EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Sda is the best kulinganisha na haya madhehebu mengne, nyimbo zao znaujumbe wa nguvu wa kumtafakari mungu, kimavaz wanajitahidi sana,maandko ndo balaa, rc wao masanamu ndo kwao,nymbo zao hamna ktu zaid utaskia maria maria,na mitndo ya ngoma za jadi. Walokole nymbo zao duu mara facebook,mipasho na kuimba matukio ya watu hasa yakusktsha.