Waimbaji nyimbo za injili wanakera sana

Sda is the best kulinganisha na haya madhehebu mengne, nyimbo zao znaujumbe wa nguvu wa kumtafakari mungu, kimavaz wanajitahidi sana,maandko ndo balaa, rc wao masanamu ndo kwao,nymbo zao hamna ktu zaid utaskia maria maria,na mitndo ya ngoma za jadi. Walokole nymbo zao duu mara facebook,mipasho na kuimba matukio ya watu hasa yakusktsha.
 
Sda is the best kulinganisha na haya madhehebu mengne, nyimbo zao znaujumbe wa nguvu wa kumtafakari mungu, kimavaz wanajitahidi sana,maandko ndo balaa, rc wao masanamu ndo kwao,nymbo zao hamna ktu zaid utaskia maria maria,na mitndo ya ngoma za jadi. Walokole nymbo zao duu mara facebook,mipasho na kuimba matukio ya watu hasa yakusktsha.

wa sabato angalau ukisikiliza unaona miminiko ra uwepo wa Mungu.
 
Na wale wanaovaa magauni yaliyobana hadi zile nguo za sirini zinaonekana mbona hamuwasemi? Naona mmengangania tu suruali. Dont judge a book by its cover. Hakuna vazi litakalompeleka mtu Mbunguni bali imani na mtendo yako. Chamuhimu ni kuwashauri waangalie na mitindo ya nguo wanazovaa imekaaje.
Hivi kumbe kuvaa haingii kwenye matendo eeh? Itabidi nirudi darasani kwenye kiswahili.
 
Kuna tamasha la injil tulienda,jamaa yangu akaniuliza,'imagine wew ndo mungu halafu watu wanakutukuza mbele yako na viduku mpapaso'
 
WanaJF wenzangu mimi binafsi kwa kipindi kirefu huwa nakerwa sana na hawa waimbaji wa nyimbo za injili,hadi najiuliza hivi hakuna chombo kinachoratibu maadili na mienendo ya hawa waimbaji wa nyimbo za injili?.Hasa kinachokera ni mavazi wanayoyavaa sijui kama kwenye biblia kuna sehemu inayomruhusu mwanamke kuvaa suruali.Waimbaji hawa wakumbuke kuwa biblia haifanyiwi marekebisho kama katiba na pia kama wanashindana na waimbaji wa kizazi kipya wawe wazi tuwaelewe mmoja wao namnukuu anayeimba SHETANI HUNIWEZI IMEKULA KWAKO!!!!!!

acha kuongea pumba.kwani kwenye biblia kuna sehemu imeandikwa wanaume wavae suruali?
 
acha kuongea pumba.kwani kwenye biblia kuna sehemu imeandikwa wanaume wavae suruali?

Ndio ndugu ndani ya Biblia Takatifu imeandikwa haimpasi mwanamke kuvaa mavazi yanayomsitiri mwanamume na mwanamume vivyohivyo haimpasi kuvaa mavazi yanayomsitiri mwanamke na pia vazi lolote utakalolionea haya au aibu ni dhambi kwako.
 
Sda is the best kulinganisha na haya madhehebu mengne, nyimbo zao znaujumbe wa nguvu wa kumtafakari mungu, kimavaz wanajitahidi sana,maandko ndo balaa, rc wao masanamu ndo kwao,nymbo zao hamna ktu zaid utaskia maria maria,na mitndo ya ngoma za jadi. Walokole nymbo zao duu mara facebook,mipasho na kuimba matukio ya watu hasa yakusktsha.

Zamani kwaya za kkkt zilikuwa zinajitahidi kuvaa majoho lakini siku hizi utandawazi umetuharibia mambo majoho nayaonaga siku za matamasha na mashindano tu wajaribu kuiga kwaya za wenzetu ulaya wanavaa majoho na sauti zao zimepangika vyema pamoja na ujumbe wa injili sasa hawa wenzetu ndombolo ya solo sijui huwa wanamwimbia nani huwa nakosaga majibu au ndio wale waimbaji Yesu aliosema wanampigia kelele?
 
Sda is the best kulinganisha na haya madhehebu mengne, nyimbo zao znaujumbe wa nguvu wa kumtafakari mungu, kimavaz wanajitahidi sana,maandko ndo balaa, rc wao masanamu ndo kwao,nymbo zao hamna ktu zaid utaskia maria maria,na mitndo ya ngoma za jadi. Walokole nymbo zao duu mara facebook,mipasho na kuimba matukio ya watu hasa yakusktsha.

Umeamua kukifagilia huku ukiponda wengine.....Hao SDA ndo kina nani...mbona mm siwafahamu..
 
[/COLOR]

1. Hakuna mwanadamu anayeweza kuratibu mwenendo na maadili ya mwenzake - KIPIMO hatuna ila Mungu ndie mwenye kipimo - kila MWANADAMU ana udhaifu wake - ila tunamsogelea Mungu kwa NEEMA tupate kutakasika kwa damu ya YESU -

2. Watumishi wa Mungu wanakula madhabahuni na WAIMBAJI WA GOSPEL watakula kwenye madhabahu ya Gospel - wakiimba na kumsifu Mungu

3. Hapo nilipoweka red - ANAYEKUKERA NA MWIMBAJI AU MWIMBO WENYEWE??? NI KWELI IMEKULA KWA SHETANI - kama umeamua kumwacha - sasa ubaya ni upi??? ni huo msamiati au???
Chuki binafsi haifai kwenye mtazamo wa mambo - kama wewe UNAKEREKA wengine WANABARIKIWA

Naomba ukereke na nyimbo za kumsifu shetani na wala sio Gospel songs - zinazomsifu MUNGU


Umenena vyema mkuuu pia ijulikane kwamba unapoamua kuimba nyimbo za injili basi wewe ni mfano wa kuigwa kwa waamini..asa mavazi yao yanatufundisha nini ni kweli kwamba mbinguni wataenda wenye moyo safi na sisi hatujui mioyo yao ila kwa nje tunaona na siku zote mtu atakuhumu kwa muonekano wako mavazi yao hayana haiba kabisa ya enjili na mimi hayanibariki...tabia nyingine inayonikera mimi ni hiii waliyozua ya kujichubua aisee mpaka kuna baadhi mimi binafsi sinunui kanda zao
 
Sda is the best kulinganisha na haya madhehebu mengne, nyimbo zao znaujumbe wa nguvu wa kumtafakari mungu, kimavaz wanajitahidi sana,maandko ndo balaa, rc wao masanamu ndo kwao,nymbo zao hamna ktu zaid utaskia maria maria,na mitndo ya ngoma za jadi. Walokole nymbo zao duu mara facebook,mipasho na kuimba matukio ya watu hasa yakusktsha.

Kwahiyo we kinachokukera kwa RC ni maria na ngoma za jadi?una uhakika wanamuimbaga maria tu au una mambo yako binafsi?imani ya mtu ndio itakayomuokoa kuponda mambo wanayofanya wengine sio tabia nzuri na ikumbukwe ujumbe unaopata wewe sio nitaopata mimi kila mtu ana uwelewa wake....sio lazima wote tutoe comments hasa kama ni za pumba kama yako
 
Kwahiyo we kinachokukera kwa RC ni maria na ngoma za jadi?una uhakika wanamuimbaga maria tu au una mambo yako binafsi?imani ya mtu ndio itakayomuokoa kuponda mambo wanayofanya wengine sio tabia nzuri na ikumbukwe ujumbe unaopata wewe sio nitaopata mimi kila mtu ana uwelewa wake....sio lazima wote tutoe comments hasa kama ni za pumba kama yako

pumba? kama unajua kila mtu ana uelewa wake sasa shaka yako ni ipi kwny uelewa wangu juu ya rc? mbona la masanamu hujasema, unalopoka eti imani ndo itamuingza mtu mbinguni kwahiyo hata washirikina, waabudu sanamu wote tu wataingia mbinguni ksa wana imani na kle wanachokiabudu? ni kweli zpo baadhi ya nymbo za rc znamtukuza Mungu bt huwezi lnganisha na nymbo za sda hata kidogo, pia uache kuleta tabia za kwny familia yako humu za kuona ktu ambacho hakipo kwny ulengwa wako we useme pumba.
 
umeamua kukifagilia huku ukiponda wengine.....hao sda ndo kina nani...mbona mm siwafahamu..

hata ww ni nani mbona skufahamu, sda-wasabato haya sema kingine pia uache ushabiki hali halisi unaijua kwamba wasabato wako vzuri kwenye nymbo bora za injili na wametulia haswaa.
 
imani yao inaruhusu....chombo cha kuratibu ni Biblia tu.....katafute tafute labda utaona.
 
hata ww ni nani mbona skufahamu, sda-wasabato haya sema kingine pia uache ushabiki hali halisi unaijua kwamba wasabato wako vzuri kwenye nymbo bora za injili na wametulia haswaa.

