Waislamu wauliwa kinyama

Waislamu wauliwa kinyama

Status
Not open for further replies.
Umejitahidi kuelezea hisia zako, lakini mimi kwa mtazamo wangu nilitegemea kuwa ungepinga vikali baadhi ya tabia zinazofanywa na watu wasiokuwa na utakaso mioyoni mwao na badala yake kutumia mwamvuli wa dini kuwachafua washika dini na kufanya matendo ya kinyama na kuitesa jamii yetu ambayo haitaki kuusukuma muemko wa kidini na kila mmoja kuendelea kushika Imani yake kwa manufaa yake lakini hawa ambao Leo hii tunawashuhudia ama kuwasikia wakichochea vurugu ama matishio mwengine yeyote hawa hakika hawafai kuwepo kwenye jamii yetu watatuharibia kizazi kilichopo na hata kijacho.
 
habari ni ya kuaminika tatizo magezti yenu ni ya kinafiki yanachagua hbr

Hata Al Noor ni la kinafiki? Mwenzio hapo juu amewakana viongozi na kusema sio waislamu bali wana majina ya kiislamu kisa tu wamesimamia sheria halali za nchi. A LONG WAY TO GO
 
Uliyewasilisha hoja pia umewasilisha Vibaya sana! Unaposema " makafiri"! au vyombo vya habari vya "kikafiri" au redio za kiislamu ambazo zinadhani kusoma qur'an ndio uislamu! au wakristo watapinga tu! maana yake unafanya waislamu wa kawaida wasikuunge mkono, unafanya pia wakristo wasikuunge mkono! unafanya hata hivyo vyombo ulivyovipa jina " vya kikafiri" visikuunge mkono!
Polisi sio kanisa au ukiristo! by the way mkuu wa Polisi ni mwislamu! na kama wameuwawa na uslama Mkuu wake ni Mwislamu! na kama mahakama haitawatendea haki basi jaji mkuu ni mwislamu! na kama Jeshi waziri wake ni mwislamu! na kama ni serekali basi Rais na makamu wote waislamu! naona hoja yoyote ambayo inaunganisha matendo ya serekali ambayo kismingi ni mfumo uliochanganya vyombo tofauti vya maamuzi ikihusishwa na dini basi huyo mtoa hoja ana lake jambo! huo ndio ujinga wa ulaya wanaushutumu uislamu kwa kosa la Osama wakati Uislamu sio Osama! Huo ndio ujinga wa baadhi kuchukia Ukristo kwa sababu ya Bush wakati Bush ni mtu na Ukristo ni imani! mtoa hoja angelalamikia kuuliwa kwa watu, bila kufuata sharia, na pia angeilalamikia polisi bila kuingiza ingiza imani nadhani angeungwa mkono na waungwana wasiopenda kuona uhai wa mtu yoyote awe kafiri, awe pagani, awe mjahidina awe mlokole awe mkristo awe vyovyote but as ni mtu asiuliwe tu hovyo hovyo! uhai amepewa na Mungu na Mungu pekee ameweka utaratibu wa kuutoa!
 
Kama media kama ITV wanaweza kupeleka mwandishi hadi goma kuripoti wanashindwa kweli kupeleka wanahabari kilindi ili wafahamishe jamii nini hasa kinaendelea hapo.

Mkuu, unafuatilia habari kweli? Mbona ITV wameripoti mara nyingi.
 
Mleta mada waombe radhi Waislam wa mjini kwa kuwaita wahuni.
 
WAISLAMU WAULIWA KINYAMA NA KUFUKIWA MILIMNAI KAMA MIZOGA

huko KILINDI mkoani TANGA ni harufu ya damu za waislamu watoto wadogo na wanawake waliouliwa na askari wa TANZANIA
baada ya kufanya mauaji hayo na ubakaji kundi la askari hao sasa wamepelekwa wengine na wao waka oneshe utaalamu wao wa kuuwa na kubaka walivyo fundishwa ndani ya makambi yao
hali ni mbaya hakuna muandishi anaye weza kupatia uandishi fasaha utako fafanua mauaji hayo ambayo yana elekezwa kwa waislamu
kosa lao hao waislamu likiwa ni wao kuamua kuishi kiislam kwa wake zao kuvaa hijabu ya kisheria kwa mujibu wa dini ya kiislamu na si kufunika nywele tu kama wava avyo wahuni wa mijini halafu wakaita kuwa ndio hijabu ya kiislamu

asili ya mzozo ni kugoma kulipa ushuru mtu mmoja tu ulitokea katika kijiji kingine lakini askari wauaji wakaelekezwa katika kijiji cha waislamu na mpka leo kazi yao ni kuuwa kubaka na kuchoma nyumba kisha kufukia maiti milimani tangu lini kesi za kodi askri wakaenda na bunduki?

