Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,671
- 22,262
Kwenye kikao cha bunge cha Februari 1, 2024, mbunge nyangarakasha Mwita Waitara alitamba bungeni mbele ya wabunge wenzake waliokuwa wakimshangilia kuwa wabunge wa CCM watatumia wingi wao kuipitisha miswada ya uchaguzi!
Swali, Tanzania ni mali ya nani, wabunge wengi wa CCM au wachache wananchi? Je, CCM bado inaendelea na "hii nchi ina wenyewe na wenyewe ni CCM"!
Swali, Tanzania ni mali ya nani, wabunge wengi wa CCM au wachache wananchi? Je, CCM bado inaendelea na "hii nchi ina wenyewe na wenyewe ni CCM"!