Waislam (batamiki) kuisalia dua chadema

Guys mna take things out of context, hao masheikh wamekosea, tunajua kwamba wanatumiwa na ccm, but sio sababu ya kuwatukana na kuwadhalilisha waislam wote.
 
Subir muone na hao wanaotukana uislamu humu jf mungu atawalaan inshallah
labda km wanafanya Dua kwa majini, lakni Mungu hasikilizi Dua zisizo sababu. Na kama wanaomba kwa majini, basi majini ni shetani, na shetani hana nguvu km Mungu tunaemwabudu. Yeye ni Mungu anatenda haki, na hiyo Dua itawarudia hao hao.
 
Hayo maswala ya dua wamuulize shehe wa Magomeni yuko wapi, aliyesema atamuwekea mkuu ulinzi wa majini???????????? Hivyo vitisho labda mungu wa kuzimu avifanyie kazi, lakini Mungu Baba ni wa haki wala haongwi na sala za unafiki!!!!!!!!! Majibu ya hizo dua mtazipata wenyewe, subiri mfanye huo mkakati mtamjua Mungu wa kweli ni nani!!!!!!!!!!
 
Wanatumia reverse psychology yote hiyo ni kutengeneza mazingira ya kusaidia CCM waibe kura lakini nadhani wamegonga mwamba nadhani Mrema na Mtikila na Mkapa wangeshaudead mpaka sasa,wangemwombea kikwete anayefanya watu kunywa chai ni jambo la anasa
Wanatumia kila mbinu kutishia eti CCM ishande Igunga basi. Vitisho vya ajabu ajabu, hivi wanalipwa na nani na fedha ngapi???????? Hapo wamegonga mwamba la kuvunda halina ubani CCM kwishiney by by kwaheri Igunga!!!!!!!!!
 
Hiyo dua mtasoma wenyewe masheikh njaa lakini sisi waumini tunao taabika na ccm hatuji someni natuone,hakika mungu hamfichi mnafiki nyinyi wanafiki tu,unajua huku warabuni ukisikia sheikh sio kwa sbb kasoma dini laa,kuna sheikh kutokana na umaarufu wke tu anaitwa sheikha,wengne kwa sbb ya pesa kama wale viongozi wa uae emirate wote ni masheikh lkn ndio wafadhili wa timu ya man city ya uk,sasa uislam na ligi kuu ya england wapi na wapi?


Sasa hawa wanaojiita masheikh wala hawatutishi,cdm msiombe radhi kabisa mm ni muislam lkn hawa maustadh njaa siwaogopi kabisa,wangekuwa wanauwezo wakuomba hizo dua nawaombe mvua ije umeme uwake masaa 24 mtera ijae maji,hyo danganya toto kwanza muislam gani mjinga kama wao ataekwenda kukunja miguu kwa kuomba dua ya kinafiki?
 

The way God judges things is different from the way humans judge! Ni upuuzi mtupu huu! Hakuna mtu yeyote mahali popote anayeweza kumwombea mtu mwenzake mabaya kwa Mumgu halafu Mungu naye awe mjinga kiasi hicho na kuikubali sala au dua ya namna hiyo! Mungu anafundisha kulingana na mafundisho ya dini ya Kikristo, "ukienda kutoa sadaka (kuomba dua, kusali nk) na kisha kukumbuka kuwa una kitu na jirani yako (ndugu, jamaa, rafiki, jirani, mtu mwenzako) acha dua yako kwanza, nenda upatane naye na mkiisha patana, ndipo nenda ukatoe hiyo dua yako."

Kwa maneno mengine, Mungu anasikiliza sala iliyo nyoofu - iisiyo na kinyongo (isiyo ya kumwombea mtu mwingine mabaya). Wanaodai wanawalaani wenzao kwa nia ya kuwaangamiza Mungu hakubali sala ya aina hiyo! Kusali/kuomba dua ina maana unajiweka mnyofu mbele ya Mungu na watu wengine (kusamehe mabaya yao). Pia Yesu alifundisha kusamehe hata maadui. Kama Chadema wamekuwa maadui kwa mtazamo wa hawa vipofu wa imani, wanatakiwa wasamehewe (ingawa sioni wapi walikosea!).

