Waitara: Watakachofanywa wanaomuita Rais mshamba

Waitara: Watakachofanywa wanaomuita Rais mshamba

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,356
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
 
Hata ufanyaje nyeupe haiwezi kua nyeusi..kama mshamba ni mshamba tu cha muhimu ni kujifunza na kukubali kubadilika kwani hata hao wajanja wa sasa hivi kuna muda walikua washamba..ukilazimisha kujifanya unajua na kukomaa utabaki na ushamba wako...
 
Kwenye giza mnamalizana? Tanesco hakikisheni umeme haukatiki.

Sasa Mkuu, huyo bosi wa Tanesco ni ameteuliwa na huyo alieitwa mshamba huko juu.. Itabid azime tu, ili kwenye giza tuminywe.. Japo mara nyingi wao hawaogopi taa wala mwanga..
 
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Sura ya Waitara na maneno yake ni ya kijambazi, hivyo simshangai!
 
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Wacha weeee !!!
 
Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
safi sana ili dharau iishe daadeek
 
Madaraka ya kulevya, watu wenye sura mbaya akili zao huwa hivyo hivyo
 
Ndiyo sababu alinunuliwa na wapenzi wa ujambazi! CHADEMA haikuwa sehemu sahihi kwake!
chadema ni kama kapu la takataka linajaziwa takataka likijaa zinenda kumwagwa siyo kuwa hazitaki ila anazitaka takazake ila zimejaa tuu
 
Back
Top Bottom