ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Waislam wa kweli, hawauwi karani wa serikali anayedai kodi, wislam wa kweli hawamiliki bunduki kupambana na polisi, waislam wa kweli hawaachishi watoto shule na kuwapeleka mporinikuwafundisha ukatili. Hao sio waislam, ni watu hatari kwa usalama wa nchi yetu. Watoto wameokolewa wamepelekwa kwa ofisa ustawi wanafanyiwa counselling