Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,757
- 2,353
Lakini salamaHatari
Zimbabwe wanatumia dollars?Hujajibu swali, that much is clear.
Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?
List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.
Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?
Na hizi dollar ni dollar gani?
Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.
Imeniletea NSA au NSSNdugu zangu mbona hamleti jibu jamani?niliwapa kahome work sijui mmekasahau?niliwaomba mgeuze neno "illuminati"kinyume.Kwa kifupi linakuwa "itanimulli",sivyo?sasa bonya hiyo itanimulli.com!nini kinafunguka jamani?
kumbe ni dola ya zimbabwe, nilidhani wanatumia USD.Ulikuwa hujui?
Kwaio Kuna Zimbabwe Dollars na United States Dollars.Ulikuwa hujui?
Unajua ku Google?Kwaio Kuna Zimbabwe Dollars na United States Dollars.
Dollar ya Zimbabwe na United States ipi iko juu?
DUHDuh jamaa wanapanga hadi nani awe Rais? mi nilikua sijui thank for letin me know au ndo Freemason?
Povu la nini sasa?Acha uongo Wako wewe mshamba wewe