Hao masheikh ndio wanaopaswa waombe radhi kwa Chadema kwa kusema uwongo maana picha waliyopeleka kwa Watanzania hasa wale ambao hawasomi magazeti wala kuangalia TV ni kwamba huyo DC alivuliwa nguo na kubaki uchi kitu ambacho siyo kweli. Pia kwenye picha hapakuonesha kuwa alivuliwa hijab bali ilikuwa katika kumdhibiti huyo DC na mtandio wake kuvulika maana haukuwa umefungwa kwa pini au 'shazia'. Hawa watu ni kweli wanatumika vibaya kwa maslahi ya chama tawala!
 
Kama hawa mashehe na wengine wanaoamini nia yao kuwa ni njema wanataka kuishi pamoja na wasio waislamu, ni vema wakakubali kuwa dini yao haitapewa nafasi kubwa na watu wengine, kama wao wasivozipa nafasi imani nyingine. Hijabu ni swala la kiislamu na si swala la mwanamke yeyote au wote!!! Tusilazimishwe kuiona jamii katika kioo cha kiislamu!!

Dunia hii si ya imani ya kiislamu tu. Ni ya kila binadamu na kwa utashi wake. Kama vipi, wamuombe mungu awahamishie sayari nyingine!! Tanzania ni ya watu wote na si ya imani fulani au dini fulani.
 
Mashekhe au Makada wa Magamba? wanadhalilisha dini yetu kwa ubwabwa wa CCM mungu atawaalani na dua lao. Alisomewa Nyerere na Shekhe Kassim bin Jumaa, mungu awarehemu na haikumdhuru Nyerere ije kuwa Chadema kisa Mfuga Kiti moto amevuliwa ushungi. Wakwende zao kama wana njaa mimi nitawaalika kwenye Karamu ya Mdingi wangu
 
makae wakielewa wakristo ni robo 3 ya watanzania wt hata kama watatumia uislam wan kuinyima kura cdm wajue tayari wamepanda mbegu ya udini na hahtang'oka milele
 
kwa mara ya kwanza ndio napata hasira kutokana masuala ya udini, Nitarudi baadaye maana kichwa kimeanza kuniuma.

kiongozi wa dini - utashi = mdini.
kiongozi mdini
= UDINI.
1. BAADA YA HLI JAMBO, NAONA NGUVU HALISI YA DUA ITAKUWA NEGLIGIBLE.
2. UTATOKEA MTAFARUKU MKUBWA SANA NDANI YA DINI YA KIISLAMU(kana baadhi ya waisilamu pure wataanza kuupinga huu uongozi wa sasa wa waislamu)
 
ah ah ah ah wanacheza hao viongozi wa chadema wapo kwa matakwa ya MUNGU siyo mtu mwingine na hizo dua zao ngoja tuone kama zitawafanya kitu hizo ni jaa zinawasumbua
 
kwa mantiki hii watakuwa wamelaani (au kuroga kama wengine mnavyoweza tamka) waislamu watatu na si uislamu kama dini...tuweke mipaka wa shutuma zetu, japo tunaweza laumu kwa matumizi mabaya ya dini na vyama vyetu kwa maslahi binafsi
 
viongozi wa dini yangu ndio wanaosababisha dini yangu idharauliwe kutokana na ufahamu wao mdogo
 
Nasikia kichefuchefu nikiona baadhi ya watu bado wanapenda ligi za kipumbavui humu ndani hasa zihusuvo mambo ya dini. Kwani kuna ulazima gani wa kumlazimisha mtu kuwa ni mwisilamu wakati alishauacha miaka kadhaa iliyopita!?
 
Huyo Mungu wao wa ajaaabu, yaani mungu gani unamuomba amfanyie mwenzio baya? Badala ya kumwomba mungu amsaidi asirudie na aache uovu we unamwombe majanga. Ahh! Kwani uongo kuwa baadhi ya masheikh wanaitetea CCM? Nani asiyejua maovu yao na udini hapa nchini. Wajirekebishe bhana.
 
CCM inawatumia vibaya hawa ndugu zetu waislamu lilianza saga la DC na CDM, Bakwata wakaingia kichwa matokeo yake wameufyata na hawa BATAMIKi nao wamekubali kuingia kwenye mkenge tuone itakuwaje, halafu dua zote zinasomwa maeneo ya pwani. Mh...
Nasubiri movie hii iendelee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…