Wajuzi wa Magodoro mazuri, msaada wenu tafadhali

Royal Warrior

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
1,166
2,117
Habari zenu,

Naomba kwa wajuzi wa magodoro mazuri yale ambayo ni magumu sana na yanadumu na ugumu huo kwa muda mrefu (miaka kama yote).

Naomba mnielekeze hiyo brand/kampuni ya magodoro hayo, na naweza yapata wapi kwa hapa Dar.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Habari zenu,

Naomba kwa wajuzi wa magodoro mazuri yale ambayo ni magumu sana na yanadumu na ugumu huo kwa muda mrefu (miaka kama yote).

Naomba mnielekeze hiyo brand/kampuni ya magodoro hayo, na naweza yapata wapi kwa hapa Dar.

Natanguliza shukrani za dhati.
Tanfoam Arusha ni zaidi ya magodoro.
Alilinunua babu, hadi leo ninalitumia.

Majina yote ya magodoro nchini Tanzania hauwezi linganisha na Tanfoam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom