Kelebe
Senior Member
- Jun 28, 2021
- 105
- 472
Habari za Leo wana Jf wenzangu,
Mimi sio mgeni humu. ndani,Nina ID ninayoitumia tangu mwaka 2013 ila kutokana na kitu ninachotaka kukiandika humu basi nimelazimika kufungua ID mpya kabisa.
Nimezaliwa miaka 40 iliyopita ktk moja ya wilaya zilizopo kaskazini ya Tanzania, ni mtoto wa 4 kuzaliwa ktk familia yenye watoto 6,wazazi wangu wote walikua watumishi na sasa amebaki mama tu baada ya baba mzazi kufariki miaka takribani 28 iliyopita.
Twende moja kwa moja kwenye mada yangu.Mnamo mwaka 2009 nilipata ajira katika kampuni moja kubwa tu huko kaskazini mwa Tanzania,nilifanya kazi pale kwa uhodari mkubwa kiasi cha kupelekea kufahamiana na karibu kila mtumishi wa tawi lile,(nasema tawi maana kampuni ina matawi mengi sana Tanzania),ktk kipindi cha miezi mi4 tu ya mwanzo niliaminika na mabosi wa vitengo na idara zote na haikuchukua muda nikapewa ukuu wa kitengo,hapo nikaongeza hadi marupurupu kibao kazini.
Stori yangu ni ya kweli kabisa ambayo ni misukosuko niliyoipata na wala si ya uongo,ukiona INA dalili ya chai basi hulazimishwi kuisoma bali waachie ambao itawafunza na kuwafurahisha,na wala sitarajii kupewa ushauri maana ni mambo yalikwishatokea muda mrefu na yalishapita na sasa naendelea na maisha yangu mapya japokua nimerudi nyuma kidogo kimaisha.
Mimi Nina mke na watoto wawili,wakike na wakiume,. Wakati huo ninaanza kazi pale nilikua na mtoto mmoja tu wa kike na baadae nilikuja kupata mtoto mwingine wa kiume. Naweza kusema mke wangu ni mke bora na ni zawadi kutoka kwa Mungu maana ni mama mwenye Tabia njema na mwenye hofu ya Mungu sana,sisi ni waislamu....
Mke huyu hakimpiti kipindi cha swala hata kimoja(zile sala 5 tunazosali waislamu nadhani wengi mnazijua),sala zake anasalia nyumbani kama dini inavyotutaka kwamba mwanamke asalie nyumbani unless km ana dharura au jambo lolote linalomfanya asiwepo nyumbani basi anaweza kusalia msikitini,...
Nikiwa kazini yy ndio anaenipigia cm na Kunikumbusha kuwa huu ni muda wa swala kwa hio nijitahidi sana niswali, nami wakati mwingine huwa nasali na ninapobanwa na mambo mengi najikuta muda wa swala umepita bila kuswali....kifupi mke huyu ni MTU amelelewa ktk familia iliyoshiba dini sana na hadi namuoa hakuwahi kunipa tunda japo niliwahi kumshawishi aje kwangu ninapoishi kuja Kunisalimia kipindi tukiwa wachumba ila yy alikataa kabisa kufika akidai akifika huko tutapata vishawishi vya shetani na kuingia ktk dhambi ya zinaa.
Kwa kuwa ni binti mrembo basi ckutaka kumkosa nikajikuta tu navumilia hadi cku ya ndoa bila kula tunda,ckuwahi kumwambia MTU yyt kuwa nilivumilia na kuoa bila kuonjeshwa tunda maana nilihofia yule ninaemweleza ataniona fala kwa kununua mbuzi kwenye gunia kutokana na watu wengi kujiwekea utaratibu kuwa hawezi kuoa bila kuonja asali, mimi kwangu kwa kweli ilishindikana kabisa kabisa, hadi namuoa alikua na miaka 21 lakini cha ajabi nilimkuta akiwa hajaguswa na mwanaume, nilijawa na furaha ya ajabu kumuanza mke wangu Mimi mwenyewe.
Nikamuuliza aliwezaje kujilinda hadi umri huo?,Akajibu alishajiwekea nadhiri ya kumlindia heshima mume wake toka akiwa darasa LA 7,.akasema tulipokua wachumba ningemlazimisha sana kutoa penzi basi angeniacha maana angeona Nina tamaa ya penzi na sina nia ya kuoa, ila alinipenda maana ckuwahi kumuomba penzi ktk kipindi chote cha kujuana zaidi ya Kumwomba aje home kunisalimia nae akagoma kwa kuhofia kuwa akifika tu ataliwa hata kwa nguvu....kipindi hicho naoa nilikua nishapitia wasichana si chini ya 50 tangu kubalehe, nakumbuka shule ya msingi nilikula mmoja tukiwa darasa LA 7, sekondary hadi form four pale shuleni nilikula zaidi ya wanafunzi 12 wa vidato tofauti tofauti,...
Hawa nawakumbuka hadi majina mmoja baada ya mwingine, katika kipindi hicho hicho cha sekondari nilikula wanawake wengine ambao either hawakuwa wanafunzi kabisa na wengine walikuwa wanafunzi wa shule nyingine,hawa kwa kweli ckumbuki walikua wangapi,baadae nikaenda chuo ambapo nlisoma miaka 4 vyuo viwili tofauti,huko chuoni napo nilikua wengi sana tu hata idadi sijui,baadae nikaingia mitaani kwenye volunteering na ajira mdogo mdogo za temporary ambapo nilipata ujuzi zaidi na uzoefu zaidi wa kazi zangu,napo huko niliwapiga piga sana tu,na ndio kipindi nilichooa hapo nikiwa sina kazi ya maana kivile,ndio maana nikasema hadi naoa nilishapiga kama 50+ kwa makadirio ya haraka haraka ila inawezekana wakazidi zaidi.
Nilipomkuta mke wangu ni bikra hajachezewa nilifurahi sana, nikajisemea kimoyo moyo jmn na Mimi nitulie sasa, maana km mke nishampata, nisimkere binti wa watu. (hizi nyege hizi jamani nyie acheni tu, kwani niliweza sasa kuacha?)
Nikajitahidi sana kuvunja mahusiano na wanawake wote baada ya kuoa nikijipa imani kuwa nitakuwa muaminifu kwa mke wangu,.
Miaka miwili tangu nioe nikiwa na mtoto wangu tayari binti mzuri kama mama yake nikafanikiwa kupata ajira kwenye kampuni hiyo niliyokwisha ieleza hapo mwanzo.
Miezi ikaisha nikiendelea na kazi na baada ya kuanza kupata marupurupu maisha yakawa bora zaidi,nikanunua hadi kiwanja na kuanza ujenzi hatua za mwanzo. Baadae majaribu ya ngono yakaanzia pale pale ofisini, Nikiwa kijana mtanashati secretary wa bosi wangu akaanza kuonyesha kila dalili ya kunitaka kimapenzi,alikua binti mdogo na mrembo sana jina lake lake naomba nilihifadhi maana anaweza akawepo humu. Binti huyu mrembo kwa haraka haraka ukimtizama utasema hana mume na Mimi ckutaka sana kumuuliza kama ameolewa wala kuuliza kama ana mtoto zaidi nikijiaminisha kuwa hajaolewa.
Basi mwanzoni nilijifanya mgumu kumwelewa nae akawa hakati tamaa,asbh na mapema nikiingia ofcn yy anakuja Kunisalimia na kuniletea vizawadi vya kimtego mtego,Mara Leo aniletee pipi ya lolipop Mara kesho anileletee kiua Mara SAA ya mkononi,basi tu ili mradi kuonyesha ananijali na Kunithamini japo alikua anajua kuwa Nina mke,cku moja asbh akaniletea zawadi eti ya boksa mpya 3 na kuniambia eti hizo ni size yangu na ameninunulia km zawadi,nikagoma kuzipokea lkn akaniomba sana kuwa nizipokee maana ameshazinunua na nisipopokea atazipeleka wapi?.
Mpaka wakati huo nikajiaminisha kuwa hakuolewa na kwa ujinga wangu ckumuuliza ,...nikazipokea.
Rafiki yangu mmoja pale oficn akaugundua mchezo kwa ukaribu nilokua nao kwa binti yule nae akawa ananikazania kuwa Nile mzigo.
Kuna cku tulikua tunatoka kwenda kwenye kazi za nje ya ofisi kama timu Mimi nikiwa kiongozi maana wakati huo nlishapewa ukuu wa kitengo changu.bac binti alinifata na kuniomba nikirudi ofcn nimletee zawadi,nikamuuliza zawadi gani akanambia pipi ya lollipop, na nikaleta kweli.
Weekend ilofuata nikamuomba tuonane mahali flan ambapo palikua restaurant ambayo pia INA lodge kwa nyuma,Nilishaamua kwamba liwalo na liwe,kwa uroho wangu nikaamua sasa namsaliti mke wangu kwa Mara ya kwanza tangu nifunge nae ndoa.jumapili ikafika SAA Tisa mchana nikitangulia kufika mimi kisha nikamtext kuwa nakusubiri nae akajibu yuko njiani anakuja,binti akafika SAA Tisa na nusu akiwa kapendeza hatari kwa nguo zake za heshima,alipofika tu nilipokaa akanibusu shavuni huku akiniomba radhi kwa kuchelewa.Alinikuta nimeagiza juice ya ukwaju nae akaomba kama hiyo.
Pamoja na umalaya wangu wote wa cku za nyuma lkn nilijikuta nakosa mambo ya kuongea na kubaki kimya Mara nyingi au kuongelea mambo ya kazini,.binti alielewa mchezo nae akawa km ndio muongeaji mkuu huku akinitaka niwe huru maana yy alitamani sana kuwa nami mahali kama pale toka zamani sana. Baadae nikajiona fala,nikatest mitambo na kumwambia kuwa cjisikii amani kukaa nae pale maana anaweza kutokea MTU na Kuniona nipo nae pale,nikamwomba twende mahali private ambapo tutakuwa peke yetu bila kuonekana ndio tuzungumze,nae bila hiyana akakubali.
Nikaenda reception kuulizia room nikapata chumba safi kwa 25k,nikalipa then nikatangulia ndani kisha nikamtext njoo chumba namba 9 nipo ndani(ckutaka tuongozane nae),akajibu nakuja mume. Alipofika ndani bila hata ajizi akafunga mlango kwa ufunguo na Kunifata nilipo akanikumbatia kwa nguvu kisha akasema,..." my love nilikusubiri kwa kipindi kirefu sana ili unilete sehemu kama hii,naomba penzi lako maana nakupenda sana,Mara akaudaka mdomo wangu na kuanza kunipa denda,nikaona kanirahisishia maana ckua na jeuri ya kumuanza,mtoto alinipa penzi LA hatari,mtoto mtamu,mtoto wa moto hatari,nilienda raund 2 za ukweli nae akanisifia kuwa nimemkojolesha kwa Mara ya kwanza tokea miaka 2 ipite hajawahi kojoleshwa,hapo ndio akavunja ukimya kwa kunambia kuwa mume wake hajawahi mkojolesha,eti jamaa akipampu Mara NNE au tano kashamwaga,na akimwaga harudii tena,analala usingizi mzito huku anakoroma na kumwacha bibie na hamu zake,akashangaa mm nimepiga mwanzo mwisho hadi anakojoa yy kwanza kisha Mimi,.
Kiukweli nilishtuka kutajiwa neno mume,nikaogopa sana,pa1 na kulala na wanawake kibao huko nyuma ckuwahi kabisa kuwaza kuwa cku moja ntakuja kulala na mke wa MTU,nikamuuliza kuwa mbona hakunambia kama ameolewa?,..akajibu kirahisi tu kuwa alidhani ninajua,eti mbona watu wote wanajua kaolewa na ana mtoto mmoja wa miaka mitatu?,..akanitoa hofu kuwa nisiwe na wasiwasi maana mume wake ana duka lake mjini na hawezi jua maana anarudi home SAA NNE au tano ucku,akaniaminisha kwa maneno kibao kuwa tutakua makini na jamaa hatojua,
Ukweli niliogapa sana na japo nilipanga kurudia round ya mwisho lkn mzigo ukagoma hata kuamka tena kwa woga,nikamwambia tuondoke,tukavaa na kuondoka,baadae nikawaza mbona hata vimatiti vyake ni vidogo na havionyeshi kama kashanyonyesha?,nikakosa jibu.nilifika home SAA moja kasoro na Kumkuta wife anasali swala ya magharibi, nikawahi bafuni chap chap kuoga kisha na Mimi nikasali na kuungana na wife sebuleni,baadae kidogo cm yangu ikaingiza msg WhatsApp, kufungua ni yeye,akanambia VP uko poa?,...ckuijibu maana nikaona nikijibu itaendeleza charting kisha tushikwe,...................
..................,,
...........
Endelea zaidi
Mimi sio mgeni humu. ndani,Nina ID ninayoitumia tangu mwaka 2013 ila kutokana na kitu ninachotaka kukiandika humu basi nimelazimika kufungua ID mpya kabisa.
Nimezaliwa miaka 40 iliyopita ktk moja ya wilaya zilizopo kaskazini ya Tanzania, ni mtoto wa 4 kuzaliwa ktk familia yenye watoto 6,wazazi wangu wote walikua watumishi na sasa amebaki mama tu baada ya baba mzazi kufariki miaka takribani 28 iliyopita.
Twende moja kwa moja kwenye mada yangu.Mnamo mwaka 2009 nilipata ajira katika kampuni moja kubwa tu huko kaskazini mwa Tanzania,nilifanya kazi pale kwa uhodari mkubwa kiasi cha kupelekea kufahamiana na karibu kila mtumishi wa tawi lile,(nasema tawi maana kampuni ina matawi mengi sana Tanzania),ktk kipindi cha miezi mi4 tu ya mwanzo niliaminika na mabosi wa vitengo na idara zote na haikuchukua muda nikapewa ukuu wa kitengo,hapo nikaongeza hadi marupurupu kibao kazini.
Stori yangu ni ya kweli kabisa ambayo ni misukosuko niliyoipata na wala si ya uongo,ukiona INA dalili ya chai basi hulazimishwi kuisoma bali waachie ambao itawafunza na kuwafurahisha,na wala sitarajii kupewa ushauri maana ni mambo yalikwishatokea muda mrefu na yalishapita na sasa naendelea na maisha yangu mapya japokua nimerudi nyuma kidogo kimaisha.
Mimi Nina mke na watoto wawili,wakike na wakiume,. Wakati huo ninaanza kazi pale nilikua na mtoto mmoja tu wa kike na baadae nilikuja kupata mtoto mwingine wa kiume. Naweza kusema mke wangu ni mke bora na ni zawadi kutoka kwa Mungu maana ni mama mwenye Tabia njema na mwenye hofu ya Mungu sana,sisi ni waislamu....
Mke huyu hakimpiti kipindi cha swala hata kimoja(zile sala 5 tunazosali waislamu nadhani wengi mnazijua),sala zake anasalia nyumbani kama dini inavyotutaka kwamba mwanamke asalie nyumbani unless km ana dharura au jambo lolote linalomfanya asiwepo nyumbani basi anaweza kusalia msikitini,...
Nikiwa kazini yy ndio anaenipigia cm na Kunikumbusha kuwa huu ni muda wa swala kwa hio nijitahidi sana niswali, nami wakati mwingine huwa nasali na ninapobanwa na mambo mengi najikuta muda wa swala umepita bila kuswali....kifupi mke huyu ni MTU amelelewa ktk familia iliyoshiba dini sana na hadi namuoa hakuwahi kunipa tunda japo niliwahi kumshawishi aje kwangu ninapoishi kuja Kunisalimia kipindi tukiwa wachumba ila yy alikataa kabisa kufika akidai akifika huko tutapata vishawishi vya shetani na kuingia ktk dhambi ya zinaa.
