johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,081
Naomba kuelimishwa namna mahujaji wanavyokamilisha Ibada zao Makka na Madina, je huko ndio kitovu cha Uislam?
Saudi arabia ni swaiba wa Marekani ambaye ni mfadhili mkuu wa Israel na inasemekana Saudi Arabia ulipo Msikiti wa Makka wako upande wa Wayahudi katika ile "Shughuli" inayoendelea huko Gaza.
Hii haimaanishi Waislamu wanaunga mkono Wayahudi?
Niko Hapa kuelimishwa.
Saudi arabia ni swaiba wa Marekani ambaye ni mfadhili mkuu wa Israel na inasemekana Saudi Arabia ulipo Msikiti wa Makka wako upande wa Wayahudi katika ile "Shughuli" inayoendelea huko Gaza.
Hii haimaanishi Waislamu wanaunga mkono Wayahudi?
Niko Hapa kuelimishwa.