Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Mleta mada amepotosha wengi kwa kutumia kichwa cha habari, "Waingereza wamnanga Kikwete", wakati hayo mambo yenye ukweli mtupu yameandikwa na mtu mmoja tu. Kuna wengine wamelinganisha na ile habari ya Israeli, lakini huyu si waziri, wala mtu mwenye wadhifa wa ngazi yoyote kitaifa Uingereza. Kama ambavyo mchangiaji mmoja amesema, ni comment kama zinavyotolewa humu JF, hilo ni gazeti la The Guardian online la Uingereza.

Mtoa mada yuko sawa kabisa, kweli huyo jamaa ana haki ya kutuponda sababu hiyo misaada tunayopata toka Uingereza ni kodi zao wanazolipa. Kwa hiyo yeye ni mmoja wa walipa kodi, lazima hela yake iume kutumika vibaya.
:rant:
 
Unachoongelea hapa ni ukweli mtupu lakini nasikitika kuwa kwa wenye mtazamo finyu watauchukulia kama chuki binafsi. Natamani kungekuwa na debate huru ya wanaompinga na wale wanaomuunga mkono ili kuelimishana kwa evidence. Najua hukunielewa maana yangu kwenye post yangu ya mwanzo but lengo langu ni kuhamasisha waandishi wa habari na wanaohusika kutoa nafasi sawa kwa pande zote mbili, zinazounga mkono na zinazopinga. Si rahisi kumfunza mtu kwa kumwambia .....wewe ni mpumbavu bila kumwonyesha upumbavu wake umelalia wapi. .... bali atajifunza zaidi kwa demo zaidi ya kuishia kumwambia you are wrong. Toa nafasi kwa mtu kujifunza kutoka kwako kwa ku-provide room kwa wote am sure utashangaa thinking orientation ya the other side. Wape nafasi kujifunza kutoka kwako.

Real impressed with your responce.
 
Uingereza imetutukana watanzania. Rais sio mtu ni taasisi. Tumetukanwa mnasema katukanwa Jk.

JK ndiyo kafanya tutukanwe, aache kuendekeza safari za ovyo. Msafara wake ana beba watu 30 wote wa nini? wote wanalipiwa hotel hotel anayo lala yeye. mkutano utakuta ni 1+2, wengine wote wanaishia shopping tu. kUnadhani watoa misaada hiyo awaoni? wacha watutukane, labda Rais wetu atajifunza
 
jk aliwakatalia ombi lao la kuwekeza kwenye urenium na kuleta balozi shoga llazima wamtukane kulipa kisasi

Kumbuka hiyo sio serikali ni mtu aliyewahi kufanya kazi kwa miaka 8 na UNDP na akashuhudia hayo. Lazima tukubali kuwa huo ni ukweli mtupu! Ni aibu kufanya u-matonya wakati huo huo tunaacha rasilimali zetu zinatafunwa na wachache na makampuni ya kigeni. Kwa maneno mengine tumefanya rasilimali zetu kama shamba la bibi halafu wakati huo huo tunatembeza bakuli. Kwa mfano zile Trion 3 za Kishimbo kwenye account yake South Africa mbali ya Kikwete kuambiwa amefanya nini? Kishimbo huyo anapeta tu na JK anamchekea chekea. JK hayuko serious kulinda rasilimali zetu bali yuko serious tu kuomba omba!!
 
kiongozi asipokuwa makini hata sisi raia wa kawaida tunabeba mzigo wa kubezwa na watu wa nje
 
Kuna kila dalili kwamba hiyo ni cooked comment iliyotengenezwa na mwana-JF ili ionekane inatoka kwa Waingereza!!! Kwanza hata ukiangalia profile ya huyo anayeitwa Brunwick unakuta ame-post mara moja tu; kuonesha kwamba ali-join kwa ajili ya kuja kumponda JK, basi!!! Likewise, hakuna jina la Brunwick kwa Waingereza....jina la Kiingereza linalofanana na hilo ni Brunswick!!! So, cook wa hiyo comment, aliamua kwa makusudi kutumia jina ambalo ni purely english name ili ionekane ni comment ya Mwingereza! kwa bahati mbaya, kwavile hili si jina maarufu sana huku kwetu, akaishia kuji-name Brunwick badala ya Brunswick!!!! Hata huyo anayejiita Linda Croucher nae inaelekea ni huyo huyo Brunswick fake.....baada ya kuandika na kuona no one commented kwenye post yake; akaamua ku-log in kama Linda Croucher ili aendeleze alichokianzisha!!! Kama mnabisha, wataalamu wa IT hebu chekini IP adresses za hao members wawili kama hamjakuta zinafanana!!! Na msishangae mkakuta ni posted from mitaa ya Kimara!
 
Kuna kila dalili kwamba hiyo ni cooked comment iliyotengenezwa na mwana-JF ili ionekane inatoka kwa Waingereza!!! Kwanza hata ukiangalia profile ya huyo anayeitwa Brunwick unakuta ame-post mara moja tu; kuonesha kwamba ali-join kwa ajili ya kuja kumponda JK, basi!!! Likewise, hakuna jina la Brunwick kwa Waingereza....jina la Kiingereza linalofanana na hilo ni Brunswick!!! So, cook wa hiyo comment, aliamua kwa makusudi kutumia jina ambalo ni purely english name ili ionekane ni comment ya Mwingereza! kwa bahati mbaya, kwavile hili si jina maarufu sana huku kwetu, akaishia kuji-name Brunwick badala ya Brunswick!!!! Hata huyo anayejiita Linda Croucher nae inaelekea ni huyo huyo Brunswick fake.....baada ya kuandika na kuona no one commented kwenye post yake; akaamua ku-log in kama Linda Croucher ili aendeleze alichokianzisha!!! Kama mnabisha, wataalamu wa IT hebu chekini IP adresses za hao members wawili kama hamjakuta zinafanana!!! Na msishangae mkakuta ni posted from mitaa ya Kimara!
You are a great thinker!
 
Kuna kila dalili kwamba hiyo ni cooked comment iliyotengenezwa na mwana-JF ili ionekane inatoka kwa Waingereza!!! Kwanza hata ukiangalia profile ya huyo anayeitwa Brunwick unakuta ame-post mara moja tu; kuonesha kwamba ali-join kwa ajili ya kuja kumponda JK, basi!!! Likewise, hakuna jina la Brunwick kwa Waingereza....jina la Kiingereza linalofanana na hilo ni Brunswick!!! So, cook wa hiyo comment, aliamua kwa makusudi kutumia jina ambalo ni purely english name ili ionekane ni comment ya Mwingereza! kwa bahati mbaya, kwavile hili si jina maarufu sana huku kwetu, akaishia kuji-name Brunwick badala ya Brunswick!!!! Hata huyo anayejiita Linda Croucher nae inaelekea ni huyo huyo Brunswick fake.....baada ya kuandika na kuona no one commented kwenye post yake; akaamua ku-log in kama Linda Croucher ili aendeleze alichokianzisha!!! Kama mnabisha, wataalamu wa IT hebu chekini IP adresses za hao members wawili kama hamjakuta zinafanana!!! Na msishangae mkakuta ni posted from mitaa ya Kimara!

Kama unataka kutuaminisha hii ngonjera yako, ni kwa nini na sisi tusiamini kwamba wewe ndio Salva Rweyemamu unaendeleza Propaganda zako za kijinga?







  • [h=6]Lisa M Rockefeller
    [/h][h=6]Tanzania, Tears of Thee......How can these irresponsible regimes survive for so long? If Tanzania cannot uprise against Kikwete's regime, then their condition will never change. Bombs will always explode. RIP the victims of Bongo-La-Mgoto[/h]


 
Hivi kila linalozungumzwa na Waingereza ni sahihi? mbona na ushoga tulibishana nao? Hii inanikumbusha enzi la ukoloni ambapo baadhi ya waafrika walikuwa vibaraka wao.
 
