Waimbaji nyimbo za injili wanakera sana

Nilisema na sasa nasema tena UISLAMU inapokuja suala la HESHIMA YA MAVAZI "MBELE ZA MUNGU NA WANADAMU" nawapa 99.9%
WAKRISTO KUUTUKANISHA UKRISTO WAO KWA AJILI YA MAVAZI NA KUJIWEKA UCHI nawapa 90%
 
Hapo nilipoweka nyekundu naona umekosea:

300 Changes In The NIV and Other Modern Bible Versions

source: 300 Changes In The NIV and Other Modern Bible Versions

Isiyobadilika ni Qur'an pekee.

hapo kwenye red acient/classic arabic haiwezekani ikafanana na modern arabic, acha uongo kama unataka ubishi wa kidini hamisha ujinga na umbumbumbu wako kwenye jukwaa la kidini.

Ukweli ni kuwa mabadiliko ya vitabu vyote vya dini inafanywa kutokana na mabadiliko ya matumizi ya maneni bila kuharibu maana iliyokusudiwa, na unapaswa kuelewa kuwa Bible imetafsiriwa kwa lugha nyingi sana ili kila mwanadamu aisome pasipo kuwa mtumwa wa kiarabu, original Bible was written in Acient/classic hebrew, Greek and aramaic (lugha iliyokwisha kufa-haipo).

Kwa mfano miaka ya nyuma 1970-1990's hapa Tanzania, neno shoga lilimaanisha rafiki wa kike hata kwenye kamusi....leo ukisikia mtu anasema kuwa ni shoga inaambatana na maana nyingine ya ms.enge.

Sas ukisoma classic NIV au king james version ya kwanza kabisa usitegemee kuona maneno yamefanana kwa sababu ya mabadiliko ya lugha, likewise qurani, tunaoisoma tunaelewa...tatizo kubwa wewe ni mmoja wa watu mnaopenda umbeya-kusimuliwa simuliwa tu hovyo hovyo vitu ambavyo kwa uvivu wa akili yenu hamtaki kuvichunguza.
 
Kwa kweli nimefurahishwa na hii mada nikaona na mimi niseme.

Hawa waimbaji wa Injili, kwa kweli wengine ambao ni wachache wanajua wanafanya nini, na wanamtukuza na kumsifu Mungu. Lakini waliowengi, ni kujiremba kulikopitiliza (wakati tunaambiwa tuwe na kiasi), ni kujichubua kwenda mbele, mavazi yasiyomtukuza Mungu, tisa kumi ni kwenye staili, ni mauno kwenda mbele. Yaani unaenda kwenye tamasha, mpaka unakereka, na kuujutia muda wako. Mimi siku hizi siendi kwenye matamasha yao. Wapo waliosimama kwenye mstari na wasanii pia wapo. Muonekano wao haumpi utukufu Mungu na badala yake unampa utukufu shetani. Utakuta nyimbo ulipoisikia kwenye radio ulihisi uwepo wa Mungu lakini ukimwona live anayeimba au hata video yake, unachoka kabisaaaa. Sijui wanadanganyika kuwa staili zao za mauno, kujichubua ndiyo kunafanya albam iuzike. Kweli wako kibiashara na inabidi waambiwe kwa njia kama hizi na nyinginezo na pia waombewe, wanatudhalilisha

Usidanganyike, Mungu hadhihakiwi, chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna
 
Na wale wanaovaa magauni yaliyobana hadi zile nguo za sirini zinaonekana mbona hamuwasemi? Naona mmengangania tu suruali. Dont judge a book by its cover. Hakuna vazi litakalompeleka mtu Mbunguni bali imani na mtendo yako. Chamuhimu ni kuwashauri waangalie na mitindo ya nguo wanazovaa imekaaje.
<br />


Mkubwa,vazi analovaa Mtu huelezea kinachokwenda katika Mawazo yake,Hauwezi kuvaa kikahaba halafu iwe sawa tu kwa sababu mavazi hayampeleki mtu mbinguni,si sahihi!! Wakristo watavaa kwa kujisitiri,mavazi yanahusika!!
 
Hata wenzetu walianza kama sisi tunavyotetea.....walianza na pombe kidogo ruksa,ikaja mavazi si hoja,ikafuata ndoa za jinsia moja si tatizo....SASA WAMETEUA ASKOFU SHOGA....!
IGENI BASI NA HIYO...!
 
