Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Biblia inasema nini juu ya anachokula mtu? Tafadhari fafanua, ni mstari gani wa biblia unaonya juu ya alacho mtu? Yesu mwenyewe, na pia Paulo mtume amesema tuvipokee vyote kwa shukurani.
'Tuvipokee vyote kwa shukrani.....' Pole sana! Basi hata kama ukiibiwa inabidi ushukuru!!!!!!!!!!
Kwa tafsiri yako ya neno "vyote"