Wajumbe wa UKAWA tele Dodoma

wanaweka misimamo ya ajabu ambayo members wengine hawajaridhia kutoka rohoni ndo matokeo hayo
 
Mleta habari ameulizwa majina ya hao aliowaona Dodoma, anajibu Raya Hamisi. Kumbe kamuona Raya Hamisi halafu akahitimisha kwa heading "Wajumbe wa UKAWA tele Dodoma". Kazi kwelikweli. By the way, huyo Raya ameenda Bungeni au amepita Dodoma akabreak kidogo? Bora hata angeongea nae huyo Raya mwenyewe ambaye ndiye wajumbe TELE.

sugu na yeye yupo
 
Kwa wajumbe wa CHADEMA na NCCR hata wakirudi wote hamna shida ila tunawalinda wale 16 wa CUF toka zanzibar
 
Uongo uko wapi dogo, bila wajumbe 16 kuongezeka kutoka znz hakuna katiba!

Sio kuwa hakuna katiba. Itaitwa katiba ikishapata theluthi mbili za wananchi wa bara na visiwani. Nakuhakikishia hata wakiwapata hao 16 toka visiwani na rasimu hiyo kupata theluthibli za wabunge wa pande zote kwenye bunge la katiba, ikifikishwa kupigiwa kura Zanzibar haitapita. Kwa kulielewa hilo ndio maana bunge maalumu lilifanyia marekebisho kanuni zake ili zile sura 15 zijadiliwe zote ndipo zipigwe kura ya kuzipitisha mwishoni na siku walizopewa zikifika ukingoni ili kura zisipotosha hela zao za posho zitakuwa zimetosha tena kwa asilimia mia moja. Hapo ndipo aliposimama Nchemba na kueleza wasi wasi wake.
 
Kwa nini msiwalipe hata laki mbili tu ili wasuse? Pesa ya wafadhili inafanya kazi gani?

wataacha kuzitafuna - za ruzuku tu wanazishughulikia hadi zinaleta sintojua katika vyama vyao ambavyo bila ukawa tungekuwa tunasikia mengi ingawa wameanza na hadithi za kutunguliwa - kwa hofu ya nani sijui!!
 
Njaa mbaya sana acha warudi lakin wamejidhalilisha sana kwa usaliti wao.
sio njaa mkuu, ..lissu na wenzake baada ya kupewa tende halua na gahwa na seif bila consultation na wenzao wakaanzisha ukawa. sasa wanawaburuza wenzao kuvunja jamhuri ya muungano wa tanzania.
 
sio njaa mkuu, ..lissu na wenzake baada ya kupewa tende halua na gahwa na seif bila consultation na wenzao wakaanzisha ukawa. sasa wanawaburuza wenzao kuvunja jamhuri ya muungano wa tanzania.

inavunjwaje?
 
Back
Top Bottom