Usiangalie MAVAZI! Angalia mioyo yao! Maana mavazi hawatakwenda nayo mbinguni! suala la kibiashara zaidi! hivi mnataka wakale wapi? Ajira zenyewe ndio hz!
<br />


Kaka Mavazi yanahusika,Mkristo atavaa kwa kujiheshimu na kutokuwakwaza wengine!!
Mtu akwazaye wenzie imempasa afungwe jiwe kubwa shingoni mwake na kutupwa katikati ya kilindi cha bahari!!
Mavazi ya Mtu ni sehemu ya Utakatafi,Mtu hawezi kuwa safi moyoni halafu akavaa kikahaba! Husafi huanzia ndani na kumiminikia nje,Mavazi yanahusika 100%
 
Vazi ni kitu kimojawapo cha kumwonyesha mtu alivyo, "utawajua kwa matendo yao" hakika waimbaji wa injili wanatakiwa kubadilika.
 
Ukitaka kuzungumzia mavazi zungumzia mavazi, Nani alikuambia au ni wapi imeandikwa suruali ni nguo ya kiume?

we unayelindwa na damu ya Yesu sijui kama unaelewa. we unasoma Biblia ipi? acheni kujitetea wanakosea maana biblia inasema wanawake wasivae mavazi ya wanaume. we umkuwaona wanaume wakivaa sketi na blauzi wakaenda kanisani kumwabudu Mungu? lakini sishangai sana kwani siku hizi watu hujifunza kuyapita maandiko na kuyaona kama kitu cha kawaida sana. olee wako kik=jana hukumu inakuja
 
Ukitaka kuzungumzia mavazi zungumzia mavazi, Nani alikuambia au ni wapi imeandikwa suruali ni nguo ya kiume?

Wewe acha kuchangia baadhi ya mambo utadhani unachangia siasa....Kaptula imetajwa katika bilblia kama vazi walilokuwa wanavaa makuhani,na kumbuka makuhani walikuwa wanaume tu...na biblia imesema wazi kuwa mwanaume asivae mavazi yampasayo mwanamke na mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume...
 
WanaJF wenzangu mimi binafsi kwa kipindi kirefu huwa nakerwa sana na hawa waimbaji wa nyimbo za injili,hadi najiuliza hivi hakuna chombo kinachoratibu maadili na mienendo ya hawa waimbaji wa nyimbo za injili?.Hasa kinachokera ni mavazi wanayoyavaa sijui kama kwenye biblia kuna sehemu inayomruhusu mwanamke kuvaa suruali.Waimbaji hawa wakumbuke kuwa biblia haifanyiwi marekebisho kama katiba na pia kama wanashindana na waimbaji wa kizazi kipya wawe wazi tuwaelewe mmoja wao namnukuu anayeimba SHETANI HUNIWEZI IMEKULA KWAKO!!!!!!

Kwa suala la mavazi, naufagilia uislam! Mavazi wanayovaa waimbaji wa injili ni uchafu mtupu! Naungana na hoja yako kabisa kwamba inaonekana wanashindana na wanamuziki wa kizazi kipya! Wapuuzi sana!
 
WanaJF wenzangu mimi binafsi kwa kipindi kirefu huwa nakerwa sana na hawa waimbaji wa nyimbo za injili,hadi najiuliza hivi hakuna chombo kinachoratibu maadili na mienendo ya hawa waimbaji wa nyimbo za injili?.Hasa kinachokera ni mavazi wanayoyavaa sijui kama kwenye biblia kuna sehemu inayomruhusu mwanamke kuvaa suruali.Waimbaji hawa wakumbuke kuwa biblia haifanyiwi marekebisho kama katiba na pia kama wanashindana na waimbaji wa kizazi kipya wawe wazi tuwaelewe mmoja wao namnukuu anayeimba SHETANI HUNIWEZI IMEKULA KWAKO!!!!!!

hapo kweye bold+red , nionyese kwenye biblia sehemu inayomruhusu MWANAUME kuvaa suruali. BTW, Yesu hakuvaa suruali.
 
hapo kwenye red acient/classic arabic haiwezekani ikafanana na modern arabic, acha uongo kama unataka ubishi wa kidini hamisha ujinga na umbumbumbu wako kwenye jukwaa la kidini.

Ukweli ni kuwa mabadiliko ya vitabu vyote vya dini inafanywa kutokana na mabadiliko ya matumizi ya maneni bila kuharibu maana iliyokusudiwa, na unapaswa kuelewa kuwa Bible imetafsiriwa kwa lugha nyingi sana ili kila mwanadamu aisome pasipo kuwa mtumwa wa kiarabu, original Bible was written in Acient/classic hebrew, Greek and aramaic (lugha iliyokwisha kufa-haipo).

Kwa mfano miaka ya nyuma 1970-1990's hapa Tanzania, neno shoga lilimaanisha rafiki wa kike hata kwenye kamusi....leo ukisikia mtu anasema kuwa ni shoga inaambatana na maana nyingine ya ms.enge.

Sas ukisoma classic NIV au king james version ya kwanza kabisa usitegemee kuona maneno yamefanana kwa sababu ya mabadiliko ya lugha, likewise qurani, tunaoisoma tunaelewa...tatizo kubwa wewe ni mmoja wa watu mnaopenda umbeya-kusimuliwa simuliwa tu hovyo hovyo vitu ambavyo kwa uvivu wa akili yenu hamtaki kuvichunguza.
Acha kukurupuka. Una hakika Quran imebadilika??? Au unajiandikia ili ionekane kuwa kwa sababu Biblia inabadilika kutoka kipindi fulani hadi kingine basi ni lazima na Quran nayo ibadilike.

Kwa taarifa yako Quran iko vilevile tangu ilipoandikwa kwa mara ya kwanza na itabaki hivyo. Usijiandikie mambo tu ili kujiridhisha nafsi yako. Na pia ni vizuri ukajua kuwa ni vyema kutamka kile ambacho una hakika nacho. Eti kwa sisi tunaoisoma, we unaweza kusoma Quran (wakati umeshaibeza lugha iliyotumika kuiandika??!!!!).

Kitu kingine jaribu kutofautisha mabadiliko ya lugha na kitabu cha Allah(sw). Hakuna ubishi kuwa kiarabu kinabadilika tena sana tu lakini ni lazima ujue Quran ni ileile haitobadilika kamwa hata kama roho itakuuma. Na ndio maana hata waarabu wa leo inawabidi waingie darasani kusoma Quran ili waielewe vizuri.

kwa hiyo siku nyingine usikurupuke na kuandika upupu hapa JF. Ni heri ukae kimya kama hujui.
 
hapo kwenye red acient/classic arabic haiwezekani ikafanana na modern arabic, acha uongo kama unataka ubishi wa kidini hamisha ujinga na umbumbumbu wako kwenye jukwaa la kidini.

Ukweli ni kuwa mabadiliko ya vitabu vyote vya dini inafanywa kutokana na mabadiliko ya matumizi ya maneni bila kuharibu maana iliyokusudiwa, na unapaswa kuelewa kuwa Bible imetafsiriwa kwa lugha nyingi sana ili kila mwanadamu aisome pasipo kuwa mtumwa wa kiarabu, original Bible was written in Acient/classic hebrew, Greek and aramaic (lugha iliyokwisha kufa-haipo).

Kwa mfano miaka ya nyuma 1970-1990's hapa Tanzania, neno shoga lilimaanisha rafiki wa kike hata kwenye kamusi....leo ukisikia mtu anasema kuwa ni shoga inaambatana na maana nyingine ya ms.enge.

Sas ukisoma classic NIV au king james version ya kwanza kabisa usitegemee kuona maneno yamefanana kwa sababu ya mabadiliko ya lugha, likewise qurani, tunaoisoma tunaelewa...tatizo kubwa wewe ni mmoja wa watu mnaopenda umbeya-kusimuliwa simuliwa tu hovyo hovyo vitu ambavyo kwa uvivu wa akili yenu hamtaki kuvichunguza.

asante,mbumbumbu wa aina hii wengi sana,anakurupuka kunakili mambo bila kufanya tafakuri.
 
WanaJF wenzangu mimi binafsi kwa kipindi kirefu huwa nakerwa sana na hawa waimbaji wa nyimbo za injili,hadi najiuliza hivi hakuna chombo kinachoratibu maadili na mienendo ya hawa waimbaji wa nyimbo za injili?.Hasa kinachokera ni mavazi wanayoyavaa sijui kama kwenye biblia kuna sehemu inayomruhusu mwanamke kuvaa suruali.Waimbaji hawa wakumbuke kuwa biblia haifanyiwi marekebisho kama katiba na pia kama wanashindana na waimbaji wa kizazi kipya wawe wazi tuwaelewe mmoja wao namnukuu anayeimba SHETANI HUNIWEZI IMEKULA KWAKO!!!!!!


