Endelea kufanya updates! Hao nyumbu wengine wanaotajwa picha zao ziko kwenye Facebook! Wala si za kutafuta! Endelea ku updates walau wafike 3/4!Listi inaendelea..
tuleteeni wakuu, tujue jambo la kuombea kwa Mungu, yaani wanafki wanazunguka misikitini na kanisaninkuombewa kumbe wanajua namna wanavyoibaE
Endelea kufanya updates! Hao nyumbu wengine wanaotajwa picha zao ziko kwenye Facebook! Wala si za kutafuta! Endelea ku updates walau wafike 3/4!
Sawa na raisi anaposema mkurugenzi wa uchaguzi tunakupa nyuma,gari na mafuta ukiruhusu jimbo liende upinzani kazi huna wewe unaeleaje?Lakini hao wakurugenzi huwa tunawaapisha na kuwasisitiza kutenda haki kwa vyama vyote
hayo ni manenoSawa na raisi anaposema mkurugenzi wa uchaguzi tunakupa nyuma,gari na mafuta ukiruhusu jimbo liende upinzani kazi huna wewe unaeleaje?
Haisaidii kitu. Nyie badala ya kwenda huko vijijini mtangaze sera zenu mnakimbilia mtandaoni. Heri nyumbu wa mbugani kuliko nyumbu wa CHADEMAHii ni thread maalumu kwa Wakurugenzi wa Halmashauri (DED) ambao ni wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wakati huo huo ni makada wa Chama cha Mapinduzi.
View attachment 1098421
View attachment 1098390
1. Kisena M. Mabuba, DED wa Halmashauri ya Misungwi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Jimbo la Misungwi.
View attachment 1098391
2. Lutengano G. Mwalwiba, DED wa Magu na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Jimbo la Magu. 2015 alishiriki Kura za Maoni za Ubunge za CCM Tanzania Busokelo.
View attachment 1098393
3. Anna-Claire Shija, DED wa Same na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Same Mashariki na Magharibi. 2015 alishiriki Kura za Maoni za Ubunge wa CCM Tanzania Sengerema.
View attachment 1098395
4. Netho Ndilito, DED wa Mufindi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya Mufindi Kaskazini na Kusini.
View attachment 1098396
5. John Lipesi Kayombo, DED wa Musoma na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya Musoma Mjini n Vijijini. Alikuwa mNEC wa CCM kupitia Vyuo Vikuu.
View attachment 1098397
6. Esther Anania Chaula, DED wa Ukerewe na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Ukerewe.
View attachment 1098432
7. Elias Mahwago Kayandabila, DED wa Mbogwe na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Mbogwe. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Kigoma Kaskazini.
View attachment 1098495
8. Jefrin Lubuva, DED wa Mwanga aliyekuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Osterbay kwa tiketi ya CCM.
9. Adeladius Makwega, DED wa Mbozi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Mbozi. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Jimbo la Kigamboni.
10. Pius Shija Luhende, DED wa Itigi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya Manyoni Magh na Mash. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Kishapu.
11. Jimson Peter Mhagama DED wa H/ wilaya ya nyasa kabla ya uteuzi wake alikuwa Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma.
12. Falesy Moh’d Kibasa, DED wa Kondoa DC na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Jimbo la Kondoa Vijijini. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Jimbo la Iringa.
13. Waziri Mourice, DED wa Karatu na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Karatu. 2015 alishiriki Kura za Maoni za Ubunge CCM Kigoma kusini.
14. Kaigounze Alexius, DED wa Mlele Mkoani Katavi, na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Mlele.
15. Khalifa K. Mponda, DED wa Kondoa Mji na Msimamizi wa Uchaguzi wa Kondoa Mjini.2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Jimbo la Moro Kusini Mashariki.
16. Florent Laurent Kyombo, DED wa Mvomero na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Jimbo la Mvomero. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Jimbo la Nkenge.
17. Alphonce Magori, DED wa Butiama msimamizi Uchaguzi Mkuu Musoma vijijini, 2015 aligombea ubunge Jimbo la Musoma Mjini.
18. Yohana E Sintoo, DED wa Hai na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Hai. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM jimbo la Singida Kaskazini.
19. Listi inaendelea....View attachment 1099586
View attachment 1099584
Kama sheria hazifuatwi zinavunjwa waziwazi na viongozi hata ukikesha vijijini ni kazi bure.Haisaidii kitu. Nyie badala ya kwenda huko vijijini mtangaze sera zenu mnakimbilia mtandaoni. Heri nyumbu wa mbugani kuliko nyumbu wa CHADEMA
laana za wamama wa kichaga lazma zimpate, umeona zile hekma za askofu shoo zilivyomlandua jr?View attachment 1099731
Huyu ni Yohana E Sintoo, DED wa Hai na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Hai. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM jimbo la Singida Kaskazini. Serikali inakatia rufaa hukumu ya kuwaondoa MaDED kusimamia Uchaguzi kwa sababu hawa ni #PumziYaCCM #ChaguziHuru
#WaTZsiWajinga https://t.co/ozMOwN828U
Ibesa mau we uliyo yaandika ni mawe! si ni maneno kama aliyoandika vonix kuhusu kauli ya Rais?hayo ni maneno
Kwa hiyo huyu jamiiforums ndo atawatetea sheria zifatwe?Kama sheria hazifuatwi zinavunjwa waziwazi na viongozi hata ukikesha vijijini ni kazi bure.
Kumbe wamama wa kichaga wanatoa laana kwenye siasa? Mungu kawapa wachaga pesa na akawanyima akili. Hii ni shida sana. sasa askofu shoo anataka kutengeneza nchi ya uchaga? Heri nyumbu wa mbugani kuliko nyumbu wa CHADEMAlaana za wamama wa kichaga lazma zimpate, umeona zile hekma za askofu shoo zilivyomlandua jr?
wewe nenda na ushamba wako?Kumbe wamama wa kichaga wanatoa laana kwenye siasa? Mungu kawapa wachaga pesa na akawanyima akili. Hii ni shida sana. sasa askofu shoo anataka kutengeneza nchi ya uchaga? Heri nyumbu wa mbugani kuliko nyumbu wa CHADEMA
na wale wajeshi wanaoteuliwa je? jiongezeniWakurugenzi asilimia 97.9 ni ccm damu damu
Kweli, ni kuwaombea tu wafe wote ili Tanzania iwe mahali salama na rafiki kwa kuishi!mi nashauri hawa jama tuwaombee, yani nikiona jitu limevaa nguo zakijani nahisi ni jini
na wale wajeshi wanaoteuliwa je? jiongezeni