malivawan10
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 541
- 310
Usijionyeshe unampenda sana mwanamke!!utakuja kuumia mwenyewe!
Umesema vema wangu, hakuna binadamu anayezaliwa na mali au status, hivyo vyote huja on the way. Kuna watu waliwakataa wanaumwe walioonekana ni maskini na wasiojiweza. Kwao hawana kitu na wanasomea degree ya ualimu tu, sasa hivi hao waliokataliwa ni mawaziri, na hao wadada waliojifanya wapo matawi ya juu waliishia kuolewa na walevi wasiojali hata familia. Katika kuchagua mme, angalia zaidi uwezo wake wa kuchambua mambo na maono yake ya kimaisha. Usiangalie ana nini na anastatus gani.
Status na mali tuna-acquire, kwahiyo ipo siku zitatoweka na tutakuja kushangaa kuona wale waliokuwa maskini na hawana hata business ndiyo akina Bhahressa wa wakati huo. Hakuna kitu huwa nakichukia kama cha kukutana na mdada siku ya kwanza tu anakuuliza unafanya kazi wapi, mshahara wako ni kiasi gani? Oooh, shit I hate this! Hata ningekuwa na kazi ya maana na mshahara wa kueleweka, lazima tu nikudanganye despite uzuri wako.
Love a person for who he is and not for what he has! Maana siku vikitoweka utabaki na upendo kwa huyo mtu lakini kama unapenda status yake na mali zake, ni dhahiri siku vikitoweka, na ndoa itasambaratika.
hivi hii ni TGS ngapi vile!!
Nimependa kidubwasha tu! kumbe kuna vitu vya aina iyo!
Angalia vingine hugeuka baadaye na kuwa bora ya vile vilivokuwa vid.. mwanzo
home arusha, mama mchagga baba mngoni
jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?
think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.
....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.
Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.
...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???
Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee
One for the honeys who roll blunts up but don't smoke
Two for the few who see potential in you when you broke
Three for the G they got, they game is hot I give it to you
Double life wife- play with the man that's livin' with you
dear punguza hasira
NILISHAWAI KUMPENDA MATOLA na hivyo siko tayari kuona ukimdhalilisha hata kama NILIJAMTOSA
anakijisehemu chake katika moyo wangu hata kama hicho kijisehemu nimekiban ila kipo.
Shosti tutakosana kwa sababu ya MATOLA mwache hasira zitamwisha, haya maisha hayaitaji hasira kiivyo
Kwani nilikosea KUKUPENDA?Lizzy she is my everything na nimempa likizo ya kuingia JF, kama umemmisi nipm nitakupa simu uongee naye.
a modern girlMarangu au machame..???
ahaa bwana aee.
Kuna wanume wengine wanapenda kujiona wajuzi wa kila jambo..
na wengine ma " Control freaks" mi hao wote nawaona madubwasha tu ..
Hawana lolote jipya.
Niliamuwa kumuachia uwanja Mmasai atese kwa raha zake. Life is too short to hate.Kwani nilikosea KUKUPENDA?
Lizz ni rafiki yangu ila hiyo haikuwa sababu ya wewe kunikataa kwa stahili ile, ungenikataa kistaarabu
sijiuzi.Hata kapuku nampa uroda ila awe handsome
Staki mazoea mabaya na mtu.
Kamwe haiwezi kuwa real life kwa watu wa aina yako,..wenzio wanayaishi, jiulize ni wapi uliipoyashindwa urekebishe. Maringo kwa mwanamke ni sawa lakini kujipaisha Levels dah utakesha hata mwenye hivyo vigezo unavyovitaka ata heat na kurun tu, "wakula naye ni aliyechuma naye.."miss u dear matty, it has been long time
hayo unayozungumzia ni mapenzi ya tamthilia na sio real life.Explore the opportunities kama zipo achanaga na kulilia mapenzi
dear punguza hasira
NILISHAWAI KUMPENDA MATOLA na hivyo siko tayari kuona ukimdhalilisha hata kama NILIJAMTOSA
anakijisehemu chake katika moyo wangu hata kama hicho kijisehemu nimekiban ila kipo.
Shosti tutakosana kwa sababu ya MATOLA mwache hasira zitamwisha, haya maisha hayaitaji hasira kiivyo
Na ndiyo maana wanawake wengi wasomi hawaolewi kwa sababu ya dharau, au hata kama wamesoma wote chuo wakamaliza, kisha wakaja kuoana ndoa zinakuwa hazidumu kwa sababu ya dharau,na wanaume hawapendi dharau.
wewe angalia kama anaweza kumdu maisha na mnaweza kukop pamoja, na mnaweza kutunza familia no matter what! hata kama ana degree wewe una master mheshimu, utaweza kujenga nyumba yenye heshima ,na utakuwa mfano kwa wote.
Marytina kuna wadada wako na tabia kama yako, mpk leo hii wako single kwa sababu ya kuchagua wanataka waolewe na wenye pesa, au wabunge, sasa hivyo vyote haviji hivi hivi bila kutafuta naye. Labda mtaolewa na wajane waliofiwa na wake zao.
kumbe dau la kuku linampata mwewe???lol, ntakusitiri/ntakupa mpaka hiyo july kitakapoeleweka, kiukweli huwa nashangaaga unakuta mdada mrembo haswa, anavutia sana(sijui tabia) yupo 30's na single, hana hata bfnd wa permanento,wanaishilia kuwa mapambo ya wanaume za watu kuzungushwa kila ma bar mjini kama mapambo, kumbe chanzo ni mambo kama haya, poleni kwenu nyote, wadada/wakaka, mdada mwenye fikra hizi/mkaka atakaeangukia kwa dizaini hii! inasikitisha sana,kabisa mtu anajiona yupo kiwango kiasi hicho? sasa mbona hatokei huyo mwenye mapesa yake akamtuliza ndani? hao wanaowaona wenye mapesa sasa hivi wamechuma na sie wake zao wakati huo,(ushauri/mawazo etc) ndio wanaowafanya mnajiona viwango but ishu ni dk za mwisho, mtawatafuta hata hao mnaowadharau sasa hivi hamtawapata mana nao watakuwa walikamatwa na waliowadhamini wakati huo na maisha yao super wanayasongesha.
Kwa hilo nakuunga Mkono,
Ukiona hilo utakuwa umemaliza maana ishasemwa "Ajikwezaye hushushwa" na ajishushaye hukwezwa.
unajua ukimpenda mtu hata kama hukumpata kuna hisia flani zinakuwaga juu yakehahahahahahahahahah
Kashe she mpauko. Usjali nahakika kuna wanume bora kwenye list yako.
usiokote kila lidubwasha.