Waislam wengi wapo uvuguvugu, sio wa baridi wala wa moto

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,434
5,095
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
 
Hawa wamba nilikuwa nawaamini sana zamani izo wakati nakua lakini baada ya kupigwa matukio mawili matatu tena hapo unakuta uyo mtu anashinda na tasbihi mkononi toka apo nawatazama kitofauti sana aisee
 
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
hiyo dini ni ya uongo. mashekhe wanajifunza uganga na uchawi
 
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
I am a Muslim, ila sijajua nichangie nini ama wapi kukusaidia ndugu yangu.

Nilicho kusoma tu ni kwamba wewe binafsi pamoja na wachangiaji wengi, mna CHUKI ya KIDINI.

POLENI SANA.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Internet imekujua kuua imani potofu

Uislamu na hata ukristo unakufa natural death.

Mchawi ni internet.

Mtu akisoma tafsiri ya Quran akaielewa. Lazima ataukimbia uislamu. Maana kuna aya za ajabu sana.

Na mtu akisoma biblia akaielewa lazima ataukimbia ukristo . Maana kuna mambo ya ajabu sana

Internet inakupa tafsiri kabisa za kila aya. Hapo ndipo dini zinapoteza imani . Maana vitabu vyao vinawaumbua
 
Uislamu ulikuwa sana kwa mbinu ya kuzaliana sana.

Kuoa wake wengi na kuwazalisha na kuwaacha na kuoa wengine wapya unazalisha tena.

Mbinu hiyo haitoboi zama hizi. Hasa mijini.

Wanawake wanalindwa na sheria za ndoa na sheria za ustawi wa jamii.

Pia hata hao wanawake wa kiislamu wamejanjaruka.. hawakubali kuolewa na wanaume ambao hawana maokoto
 
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
Mnahangaika sana ila quran na mafundisho yake hayatakuja kutetereka milele na hadi sasa hao waliowaletea huo ukafir wenu wameshtuka na wengi wanaishia kujiunga dini ya haki, embu angalia sasahivi ndio kwaresma hakuna chochote kilichobadilika hata nyir wenyewe makafir hamuiheshimu ila mwezi mtukufu ukifika hata wewe kafir huwa unatulia
 
Mnahangaika sana ila quran na mafundisho yake hayatakuja kutetereka milele na hadi sasa hao waliowaletea huo ukafir wenu wameshtuka na wengi wanaishia kujiunga dini ya haki, embu angalia sasahivi ndio kwaresma hakuna chochote kilichobadilika hata nyir wenyewe makafir hamuiheshimu ila mwezi mtukufu ukifika hata wewe kafir huwa unatulia
Eti kafiri???
Mmekuwa brainwashed soon mtakuwa turned to a terrorists
 
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
Nini kifanyike Kwa Sasa?
 
Back
Top Bottom