Kama unataka kutuaminisha hii ngonjera yako, ni kwa nini na sisi tusiamini kwamba wewe ndio Salva Rweyemamu unaendeleza Propaganda zako za kijinga?







  • [h=6]Lisa M Rockefeller
    [/h][h=6]Tanzania, Tears of Thee......How can these irresponsible regimes survive for so long? If Tanzania cannot uprise against Kikwete's regime, then their condition will never change. Bombs will always explode. RIP the victims of Bongo-La-Mgoto[/h]



lol. bongo la Mboto
 
****** nimemwona hamnazo baada hii issue ya Posho za wabunge, alipomsakizia Pinda ndo atolee maamuzi. Shida yake yeye aonekane hakushiriki kuidhinisha iyo kitu.
 
katika nchi ambazo siwezi kuzitembelea ni pamoja na Uingereza labda uwe shoga
Raia mwema, usikurupuke! Je unaijua Sweden alikokwenda Kikwete? Hebu soma hii;


  • Sweden became the first country in the world to remove homosexuality as an illness.
  • In 1972, Sweden became the first country in the world to allow transsexuals to legally change their sex, and provides free hormone therapy, equal age of consent set at 15.
  • Sweden is considered to be one of the most gay-friendly countries in Europe and the world when it comes to laws surrounding homosexuality.
  • Sweden today is seen as the greatest campaigner of gay rights.
  • Sweden legalised same-sex sexual activity in 1944; in that year the age of consent became 18.
  • In 1987, a law against sex in gay saunas and prostitution was passed to mitigate the spread of HIV but was repealed in 2004.
  • In 1979, a number of people called in sick with a case of "being homosexual," in protest of homosexuality being classified as an illness.
  • The Swedish parliament voted to make same-sex marriages fully legal from 1 May 2009


Raia Mwema, FYI Uingereza hadi leo haijafikia huko.
 
Sidhani kama kuwakatalia mambo yao mengi ndo iwe chanzo? kila inchi ina taratibu zake na ni nchi nyigi tu zinakataa baadhi ya mambo sio TZ tu...ukweli utabaki kua kweli...UINGEREZA ni nchi iliyotusaidia mengi just imagine mpaka BUNGE lao linatuonea huruma jinsi manunuzi ya RADA yalivyokua sio harari na likajadiri mpaka wakafikishana mahakamani na FEDHA zimerudi ,Je Tanzania wamejadiri hilo? waliohusika tena na wengine kuficha vijisenti katka visiwa vya JERSEY wamehojiwa achilia mbali hivyo vijisenti viliingiaje sasa kwa hapa utawalaumu vipi hawa jamaa kua wanachuki nae nauku hizo hela zingefanya mengi kwao km sio HURUMA? MADINI yetu yanatunufaisha kwa kiasi tunachotarajia? je unajua bei ya GOLD kwa sasa na thamani tunayopata? Je KIKWETE haongozi kwa safari nyingi za nje ambazo ni mizigo isiyobebeka kwa walipakodi na uku vijijini mashule ya msingi ata nguruwe hawezi lala hilo analijua? uchumi wetu ukoje kwa sasa? thamani ya shilingi inaelekea wapi? yani ni mengi ambayo ni upupu huyu jamaa...bwana RICHARD hajakosea ata moja ktk africa mashariki RAIS gani anaezululula km JK? mie nadhani UN itunge sheria ya kukagua maendeleo na pia huwajibikaji wa viongozi wetu na pia iwepo sheria ya kuwazuia viongozi wanaotumia fedha za umma kusafirisafiri ovyo km GADAFI aliwekewa NO FLY ZONE why not this corrupt JK asiwekewe NO FLY LIST?
 
Back
Top Bottom