[h=3]MUME WA FLORA MBASHA ASAKWA KWA UBAKAJI[/h] Posted by GLOBAL on May 29, 2014 at 12:25am 13 Comments 1 Like
Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa

JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha anayetuhumiwa kwa ubakaji.
Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi hilo kupitia vyanzo vyetu makini zinadai kwamba mlalamikaji huyo alifika…
Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha anayetuhumiwa kwa ubakaji.
Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi hilo kupitia vyanzo vyetu makini zinadai kwamba mlalamikaji huyo alifika kituoni hapo Jumatatu iliyopita muda wa mchana na kufungua kesi yenye Kumbukumbu Na. TBT/RB/3191/2014 na ya Jalada la Uchunguzi Na. TBT/IR/1865/2014 akidai kufanyiwa unyama huo kwa siku mbili (Ijumaa na Jumapili) wiki iliyopita nyumbani kwa Mbasha, Tabata-Kimanga, Dar.
Ilidaiwa kuwa, Ijumaa iliyopita mlalamikiwa alifanya kitendo hicho sebuleni nyumbani na Jumapili ilidaiwa alitekeleza ukatili wake huo ndani ya gari lake hali ambayo ilimfanya mlalamikaji kutoa taarifa Kituo cha Polisi, Tabara-Aroma jijini Dar.
Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha anayetafutwa na polisi kwa kosa la ubakaji.
Iliendelea kudaiwa kuwa, kufuatia maumivu makali aliyoyapata mlalamikaji huyo ilibidi aende Hospitali ya Amana na kugundulika kuwa aliingiliwa kimapenzi na kumsababishia michubuko sehemu za siri.
HISTORIA YA MLALAMIKAJI
Mlalamikaji ni kati ya watoto mapacha waliozaliwa jijini Mwanza na mama ambaye jina lake halikupatikana mara moja.
Mama wa mtoto huyo (kwa sasa ni marehemu pamoja na mume wake) akiwa muumini wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God (EAGT) aliamua kumtoa mtoto mmoja kwa mama mzazi wa Flora Mbasha kwa lengo la kumlea, wakati huo mtoto huyo alikuwa na miezi mitatu.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha.
Ikaelezwa kuwa, mama wa Flora alikaa na mtoto huyo akimsomesha hadi alipofika darasa la saba ambapo alimkabidhi kwa Flora na kuishi naye hadi alipofikwa na janga hilo.
Maelezo zaidi yanasema Mbasha aliweza kufanya kitendo hicho kwa sababu mkewe (Flora) ameondoka nyumbani na kwenda kuishi hotelini kwa kile kilichodaiwa kwamba kuna ugomvi mkubwa ndani ya ndoa yao.
Taarifa zaidi zinadai kwa sasa Mbasha naye hayupo nyumbani kwake huku mlalamikaji yuko Hospitali ya Amana akiendelea kufanyiwa uchunguzi wa kiafya ili kubaini kama ana maambukizi ya magonjwa ya zinaa au la!
Wanandoa hao katika pozi.
Kwa upande wake mlalamikaji huyo alipopigiwa simu juzi kwa lengo la kuthibitisha kuhusiana na sakata hilo alikiri na kusema amekwishatoa taarifa polisi kwa kitendo alichofanyiwa na mwenye nyumba huyo huyo. Endelea kusoma Magazeti Pendwa ya Global Publishers ili kupata mwendelezo wa tukio
hilo.
ANGALIA GLOBAL TV ONLINE MUDA WOTE KWA HABARI MOTO MOTO; KUINGIA, BONYEZA BANNER HAPA CHINI:
 

[h=3]MUME WA FLORA MBASHA ASAKWA KWA UBAKAJI[/h] Posted by GLOBAL on May 29, 2014 at 12:25am 13 Comments 1 Like
Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa

JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha anayetuhumiwa kwa ubakaji.
Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi hilo kupitia vyanzo vyetu makini zinadai kwamba mlalamikaji huyo alifika…
Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha anayetuhumiwa kwa ubakaji.
Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi hilo kupitia vyanzo vyetu makini zinadai kwamba mlalamikaji huyo alifika kituoni hapo Jumatatu iliyopita muda wa mchana na kufungua kesi yenye Kumbukumbu Na. TBT/RB/3191/2014 na ya Jalada la Uchunguzi Na. TBT/IR/1865/2014 akidai kufanyiwa unyama huo kwa siku mbili (Ijumaa na Jumapili) wiki iliyopita nyumbani kwa Mbasha, Tabata-Kimanga, Dar.
Ilidaiwa kuwa, Ijumaa iliyopita mlalamikiwa alifanya kitendo hicho sebuleni nyumbani na Jumapili ilidaiwa alitekeleza ukatili wake huo ndani ya gari lake hali ambayo ilimfanya mlalamikaji kutoa taarifa Kituo cha Polisi, Tabara-Aroma jijini Dar.
Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha anayetafutwa na polisi kwa kosa la ubakaji.
Iliendelea kudaiwa kuwa, kufuatia maumivu makali aliyoyapata mlalamikaji huyo ilibidi aende Hospitali ya Amana na kugundulika kuwa aliingiliwa kimapenzi na kumsababishia michubuko sehemu za siri.
HISTORIA YA MLALAMIKAJI
Mlalamikaji ni kati ya watoto mapacha waliozaliwa jijini Mwanza na mama ambaye jina lake halikupatikana mara moja.
Mama wa mtoto huyo (kwa sasa ni marehemu pamoja na mume wake) akiwa muumini wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God (EAGT) aliamua kumtoa mtoto mmoja kwa mama mzazi wa Flora Mbasha kwa lengo la kumlea, wakati huo mtoto huyo alikuwa na miezi mitatu.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha.
Ikaelezwa kuwa, mama wa Flora alikaa na mtoto huyo akimsomesha hadi alipofika darasa la saba ambapo alimkabidhi kwa Flora na kuishi naye hadi alipofikwa na janga hilo.
Maelezo zaidi yanasema Mbasha aliweza kufanya kitendo hicho kwa sababu mkewe (Flora) ameondoka nyumbani na kwenda kuishi hotelini kwa kile kilichodaiwa kwamba kuna ugomvi mkubwa ndani ya ndoa yao.
Taarifa zaidi zinadai kwa sasa Mbasha naye hayupo nyumbani kwake huku mlalamikaji yuko Hospitali ya Amana akiendelea kufanyiwa uchunguzi wa kiafya ili kubaini kama ana maambukizi ya magonjwa ya zinaa au la!
Wanandoa hao katika pozi.
Kwa upande wake mlalamikaji huyo alipopigiwa simu juzi kwa lengo la kuthibitisha kuhusiana na sakata hilo alikiri na kusema amekwishatoa taarifa polisi kwa kitendo alichofanyiwa na mwenye nyumba huyo huyo. Endelea kusoma Magazeti Pendwa ya Global Publishers ili kupata mwendelezo wa tukio
hilo.
ANGALIA GLOBAL TV ONLINE MUDA WOTE KWA HABARI MOTO MOTO; KUINGIA, BONYEZA BANNER HAPA CHINI:

Kamakweli alimnyima funds basinkulabbusuhilo
 

Attachments

  • 1401395626749.jpg
    1401395626749.jpg
    13.1 KB · Views: 184
we unayelindwa na damu ya Yesu sijui kama unaelewa. we unasoma Biblia ipi? acheni kujitetea wanakosea maana biblia inasema wanawake wasivae mavazi ya wanaume. we umkuwaona wanaume wakivaa sketi na blauzi wakaenda kanisani kumwabudu Mungu? lakini sishangai sana kwani siku hizi watu hujifunza kuyapita maandiko na kuyaona kama kitu cha kawaida sana. olee wako kik=jana hukumu inakuja

Nimeona wanaume wamevaa madera meupe wako altareni wakiongoza ibada kanisani!
 
bora umeliona hilo ndugu yangu maana wamekuwa waimbaji wa mipasho na sio injili ya kweli. pia wapo kibiashara zaid ndio maana wanavurunda tu mambo yao

Hizi biblia pia zmeandika kuwa Daudi alimsifu Mungu mpaka nguo zkaanguka, sasa hapo cjui mnajishangalisha nini pasipokuwa na cha kushangaa
 
<br />


Asaaaanteeeeee great thinker,Thats y i love Jf,unapata wamwaga ----- na wenye hekima na maarifa kama wewe!! Suruali ni vazi la wanaume,si lazima iandikwe katika lugha ya moja kwa moja,hata kwa akili tu za kawaida!!!

Napata wasiwasi kwa uelewa wenu! Suruali ni vazi la wanaume au tumezaliwa tumekuta wanaume wanavaa! Linaanzaje kuwa ni vazi la wanaume wakati muundo wake una miguu miwili ambayo kla binadamu anayo, suala hapa ni wanaume hawavai magauni na sketi kwa sababu ya maumbile yao tu!
 
Napata wasiwasi kwa uelewa wenu! Suruali ni vazi la wanaume au tumezaliwa tumekuta wanaume wanavaa! Linaanzaje kuwa ni vazi la wanaume wakati muundo wake una miguu miwili ambayo kla binadamu anayo, suala hapa ni wanaume hawavai magauni na sketi kwa sababu ya maumbile yao tu!

Kwa sababu ina lisani mbele na tunakojoa tumesimama.
 
Back
Top Bottom