Kwann unataka kunilazimisha kuwa Wasabato ndo wanaimba vizuri wakati hata mimi hao Wasabato siwajui na wala nyimbo zao sijawahi zisikiliza....????

Kutulia ndo nini sasa...??
 
hapo kwenye red acient/classic arabic haiwezekani ikafanana na modern arabic, acha uongo kama unataka ubishi wa kidini hamisha ujinga na umbumbumbu wako kwenye jukwaa la kidini.

Ukweli ni kuwa mabadiliko ya vitabu vyote vya dini inafanywa kutokana na mabadiliko ya matumizi ya maneni bila kuharibu maana iliyokusudiwa, na unapaswa kuelewa kuwa Bible imetafsiriwa kwa lugha nyingi sana ili kila mwanadamu aisome pasipo kuwa mtumwa wa kiarabu, original Bible was written in Acient/classic hebrew, Greek and aramaic (lugha iliyokwisha kufa-haipo).

Kwa mfano miaka ya nyuma 1970-1990's hapa Tanzania, neno shoga lilimaanisha rafiki wa kike hata kwenye kamusi....leo ukisikia mtu anasema kuwa ni shoga inaambatana na maana nyingine ya ms.enge.

Sas ukisoma classic NIV au king james version ya kwanza kabisa usitegemee kuona maneno yamefanana kwa sababu ya mabadiliko ya lugha, likewise qurani, tunaoisoma tunaelewa...tatizo kubwa wewe ni mmoja wa watu mnaopenda umbeya-kusimuliwa simuliwa tu hovyo hovyo vitu ambavyo kwa uvivu wa akili yenu hamtaki kuvichunguza.

Ndugu Qur'an ilivyoshushwa tangu karne hiyo ya 7 mpaka hivi leo hakuna nukta wala herufi iliyobadilishwa. yale ni maneno ya M/Mungu yaliyokamilika. sio kitabu cha lugha kile ndugu yangu ama Kamusi kwamba kutakua na maneno ya msimu yaingizwe katika Qur'an. iko vile vile. anapoisoma Qur'an sura ya kwanza aya ya kwanza imamu wa msikiti wa mbagala majimatitu Tanzania wakati wa swala na anapoisoma Qur'an sura ya kwanza aya ya kwanza imamu wa msikiti huko Linxia Uchina ni kile kile miaka nenda miaka rudi. misimu itapita misimu itakwisha...bila kujali kiswahili kimeingiza maneno gani mapya wala kichina kimeingiza maneno gani mapya.
Akifufuka mtu aliyeishi katika karne hiyo ya 7 na akaisoma Qur an aliyofundishwa enzi hizo hakutakuwa na tofauti ya aina yoyote na atakachokisoma yule anayeishi katika karne hii.
 
nakuunga mkono, kuna na maharusi pia wanavaa mavasi yasio ya STAHA, ila nashukuru MAKANISA mengi yameliona hilo na yanakemea kwa nguvu zote!
 
Ndio ndugu ndani ya Biblia Takatifu imeandikwa haimpasi mwanamke kuvaa mavazi yanayomsitiri mwanamume na mwanamume vivyohivyo haimpasi kuvaa mavazi yanayomsitiri mwanamke na pia vazi lolote utakalolionea haya au aibu ni dhambi kwako.

kuna suruali ukipewa zawadi ukavaa bila kuangalia Unaweza kushangaa unafatwa na watu wote stendi wakicheka.
Hata ww ukiwa unachagua Suruali kuna ambazo huangalii mara mbili maana Unajua ni Suruali za kike...
Zamani walivaa Kanzu wakadesign Suruali for Men wame design 4 Women...
Hata
 
Back
Top Bottom