Waitara: Wanasiasa wanaokaa chama kimoja muda mrefu ni Manungayembe

Waitara: Wanasiasa wanaokaa chama kimoja muda mrefu ni Manungayembe

Kwa hiyo waliopo CCM miaka yote nao Ni Manungayembe? Tafadhali Mwenyekiti wa CCM Taifa, yaani huyu mkuria anamaanisha hata wewe? Maana tangu nikufahamu wewe upo CCM tu, miaka yote yaani! Mmesajilije zwazwa Kama hili? Na bado mkalipa Tena nafasi na nasikia litakuwa Waziri? Dah, acha nicheke tu,nijuavyo Mimi, Manungayembe ndo Huwa yanahangaika!
 
Hapo kuna logic; maana huwezi Ukawa unapingana na kila mtu; hizo ni dalili za kuwa na matatizo
Ni lini CCM wamekubaliana na Wapinzani? Je CCM hawawapingi Wapinzani? Hili suala mbona linaangaliwaga upande mmoja tu? Una matatizo kwa kweli, kwa taarifa yako tu, kila mmoja Ni mpinzani wa mwenzake!
 
Ana elimu gani huyo Jamaa MBONA mweupe sana au ndo msemo ukiwa kijani akili urudi nyuma,mfano baadhi ya ma prof
 
Kupitia kipindi cha Jahazi,cha Clouds fm,Mbunge wa zamani wa Ukonga kwa tiketi ya CDM, Mwita Waitara amesema wanasiasa wanaodumu kwa muda mrefu kwenye chama kimoja ni "Manungayembe".

Waitara amesema huwezi kuwa awamu zote we upo upinzani tu lazima ubadilike..."huwezi kuwa miaka yote upo upinzani tu kaja Nyerere we ni mpinzani, kaja Mwinyi we ni mpinzani, kaja Mkapa bado uko upinzani, mzee Kikwete we upo upinzani hadi Magufuli bado unapinga tu we huwezi kuwa mwanasiasa we ni Nungayembe tu" amesema Waitara.

Waitara alijiuzulu nafasi yake ya ubunge na kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM mapema mwezi huu, kwa madai ya kuunga mkono juhudi za rais Magufuli
Whaaaaaat !!!!!!!
 
Amevurugwa huyu jamaa, Wanasaikolojia muokoeni kijana huyu Njaa imetoka tumboni mpaka imeufikia Ubongo
 
Jamaa ameanza kua kichaa alafu hana akiba ya maneno anaona kama kamaliza maisha hivi
 
Naona wajinga ndo wanaomwita kwenye Redio mtu kama huyu unafanyanae intavyuu akwambie nini? Kwa mafano
 
Kupitia kipindi cha Jahazi,cha Clouds fm,Mbunge wa zamani wa Ukonga kwa tiketi ya CDM, Mwita Waitara amesema wanasiasa wanaodumu kwa muda mrefu kwenye chama kimoja ni "Manungayembe".

Waitara amesema huwezi kuwa awamu zote we upo upinzani tu lazima ubadilike..."huwezi kuwa miaka yote upo upinzani tu kaja Nyerere we ni mpinzani, kaja Mwinyi we ni mpinzani, kaja Mkapa bado uko upinzani, mzee Kikwete we upo upinzani hadi Magufuli bado unapinga tu we huwezi kuwa mwanasiasa we ni Nungayembe tu" amesema Waitara.

Waitara alijiuzulu nafasi yake ya ubunge na kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM mapema mwezi huu, kwa madai ya kuunga mkono juhudi za rais Magufuli
Huyu Jamaa atakuwa huwa anaoa na kuacha au anamichepuko countless!
 
Kumbe hata akina jiwe ni manungayembe, maana nao wamekaa chama kimoja.
 
Kwa maana hiyo wanaCCM wote waliokuwepo tangu TANU hadi leo wanahusika?
Waondoke wawachie viberiti ngoma chama?
Hiyo ni hoja ya kipuuzi kabisa.
 
yeye anasema anachotaka ni ubunge wake tu kana kwamba alizaliwa na ubunge......
 
Mtu akienda CCM nati moja ya tak* hulegea na akili zote tumboni humuishia.
 
Back
Top Bottom