Wajuzi wa Magodoro mazuri, msaada wenu tafadhali

Wajuzi wa Magodoro mazuri, msaada wenu tafadhali

Una umri gani mkuu? Ulishawahi kusikia redioni tangazo la "Alinunua Babu, hadi Mjukuu analitumia?" Basi hilo ndilo godoro!
 
Sina nia mbaya lakini ni vema tukajua umeoa toka mkoa gani ndio tukupe ushauri mzuri. Mfano kama ulioa Mtwara ni vema ukanunua la sufi au orthopaedic mattress au kama ulioa Bukoba ushauri ununue godoro lenye kava ya ngozi.

Sasa tuambie umeoa wapi tukupe material au ni Moshi kama mimi?
 
Sina nia mbaya lakini ni vema tukajua umeoa toka mkoa gani ndio tukupe ushauri mzuri. Mfano kama ulioa Mtwara ni vema ukanunua la sufi au orthopaedic mattress au kama ulioa Bukoba ushauri ununue godoro lenye kava ya ngozi.
Sasa tuambie umeoa wapi tukupe material au ni Moshi kama mimi?


Hahahahahha mliooa Moshi mnanunua ya aina gani mkuu?
 
Madam wewe labda ulipata zuri...
Mimi nilinunua baada ya miezi mitatu liligeuka kua kaniki.

Tanform ni funga kazi..
NOTE : kuna fake.

SWALI KWA YEYOTE MWENYE KUJUA..
Kati ya
Dodoma Halisi
Dodoma Asili na
Dodoma QFL lipi ni lipi?
Lipi ni bora?
Mi nashindwa kuelewa kabisa.
 
Madam wewe labda ulipata zuri...
Mimi nilinunua baada ya miezi mitatu liligeuka kua kaniki.

Tanform ni funga kazi..
NOTE : kuna fake.

SWALI KWA YEYOTE MWENYE KUJUA..
Kati ya
Dodoma Halisi
Dodoma Asili na
Dodoma QFL lipi ni lipi?
Lipi ni bora?
mi nashindwa kuelewa kabisa.
Langu bado piruu kabisa. Nilinunua kwa duka la kiwanda
 
wakuu haya magodoro ya TANFOAM ni babalao mji mzima wa kyela ni duka moja tu yana uzwa tena yapo mawili pale 5x6 ni laki mbili na hamsini R
Wa mikoani mnauziwa vitu kwa bei ya juu sana utafikiri mpo nje ya nchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom