Waitara: Wanasiasa wanaokaa chama kimoja muda mrefu ni Manungayembe

Waitara: Wanasiasa wanaokaa chama kimoja muda mrefu ni Manungayembe

Nilijua kipara ni busara kumbe ni upungufu wa akili muangalie waitara n jiwe
 
Hapo kuna logic; maana huwezi Ukawa unapingana na kila mtu; hizo ni dalili za kuwa na matatizo
Sisiemu siku zote wanawapinga wapinzani wote! Vipi na wao, wana matatizo?
 
Muacheni anamalizia mwaka na miezi tutamkata mapema sna kura za maoni 2020 atabaki kua raia mwema
 
Back
Top Bottom