Subash patel r.i.p ni muhindu sio muislamu
bado hujawataja matajiri asas iringa abood morogoro shabibi oil co munif lake oil ally azania mtibwa sugar manji gapco
Subash patel r.i.p ni muhindu sio muislamu
Hata wewe unayumba mkuu,viongozi wote ni wetu akawa mkristo akawa muislam ni kiongozi wetu issue ni je zile fursa zilizoko mbele yako unazitumiaje?Huo no mtazamo wako. Mimi kwangu akitawala Mkristo naona huwa Kuna maendeleo, Kama Rais Mkapa na Rais Magufuli. Kikwete ufisadi ulikuwa mkubwa na kujiana.
Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
Anajulikana wapi, Mbagala Charambe?Nakutajia mmoja Olyn Londo
sawa mwingereza naona hujui kiswahili vzr, britain wazima?
afu waislam wa swala tano huwa wanafanikiwa haraka sana, sijui wale jamaa kuna kitu cha ziada wanatumia?
Unaelewa maana ya wengi wao? Endelea kujitoa ufahamuShoga maarufu aliyekua anajulikana Tanzania nzima ni "James Delicious"
Unataka kujua alikua dini gani?
View attachment 2050760
Thanks for clarification.Acha uongo James hajafariki. Wewe utakuwa umechanganya mafaili. Halafu hata Kama angekufa, mazishi kufanyiwa ibada ya kidini inaweza kuchangiwa na uhusianao was familia yake kwenye Mambo ya kanisani sio yeye. Tofautisha dini ya kikiristo na jina la kikristo.
Kwahiyo unasema huyo James alikua Muislamu? Maana hata mazishi yake yaliongozwa na Kanisa!!
Poa poa. Mwingine huyu hapa.Unaelewa maana ya wengi wao? Endelea kujitoa ufahamu
We unafikiri mziki ni IBADA? Uislam haukuleta masuala ya kipuuzi bali sisi tuliowapuuzi ndo tunafata huo upuuzi wenyewe.Ila waislamu ni wanafiki sn,wao ndy wanaongoza kulalamika wananynyaswa na mfumo Kristo kila siku
Unafiki mwingine ni huu;Kusema muziki,Mpira ni ushetani lkn wao ndy wapo on top,wameshikilia crown
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sawa sheikh ubwabwaNdiyo uislam unaruhusu ungekuwa hauruhusu wasingefanya hayo.
Nimetoa mtizamo wangu wewe unaniambia nimeyumba?. Nilikuwa namjibu mtu Hapo juu aliyesema Marais waislamu ndio Hufanya vizuri. Hayo ni maoni yangu kwako yanaweza yasiwe sahihi.Hata wewe unayumba mkuu,viongozi wote ni wetu akawa mkristo akawa muislam ni kiongozi wetu issue ni je zile fursa zilizoko mbele yako unazitumiaje?
Siijui imani yako but ktk Imani kweli ya Kikristo hizi excuses hazipo na hazifai kuwepo achia kwa hao wasioweza kutumia bongo zao vizuri waendelee kuzitumia.sisi tunatakiwa tumtumaini Mungu imeandikwa usimtegemee mwanadamu maana yeye hufa na mawazo yake hupotea (kama unayemsema Mkristo mwenzako aliyekufa juzi),sijawahi kupata jibu hivi raisi akiwa dini yangu huwa nafaidikaje?mf:majuzi hapa enzi ya Hayati (mie ni mfanyabiashara) wengi tulikula msoto mie mkristo,muislam Buddha etc wote wembe ulikuwa mmoja sasa unaweza kuniambia kuna afadhali gani?
Nakuunga Mkono.Waislamu Kuna kitu wametuzidi wakristo na inabidi tujitafakari sana matendo Yao, mie Mkristo ila huwa na enjoy utawala wa Waislamu, huwa hawana mambo ya hovyo hovyo hivi tofauti na sie