Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
- Thread starter
- #101
naona maradhi unayafuga mwenyewe toka lini mama ndio akawa father house unaona sasa matokeo yake hayo chukua nafasi yako kama kinara kwenye nyumba
Ndugu yangu umeshaoa?
Kuishi na mwanamke ni chalenji kubwa sana ndugu yangu kwani wana mauzi hawa viumbe we acha tu.