Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,117
Habari zenu,
Naomba kwa wajuzi wa magodoro mazuri yale ambayo ni magumu sana na yanadumu na ugumu huo kwa muda mrefu (miaka kama yote).
Naomba mnielekeze hiyo brand/kampuni ya magodoro hayo, na naweza yapata wapi kwa hapa Dar.
Natanguliza shukrani za dhati.
Naomba kwa wajuzi wa magodoro mazuri yale ambayo ni magumu sana na yanadumu na ugumu huo kwa muda mrefu (miaka kama yote).
Naomba mnielekeze hiyo brand/kampuni ya magodoro hayo, na naweza yapata wapi kwa hapa Dar.
Natanguliza shukrani za dhati.