hakuna gazeti tv redio wa FB inayo ripoti kwa kina swala hili

hii ni dalili tosha kuwa chuki za kidini zipo juu sana dhidi ya uislamu na hata baadhi ya wakristo wamekuwa wakali katika mitandao ya kijamii pale tu waislamu wanapo post habari kama hizi na kuanza kurusha matusi na kutukana na kusema DELETE afungiwe etc huku wakijua wazi wazi kuwa chinja chinja hiyo kila mtu amekwisha isikia lakini chuki zilizo jaa ndani ya vifua vyao zinawafanya kuwa wapofu hawataki kabisa kujadili mauaji haya kwa hekma na busara bali huwa wanakuwa mbogo

redio za kiislamu na magazeti hakika ni wahuni na matapeli wanao tumia neno uislamu kufungua vituo vyao lakini wote wanafanya kazi kupambana na waislamu
kwani redio au tv kusoma qurani si hoja kuwa ndio ya kiislamu bali hata vituo vya misuc navyo huwa wana vupindi vya dini

hii ni dalili waislamu sasa watatoka usingizini zile porojo za nchi haipendelei dini nchi haina dini haki sawa haki za binadamu democrassi utawala wa bila upendeleo nchi yetu kwanza amani ya nchi etc na upumba na upuuzi kama huu waislamu sasa zindukeni hawa watu wamesha pewa agizo
na obama UWA BAKA WAISLAMU
nakupiga kura ni upuuzi tu kwani mchujo wa wagombea ubunge au uraisi huwa mchujo kwanza wa ndani ya chama unaitisha watu ambao wana chuki na uislamu ata kamamajina yao ni ya kiislamu na wakawa waningia misikitni ili kupata kura za waislamu hivyo yeyote anaye fikia hatua ya kugombea ubunge au urais huwa kisha kubali kutesa waislamu la sihivyo atakatwa mapema kabisa kwa kuitwa mdini

Oh,,don't worry brother everything has got an end,,we all know that a millions of innocent children r dying killed without any guilt,,we hear no edict,,no denunciation from hereditary rulers!!

We don't hear anything and no one raising a voice or reacting,,but when the sword fell upon them..HYPOCRISY raised its heads up high bemoaning those killers who tired with the blood of honour and sanctities of Muslims

HYPOCRISY have been telled the world false that they are figthing Terrorism{Muslims},,killing Muslim Womens and Childrens to them its not a clear issue

But not every Muslims are aware of that and a WIND OF FAITH is blowing and the WIND OF CHANGE is blowing to remove evil{God is greatest and glory be to those who r on his way}

We supose to fight bcz we r free,,we don't supose to slEep under oppression,,we want to restore freedom just as u lay waste to ours
So shall we waste to urs??
 
unaweza kuthibitisha hiyo taarifa na kutoa vielelezo na kila mmoja aweze kukubali unchokipost hapa if kuwa ni kweli?

Uliletewa picha ya magobole na ukaambiwa magaidi wako kilindi na hizo ndio silaha zao ukakubali? unanchekesha!
 
'Kafir' - meaning and implications of a Qur’anic termBy Zafarul-Islam Khan
The issue of Kafir in the light of Islam, and whether or why Hindus are called ‘kafir,’has been raised again and again in the Indian press, particularly in the media controlled or influenced by the Hindutva movement. I have responded to it earlier.

Some time back this issue was raised by Mr Deena Nath Mishra, a BJP MP and a former editor of the RSS Hindi mouthpiece, Panchjanya, during a ‘round-table’ discussion convened by Mr OP Shah of the Calcutta-based Centre for Peace & Progress at the India International Centre, New Delhi on 26 July 1998. The question was taken up by Maulana Shafi Munis, vice president of Jamaat-e-Islami Hind, who explained that it simply means a ‘rejecter’ of Islam and that it is not an abusive term.

Ya nini kwenda mpaka India kutafuta kafiri ni nani, mambo yapo hapa hapa JF, soma hapa:

Najibu kwa niaba hapa:
Kukufuru ni kusema yafuatayo-
Mungu ni mzungu!
Mungu ni mmoja kwa watatu!
Mungu alikula na akaenda choo!
Mungu aliwapa vyeo mapadri na wachungwaji KUWEZA KUSAMEHE DHAMBI!

Mungu alivishwa nepi akasulubiwa!

Halafu wacha nyie mnampa cheo cah uungu YESU tu,
bali katika Biblia baadhi ya watu wameitwa miungu. Tena hakuna Mkristo ambaye anawaita miungu wala hawaabudiwi.-!!

Kama Biblia inavyosema kwamba:
A. Yesu akawajibu, Je! haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, mimi nimesema, ndinyi miungu? (Yohana 10:34).

B. Bwana akamwambia Musa angalia, nimekufanya wewe kuwa kama mungu kwa Farao na huyo ndugu yako Harun atakuwa Nabii wako. (Kutoka 7:1)

SASA ASEMAYO NA KUYAAMINI NILOTAJA HAPO JUU,

HUYO NI KAFIRI!
 
Haya makundi ya dini zenu haya ni majanga tu, yaani mtu anakuwa brainwashed hasikii wala haoni!
 
...serikali ueni al shabab wote kabla hawajaleta tabu,mkiwafukia huko porini sio mbaya sana bado tunaandaa sheria ya ugaidi...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom