Saudi Arabia kuiuza Palestina kwa thamani rahisi sana

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,186
10,924
Wakati uchaguzi wa Marekani unakaribia kumekuwepo na habari nyingi kuhusiana na mazungumzo ya kurudisha uhusiano baina ya Saudi Arabia na taifa la Israel.

Uhusiano huo umeshindikana kwa miaka yote hiyo tangu kuundwa kwa taifa la Israel mnamo mwaka 1948.Hii imetokana na tawala zote za Saudi Arabia kushikamana na maazimio ya kutokufanya mahusiano bila uhuru wa Palestina.

Kwa upande wao Marekani na Israel wamekuwa wakishinikiza jambo hilo kwa mbinu mbali mbali.Kwa mujibu wa vyombo vya propaganda vya kimarekani na Israel ni kuwa pindi makubaliano hayo yakifanikiwa basi Saudi Arabia itakuwa ndiye kinara wa eneo lote la mashariki ya kati.

Upande wa Saudi Arabia kwa mujibu wa vyombo hivyo ni kuwa inataka ihakikishiwa usalama wake katika hali ya machafuka kama yale yaliyoitwa Arab Spring na pia iruhusiwe kumiliki kinu cha nyuklia kwa matumizi ya kiraia kama kile cha UAE na vile vile iweze kununua aina ya silaha hasa ndege za kivita ambazo bado wamewekewa vikwazo na Marekani kuuziwa.

Kuvionesha kwamba vitu hivyo ni vya thamani kubwa imeelezwa kuwa kuna upinzani ndani ya mabunge ya Marekani kuiruhusua Saudia kupata wanachokitaka.

Mapema wiki hii kiongozi wa Palestina, Mahmoud Abbas aliitwa na Saudi Arabia ili kujadili kile wanachokitaka iwe katika masharti ya Saudi Arabia katika mazungumzo ya kurudisha uhusiano na Israel.

Kiongozi huyo wa kipalestina alitaka utawala wake uruhusiwe kuwa na mamlaka kamili katika maeneo ambayo makubaliano ya miaka ya nyuma walipatiwa uhuru wa namna fulani ambao sasa wameona wameshang'anywa.

Vile vile ametaka Israel isitishe ubomoaji na ujenzi unaofanyika kila siku kwenye maeneo ya wapalestina.

A Saudi-Israel deal could dramatically reshape the Middle East — but don’t expect it anytime soon

 
Wakati uchaguzi wa Marekani unakaribia kumekuwepo na habari nyingi kuhusiana na mazungumzo ya kurudisha uhusiano baina ya Saudi Arabia na taifa la Israel.

Uhusiano huo umeshindikana kwa miaka yote hiyo tangu kuundwa kwa taifa la Israel mnamo mwaka 1948.Hii imetokana na tawala zote za Saudi Arabia kushikamana na maazimio ya kutokufanya mahusiano bila uhuru wa Palestina.

Kwa upande wao Marekani na Israel wamekuwa wakishinikiza jambo hilo kwa mbinu mbali mbali.Kwa mujibu wa vyombo vya propaganda vya kimarekani na Israel ni kuwa pindi makubaliano hayo yakifanikiwa basi Saudi Arabia itakuwa ndiye kinara wa eneo lote la mashariki ya kati.

Upande wa Saudi Arabia kwa mujibu wa vyombo hivyo ni kuwa inataka ihakikishiwa usalama wake katika hali ya machafuka kama yale yaliyoitwa Arab Spring na pia iruhusiwe kumiliki kinu cha nyuklia kwa matumizi ya kiraia kama kile cha UAE na vile vile iweze kununua aina ya silaha hasa ndege za kivita ambazo bado wamewekewa vikwazo na Marekani kuuziwa.

Kuvionesha kwamba vitu hivyo ni vya thamani kubwa imeelezwa kuwa kuna upinzani ndani ya mabunge ya Marekani kuiruhusua Saudia kupata wanachokitaka.

Mapema wiki hii kiongozi wa Palestina, Mahmoud Abbas aliitwa na Saudi Arabia ili kujadili kile wanachokitaka iwe katika masharti ya Saudi Arabia katika mazungumzo ya kurudisha uhusiano na Israel.

Kiongozi huyo wa kipalestina alitaka utawala wake uruhusiwe kuwa na mamlaka kamili katika maeneo ambayo makubaliano ya miaka ya nyuma walipatiwa uhuru wa namna fulani ambao sasa wameona wameshang'anywa.

