ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Shetani ana aibu?Na bado chakubanga na hao wazandiki wenzie alio watuma wakate rufaaa hawaoni soni?
Shetani ana aibu?Na bado chakubanga na hao wazandiki wenzie alio watuma wakate rufaaa hawaoni soni?
Tunakushukuru sana mkuu kwa kuwaanika hadharani , Mungu akuzidishie
Sheria ya uchaguzi inasemaje kuhusu wajumbe wa Tume ambao ni wanachama wa vyama vya siasa.What is wrong with this? What is bad with this? The National Electoral Commission has enough staff to do this noble task, so what is done is to with what the law provides and that is what is being done. Mnataka Tume ya Uchaguzi itumie akina nani kama si hawa kama Sheria ya Uchaguzi isemavyo?
Duh! Haki ya mama Mungu ampe maisha marefu sana yule hakimu aliefyekelea mbali kusimamiwa na makada chaguzi zetu, na hakimu atakae batilisha hili laana ya watanzania ikawe juu yake..
Tunakushukuru sana mkuu kwa ushahidi usio na shakaDk. Fredrick Sagamiko, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Maswa na msimamizi wa uchaguzi majimbo ya maswa mjini na vijijini. Huyu aligombea ubunge jimbo la Mlimba lakini kura hazikutosha.
View attachment 1100699
Laana ya milele apewe DED huyu muuaji bila huruma , aminaView attachment 1100455
Huyu ni Aaron Kagurumjuli, DED Kinondoni na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya K’ndoni n Kawe. Mwanafunzi Akwelina aliuawa kwenye uchaguzi uliosimamiwa naye. Serikali inakatia rufaa hukumu ya kuwaondoa MaDED kusimamia Uchaguzi kwa sababu hawa ndio #PumziYaCCM
#ChaguziHuru https://t.co/zOSPtvs700
Source:- President of the United Republic of TanzaniaSource
Dah Kumbe huyu ndo chanzo cha kifo cha Quine Aquilina jamaniiiiiiii!!! Machozi ya waliofiwa yakushukieView attachment 1100455
Huyu ni Aaron Kagurumjuli, DED Kinondoni na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya K’ndoni n Kawe. Mwanafunzi Akwelina aliuawa kwenye uchaguzi uliosimamiwa naye. Serikali inakatia rufaa hukumu ya kuwaondoa MaDED kusimamia Uchaguzi kwa sababu hawa ndio #PumziYaCCM
#ChaguziHuru https://t.co/zOSPtvs700