaa kimini na ni mweupee pee sasa huyu kijana ananyanyua mguu mpaka begani kwake huku akiwa amekaa chini na huyu mama amekaa kwenye kiti. Na anaoneka ni mtu wa makamo ya kati.
Sidhani kama ni sahihi. labda wenzangu mnifumbue macho labda mimi mshamba.
Acheni mfumo dume, kwa hiyo wanaume ni sawa kuhudumiwa na wanawake lakini wanawake no, mi nasema nikimkuta mtu anamfanyia mume wangu sijui facial baada ya kunyoa ni viwembe tu machoni kila mtu ahudumiwe na mtu wa jinsia yake, kila siku ooh sitaki mke wangu hivi na hivi lakini mnasahau nyie matendo yenu, kwa nini isichezwe fair play?
Kumbe naniliu ni mdada! Mimi nilidhani ni mkaka. Sasa kama wewe unaenda kukatwa kucha za mikono na miguu na kupakwa rangi na kabla ya hayo huyo mkaka akakuosha mikono na miguu yako huku akikufanyia massage ambayo unajisikia kusinzia kwanini mumeo nae asifurahie kufanyiwa facial na mdada. Dar lini?
Aisee, wakuu hapo mimi siruhusu kabisa, itabidi aende saluni akatengenezwe na wanawake wenzie
Ndo maana nikasema iwe fair play wadada waoshwe miguu na wagosi, wakaka nao wafanyiwe massage huko kwa vinyozi full stop, sio sijui nitaua mtu, mara ooh nitamshonea nguo mwenyewe, mara doctor wa kuzalisha wawe wanawake, nanunua bunduki, shida nini? kama ni hivyo kila mtu awe na bunduki yake basi ndio itakuwa suluhisho, vinginevyo mgosi ataendelea kukata kucha, mparee ataendelea kushona.
Sawa mpenzi nimekuelewa sasa Dar lini sikukuu zote zimeshakwisha au bado uko vekesheni?
bado niko vekesheni mpenzi Ujengelele ila nimekumiss sana karibu nitarudi
bado niko vekesheni mpenzi Ujengelele ila nimekumiss sana karibu nitarudi
Hata mimi nimekumiss sana mpenzi.
Waarabu wa pemba.....
wajuana kwa vilemba yakhe! LOL happy new year!
Nini?