Vile vile ametaka Israel isitishe ubomoaji na ujenzi unaofanyika kila siku kwenye maeneo ya wapalestina.

A Saudi-Israel deal could dramatically reshape the Middle East — but don’t expect it anytime soon

Ni muda mwafaka kwa Palestina kuacha kuifikiria Jerusalem. Wakubali kuunda kitaifa chao pembeni huko, la sivyo Israeli itachukuwa eneo lote. Tena washukuru Israeli anawapiga kistaarabu,siyo rahisi kuruhusu kitaifa cha kigaidi kuundwa karibu yako.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ni muda mwafaka kwa Palestina kuacha kuifikiria Jerusalem. Wakubali kuunda kitaifa chao pembeni huko, la sivyo Israeli itachukuwa eneo lote. Tena washukuru Israeli anawapiga kistaarabu,siyo rahisi kuruhusu kitaifa cha kigaidi kuundwa karibu yako.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mawazo ya kikoloni.Ugaidi halisi ni kuchukua ardhi za watu kwa nguvu
 
Ni muda mwafaka kwa Palestina kuacha kuifikiria Jerusalem. Wakubali kuunda kitaifa chao pembeni huko, la sivyo Israeli itachukuwa eneo lote. Tena washukuru Israeli anawapiga kistaarabu,siyo rahisi kuruhusu kitaifa cha kigaidi kuundwa karibu yako.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mjomba hii issue ni complicated, sio kama unavyoandika hapa. Tena kwa style ya kishabiki.

Ungekuwa Masai unahamishiwa Tanga, kidogo ungekuwa na ka feelings flani.

Huu mgogoro ni kama wewe utakiwe kubadilishwa dini au jinsia kwa lazima.🤣
Vipi utakubali kirahisi kwa kuwa wana nguvu?
 
Wakati uchaguzi wa Marekani unakaribia kumekuwepo na habari nyingi kuhusiana na mazungumzo ya kurudisha uhusiano baina ya Saudi Arabia na taifa la Israel.

Uhusiano huo umeshindikana kwa miaka yote hiyo tangu kuundwa kwa taifa la Israel mnamo mwaka 1948.Hii imetokana na tawala zote za Saudi Arabia kushikamana na maazimio ya kutokufanya mahusiano bila uhuru wa Palestina.

Kwa upande wao Marekani na Israel wamekuwa wakishinikiza jambo hilo kwa mbinu mbali mbali.Kwa mujibu wa vyombo vya propaganda vya kimarekani na Israel ni kuwa pindi makubaliano hayo yakifanikiwa basi Saudi Arabia itakuwa ndiye kinara wa eneo lote la mashariki ya kati.

Upande wa Saudi Arabia kwa mujibu wa vyombo hivyo ni kuwa inataka ihakikishiwa usalama wake katika hali ya machafuka kama yale yaliyoitwa Arab Spring na pia iruhusiwe kumiliki kinu cha nyuklia kwa matumizi ya kiraia kama kile cha UAE na vile vile iweze kununua aina ya silaha hasa ndege za kivita ambazo bado wamewekewa vikwazo na Marekani kuuziwa.

Kuvionesha kwamba vitu hivyo ni vya thamani kubwa imeelezwa kuwa kuna upinzani ndani ya mabunge ya Marekani kuiruhusua Saudia kupata wanachokitaka.

Mapema wiki hii kiongozi wa Palestina, Mahmoud Abbas aliitwa na Saudi Arabia ili kujadili kile wanachokitaka iwe katika masharti ya Saudi Arabia katika mazungumzo ya kurudisha uhusiano na Israel.

Kiongozi huyo wa kipalestina alitaka utawala wake uruhusiwe kuwa na mamlaka kamili katika maeneo ambayo makubaliano ya miaka ya nyuma walipatiwa uhuru wa namna fulani ambao sasa wameona wameshang'anywa.

Vile vile ametaka Israel isitishe ubomoaji na ujenzi unaofanyika kila siku kwenye maeneo ya wapalestina.

A Saudi-Israel deal could dramatically reshape the Middle East — but don’t expect it anytime soon

ili kuwe na amani bora wamefanya hivyo. shida palestina nao wanaungana na adui wa saudia, iran mshia.
 
Back
Top Bottom