Hiyo nayo ndo hatari, Uroda nao wa mara moja moja labda niwe nami nina lengo hilo,
Ila kam nimekupenda si utanitesa sana, maana katka hali hiyo wewe ndo utakuwa ukitaka, wakati mapenzi hayapo ivo, ukitaka au nikitaka.
Kwa kufanya uzinzi tu mi sipo, na labda kweli vijisenti vinatakiwa! Lakini kama nimekupenda NO!
You have to know this! Sio kila anaekutongoza amekupenda, sometimes anakuangalia tu (sometimes its a game, hivi kwa muonekano wako ukoje i mean how cheap you are)
Halafu hata kama nakupenda, upendo hauangalii hayo makitu (hela wala elimu) uroda uroda tu!
Lastly! Mwanamke ni mwanamke tu, awe profesa au mtoto wa shule ya msingi kwenye mapenzi they all behave the same! Anachopenda hakieleweki, so we try our luck sometimes! Huwezi juu unabahati gani.
mie nakielewa nachikitaka na nachokilinda
kipata cha kuanzia milioni mbili kwa mwezi.Hii haina maana mwenye milioni tano atakubaliwa wa mbili akataliwe la hasha
Mkaka akishakuwa na hiyo minimum qualification kwake najiachia na napenda regardless waje wengine wenye maximum qualifications
25th October 2012 10:47 #1 JF Senior Expert Member Array
Join Date : 20th January 2011
Posts : 4,808
Rep Power : 1401
Likes Received871
Likes Given270
[h=2]
........duh nimeisha....mwili unamtaman sana huyu[/h] arusha, baba mngoni, mama mchagga
.........duh nimeisha..........wana jf nina mchumba na staki acha naye kwa vyovyote ila
kuna mkaka yupo floor ya tano ni mzuri na mpole kupindukia.Nahisi staweza kumkataalia naomba asiwe malaya manake sina nguvu ya kumkataa.Tena nashukuru sina ujasiri wa kumtongoza mwanaume ningeshafanaya hivyo
Ofisi yao imehamia kwenye jengo letu karibuni...siku ya kwanza nlikutana naye kwenye lift nkaamua kupandisha nione anaposhuka.Alinipa salam nkashindwa hata kuitika.
Kama nuksi tukakutana kafeteria baada ya siku mbili tukakaa meza mmoja nlikula kidogo tu manake alipoanza mazungumzo nilijiona akili inavyonihama nkajipigia simu mwenyewe nkapokea nkajifanya naitwa juu.
Kama vile ameshanishtukia manake leo asubuhi kanitania alikula sahani zote mbili.
Najiuliza
1.Atakapoomba namba ya simu itakuwaje (hivi kwa umri huu kumnyima mtu namba nitaeleweka wakati tupo jengo mmoja).......AKIIPATA NAMBA YANGU NIMEISHA NA KUANZIA LEO WAKATI WA KULA SIENDI NA SIMU
NB:jaman huyo kaka ni mzuri sio mweupe wala mweusi, ana lafudhi ya bara, sio mfupi sio mrefu, sio chembamba sio chibonge.
MOYO NA AKILI VIMENIKATAZA KUMKARIBIA HUYU MKAKA ila MWILI unamtamani sana hadi ngozi imebadilika na kuwa rafu pia rangi imenifubaa gafla kwa kumtaka kila napomkumbuka
waajiriwa wa serikali ni wavivu hata katika kufikiri, mie natoka na watu wanaofanya kwenye private companies wenye uzoefu wa kufanya kazi under high pressure, result oriented na sio wapiga stori wa halmashauri na serikalini
ah! nilishajua tu, watu wenyewe unawajua kabisa kumbe
Lakini sijui kama ipo siku watakuja kukutongoza, But si mbaya endelea kusubiri. Kumbuka tu kuwa na wenyewe wana wengi kila mtu ana si pungufu ya wanawake 10 wa kila ladha, sijui yako.
Sasa mimi katika milioni 2 kama nimepungukiwa elfu kumi je utanikubali? mshahara utaongezeka July! (Mkataba ukiisha sijui tena utaniacha?)
nimekumiss ile mbaya dear
ni kweli huwezi jua status ya mtu kwa haraka ila kama yeye alipanga kuniwinda na anajua swaga zangu kwa nini hata asiigizie namna flani ili nimweke reserve list na kuanza kuchimbana mdogomdogo mwishoe nijue status yake
wanajikosesha wenyewe waha wakaka
th first and fore most anahiyo milioni mbili
pia ni mpole mcha mungu muungana na ananisikiliza
anafanta tour operator (details withheld)
hata sitafuti bwana bali wanaambia nyie tongoza tongoza muwe mnaangalia nani wa kumtongoza
Hiyo nayo ndo hatari, Uroda nao wa mara moja moja labda niwe nami nina lengo hilo,
Ila kam nimekupenda si utanitesa sana, maana katka hali hiyo wewe ndo utakuwa ukitaka, wakati mapenzi hayapo ivo, ukitaka au nikitaka.
Kwa kufanya uzinzi tu mi sipo, na labda kweli vijisenti vinatakiwa! Lakini kama nimekupenda NO!
th first and fore most anahiyo milioni mbili
pia ni mpole mcha mungu muungana na ananisikiliza
anafanta tour operator (details withheld)
hata sitafuti bwana bali wanaambia nyie tongoza tongoza muwe mnaangalia nani wa kumtongoza
ah! nilishajua tu, watu wenyewe unawajua kabisa kumbe
Lakini sijui kama ipo siku watakuja kukutongoza, But si mbaya endelea kusubiri. Kumbuka tu kuwa na wenyewe wana wengi kila mtu ana si pungufu ya wanawake 10 wa kila ladha, sijui yako.
Sasa mimi katika milioni 2 kama nimepungukiwa elfu kumi je utanikubali? mshahara utaongezeka July! (Mkataba ukiisha sijui tena utaniacha?)
usinletee shida zako hapa
kama uko presentable na una ham ya uroda waweza kupewa na sii niwe mpenzi wako wa kudumu
mkataba ukiisha nakupa miezi sita uwe una kazi ingine
hakunaga mapenzi jamaa kupendana ni zama za kale.
Mungu kaniumba kila nguo kunikubali so wakaka jiangalieni sio kila mmoja anajiletaleta tu bila kujicheki cv yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.