FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
It does not matter................ whether wanampaparikia kwa pesa au kwa uwezo, it's the same thing "WANAMPAPARIKIA"!!
Does it matter? au hujapenda Lowassa kupaparikiwa?
It does not matter................ whether wanampaparikia kwa pesa au kwa uwezo, it's the same thing "WANAMPAPARIKIA"!!
Does it matter? au hujapenda Lowassa kupaparikiwa?
Does it matter? au hujapenda Lowassa kupaparikiwa?
Hatujapenda kwasabbu anatoka kaskazini !!
Hata u twist vipi maneno yako huwezi kuukimbia ukweli, hakuna ataepata Urais nchi hii bila kura za Waislam, na Waislam si rahisi kumpa kura mtu kama Padri Slaa, kwanza maadili yake ni nil, zero, kaput. Sijuwi ni Muisla gani ataekubali kununuliwa na huyu babu mkosa maadili.
Chadema kwa kifupi hamna bao mwaka huu, kwisha kabisa. Zitto mtamjuwa jina la utoto anaitwa nani.
Does it matter? au hujapenda Lowassa kupaparikiwa?
Kisa kafanikisha harambee,these guys are so cheap to buy!
Kama maadili ya padri Slaa ni nil, zero, kaput kwa sababu tu ameacha u-padri na kuamua kuoa, what about mtume Muddy aliyebaka katoto ka miaka 6???
Mapenzi ya Lowassa kwa waislam hayapimiki...hivyo hawezi kufanya usaliti kama huyu wetu.
kakalaa nasaha zako nzuri sana lakini anzia kule kule msumari ulikoingilia kwani ndipo pale pale utakapotokea.Hebu tupe heshima yetu.Naamini siyo vizuri kutoa kashfa hizo.Kiustaarabu futa hayo maneno na uombe msamaha kwa MOLA wako aliyekuumba.Heshimu dini za wengine kwani mtoa haki ni yeye aliyetuumba na siku ya kutoa hukumu ya haki haiko mbali na sisi.
kakalaa nasaha zako nzuri sana lakini anzia kule kule msumari ulikoingilia kwani ndipo pale pale utakapotokea.
vinginevyo, siku hizi, baada ya ninyi kuwadharau wakristo na falsafa yao ya kuwageuzieni shavu la kushoto, kwa sasa falsafa ya wakristu ni akuanzae mmalizie, jino kwa jino.
Kimsingi tupo pamoja kaka kakalaa, kama mmeshayajua makosa yenu na mmejirudi naamini wakristo wala hawana hiyana na mtu. tatizo lipo humo misikitini kwenu na kwenye mihazara yenu ya kukazania Yesu si Mungu.Nimekusoma,mimi ni muislam kamwe siwezi kumdharau au kumkashifu mkiristo,kwani tumekuwa pamoja na tunaishi pamoja na yeye na dini yake na mimi na dini yangu.Haya mambo ya ugomvi ni mipango ya wachache kwa manufaa yao na kamwe hayatafanikiwa kihalali...mifano hai ipo na hata wewe unaiona.Niwaombe wote kwa ujumla tuheshimu dini za wengine na tukimuudhi MOLA wetu tunaweza pata yale yaliyotokea wakati wa Nuhu.
Kimsingi tupo pamoja kaka kakalaa, kama mmeshayajua makosa yenu na mmejirudi naamini wakristo wala hawana hiyana na mtu. tatizo lipo humo misikitini kwenu na kwenye mihazara yenu ya kukazania Yesu si Mungu.
Kimsingi wakristo hawana falsafa ya jino kwa jino bali kugeuza shavu la kushoto. Lakini uvumilivu nao unajua una mwisho wake. Unaweza kumfukuza paka akakimbia mbio sana, ukiendelea kumfukuza akafika ukutani hakuna pa kukimbilia tena huwa anageuka anakuwa chui na hapo ndo utakapojua kama paka anazo kucha ama la...
Baada ya kusema hayo yote, mwafrika yeyote anayekashifu dini ya mwenzake, hasa yule anayeanzisha kashfa, na hasa pale dini zinazohusika ni hizi za kuletewa kutoka uarabuni na ulaya, kwa kujiona ya kwake ni dini bora kuliko ya mwafrika mwenzake, mtu huyo si kwamba ni mpumbafu bali ni juha na ni mjinga sana.
Nirudie tena nyiye na dini yenu na sisi na dini yetu.Tukifuata falsafa hiyo ugomvi utatoka wapi..???? Yote tumuachie aliyeumba ardhi na mbingu na vyote vilivyomo ndani yake atakapotowa hukumu yake.Kwa ufupi tumuogope MUNGU sote sisi marejeo ni kwake.
mafisadi lazima watamaliki chimwaga dodomaLowasa ndio kipenzi cha watanzania wote kwa sasa