wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

Thus kwa mpango huo wanaume wamefunguka macho now days.hakuna no love.loss no love found! Thus! Will lead to !destructed of african culture!!
 
Honey this is your life..
Ukitaka kuwapanga mia na nusu wapange tu..

ukitaka wenye ma BMW, Jaguar, Aston Martin, mchukue.
Ukitaka aaepokea zaidi ya $ 10, 000 kwa mwezi we mchukue..

nitachotaka kusema you only live once.
Kwa hiyo ishi jinsi utakavyo mamito.....

staki mali zote hizo, nataka milioni mbili tu kwa mwezi ananifaa sana
akiwa tajiri atanisumbua
 
sijiuzi.Hata kapuku nampa uroda ila awe handsome

Sikununui bana mie nautaka uroda wako tu ila unavutiaaaaa......?
Nnaweza nkakutana wewe vitu vyote vikasinyaaa utafikiri nimetua Kwenye Barafu........
 
hahahahahahahahahaha
Kumbe hata ye alikuwa kwenye list ukamtosa.
I wonder why kanuna lolz.........
Kama unampenda mwanaume usimtongoze, ukimtongoza UTAMKOSA MOJA KWA MOJA
MATOLA nilimpenda kumtongoza akaniona vipi flan NILIUMIA SANA, baadae akajaanza kuomba msamaha NIKAMTOSA na yeye aumie hata kama NILIMPENDA
 
Acording to michavelli"kama ni kiongozi hutakiwi kuwa na huruma!you can kill hata mkeo#wewe uciniambie mimi.kwamba sio kila mwanaume anakupenda.kwa hiyo!
 
Kama unampenda mwanaume usimtongoze, ukimtongoza UTAMKOSA MOJA KWA MOJA
MATOLA nilimpenda kumtongoza akaniona vipi flan NILIUMIA SANA, baadae akajaanza kuomba msamaha NIKAMTOSA na yeye aumie hata kama NILIMPENDA
Lizzy she is my everything na nimempa likizo ya kuingia JF, kama umemmisi nipm nitakupa simu uongee naye.
 
nakupa uroda kama nimekutaka na sii kwamba kwa kuwa unahela
hata wa milioni mbili akiwa presentable napenda wewe na mamilioni yko huninunui

Haya tupange basi.......teh teh teh hapo ndo patamu sasa...........!
 
easiest way to receive love is to
give love and the easiest way to
loose love is to hold on too tightly.
 
ah! nilishajua tu, watu wenyewe unawajua kabisa kumbe
Lakini sijui kama ipo siku watakuja kukutongoza, But si mbaya endelea kusubiri. Kumbuka tu kuwa na wenyewe wana wengi kila mtu ana si pungufu ya wanawake 10 wa kila ladha, sijui yako.
Sasa mimi katika milioni 2 kama nimepungukiwa elfu kumi je utanikubali? mshahara utaongezeka July! (Mkataba ukiisha sijui tena utaniacha?)

lol, ntakusitiri/ntakupa mpaka hiyo july kitakapoeleweka, kiukweli huwa nashangaaga unakuta mdada mrembo haswa, anavutia sana(sijui tabia) yupo 30's na single, hana hata bfnd wa permanento,wanaishilia kuwa mapambo ya wanaume za watu kuzungushwa kila ma bar mjini kama mapambo, kumbe chanzo ni mambo kama haya, poleni kwenu nyote, wadada/wakaka, mdada mwenye fikra hizi/mkaka atakaeangukia kwa dizaini hii! inasikitisha sana,kabisa mtu anajiona yupo kiwango kiasi hicho? sasa mbona hatokei huyo mwenye mapesa yake akamtuliza ndani? hao wanaowaona wenye mapesa sasa hivi wamechuma na sie wake zao wakati huo,(ushauri/mawazo etc) ndio wanaowafanya mnajiona viwango but ishu ni dk za mwisho, mtawatafuta hata hao mnaowadharau sasa hivi hamtawapata mana nao watakuwa walikamatwa na waliowadhamini wakati huo na maisha yao super wanayasongesha.
 
Marytina karibu tena mamake.

mmwweeehhh Nili miss hiyo mama Mchaga baba Mngoni.

anyway wanasema ridhiki kokote my dear .

hawa kaka zetu hawawezi jua elemu au financial situation yako
mpaka watakapo ongea nawe na wakujue vizuri . so waache tu
wajaribu .. sioni mbaya.

na huwezi jua mtu ana nini au tabia yake yukoje kwa kumwangalia tu.
ila sisi binadamu tunatabia ya ku "Judge" haraka mno. tunaangalia yule
kavaa nini, anakula wapi, ana gari ama bajaji etc halafu papo hapo tumesha
conclude ooohhhhh yule "tajiri, ama hana kitu " ...

mwisho wa silku...

life goes on ........................................
Umesema vema wangu, hakuna binadamu anayezaliwa na mali au status, hivyo vyote huja on the way. Kuna watu waliwakataa wanaumwe walioonekana ni maskini na wasiojiweza. Kwao hawana kitu na wanasomea degree ya ualimu tu, sasa hivi hao waliokataliwa ni mawaziri, na hao wadada waliojifanya wapo matawi ya juu waliishia kuolewa na walevi wasiojali hata familia. Katika kuchagua mme, angalia zaidi uwezo wake wa kuchambua mambo na maono yake ya kimaisha. Usiangalie ana nini na anastatus gani.

Status na mali tuna-acquire, kwahiyo ipo siku zitatoweka na tutakuja kushangaa kuona wale waliokuwa maskini na hawana hata business ndiyo akina Bhahressa wa wakati huo. Hakuna kitu huwa nakichukia kama cha kukutana na mdada siku ya kwanza tu anakuuliza unafanya kazi wapi, mshahara wako ni kiasi gani? Oooh, shit I hate this! Hata ningekuwa na kazi ya maana na mshahara wa kueleweka, lazima tu nikudanganye despite uzuri wako.

Love a person for who he is and not for what he has! Maana siku vikitoweka utabaki na upendo kwa huyo mtu lakini kama unapenda status yake na mali zake, ni dhahiri siku vikitoweka, na ndoa itasambaratika.
 
Kama unampenda mwanaume usimtongoze, ukimtongoza UTAMKOSA MOJA KWA MOJA
MATOLA nilimpenda kumtongoza akaniona vipi flan NILIUMIA SANA, baadae akajaanza kuomba msamaha NIKAMTOSA na yeye aumie hata kama NILIMPENDA

hahahahahahahahahah
Kashe she mpauko. Usjali nahakika kuna wanume bora kwenye list yako.
usiokote kila lidubwasha.
 
HUFAI KWENYE RESERVE LIST MANAKE HUNA MILIONI MBILI KWA MWEZI

wewe kama uko presentable nitakuvulia na nitakufanya mpaka utosheke ila na wewe lazima unipe raha ya kweli
Amin nakwambia reserve list wanakaa wenye hela hiyo, wewe ntakupaga bure ila you must be very presentable na usinigande cz mimi sio mpenzi wako

Ina maana hata reserve list wanakaa hao wenye 2 tu! Ah! hii kali.
Iyo very presentable ndo haijulikani, Maana isijekuwa ikawa ndo kpeleka moyo wako buchani bure!

 
hahahahahahahahahah
Kashe she mpauko. Usjali nahakika kuna wanume bora kwenye list yako.
usiokote kila lidubwasha.

Nimependa kidubwasha tu! kumbe kuna vitu vya aina iyo!
Angalia vingine hugeuka baadaye na kuwa bora ya vile vilivokuwa vid.. mwanzo
 
Back
Top Bottom