Kwa kuwa ni binti mrembo basi ckutaka kumkosa nikajikuta tu navumilia hadi cku ya ndoa bila kula tunda,ckuwahi kumwambia MTU yyt kuwa nilivumilia na kuoa bila kuonjeshwa tunda maana nilihofia yule ninaemweleza ataniona fala kwa kununua mbuzi kwenye gunia kutokana na watu wengi kujiwekea utaratibu kuwa hawezi kuoa bila kuonja asali, mimi kwangu kwa kweli ilishindikana kabisa kabisa, hadi namuoa alikua na miaka 21 lakini cha ajabi nilimkuta akiwa hajaguswa na mwanaume, nilijawa na furaha ya ajabu kumuanza mke wangu Mimi mwenyewe.
Nikamuuliza aliwezaje kujilinda hadi umri huo?,Akajibu alishajiwekea nadhiri ya kumlindia heshima mume wake toka akiwa darasa LA 7,.akasema tulipokua wachumba ningemlazimisha sana kutoa penzi basi angeniacha maana angeona Nina tamaa ya penzi na sina nia ya kuoa, ila alinipenda maana ckuwahi kumuomba penzi ktk kipindi chote cha kujuana zaidi ya Kumwomba aje home kunisalimia nae akagoma kwa kuhofia kuwa akifika tu ataliwa hata kwa nguvu....kipindi hicho naoa nilikua nishapitia wasichana si chini ya 50 tangu kubalehe, nakumbuka shule ya msingi nilikula mmoja tukiwa darasa LA 7, sekondary hadi form four pale shuleni nilikula zaidi ya wanafunzi 12 wa vidato tofauti tofauti,...
Hawa nawakumbuka hadi majina mmoja baada ya mwingine, katika kipindi hicho hicho cha sekondari nilikula wanawake wengine ambao either hawakuwa wanafunzi kabisa na wengine walikuwa wanafunzi wa shule nyingine,hawa kwa kweli ckumbuki walikua wangapi,baadae nikaenda chuo ambapo nlisoma miaka 4 vyuo viwili tofauti,huko chuoni napo nilikua wengi sana tu hata idadi sijui,baadae nikaingia mitaani kwenye volunteering na ajira mdogo mdogo za temporary ambapo nilipata ujuzi zaidi na uzoefu zaidi wa kazi zangu,napo huko niliwapiga piga sana tu,na ndio kipindi nilichooa hapo nikiwa sina kazi ya maana kivile,ndio maana nikasema hadi naoa nilishapiga kama 50+ kwa makadirio ya haraka haraka ila inawezekana wakazidi zaidi.
Nilipomkuta mke wangu ni bikra hajachezewa nilifurahi sana, nikajisemea kimoyo moyo jmn na Mimi nitulie sasa, maana km mke nishampata, nisimkere binti wa watu. (hizi nyege hizi jamani nyie acheni tu, kwani niliweza sasa kuacha?)
Nikajitahidi sana kuvunja mahusiano na wanawake wote baada ya kuoa nikijipa imani kuwa nitakuwa muaminifu kwa mke wangu,.
Miaka miwili tangu nioe nikiwa na mtoto wangu tayari binti mzuri kama mama yake nikafanikiwa kupata ajira kwenye kampuni hiyo niliyokwisha ieleza hapo mwanzo.
Miezi ikaisha nikiendelea na kazi na baada ya kuanza kupata marupurupu maisha yakawa bora zaidi,nikanunua hadi kiwanja na kuanza ujenzi hatua za mwanzo. Baadae majaribu ya ngono yakaanzia pale pale ofisini, Nikiwa kijana mtanashati secretary wa bosi wangu akaanza kuonyesha kila dalili ya kunitaka kimapenzi,alikua binti mdogo na mrembo sana jina lake lake naomba nilihifadhi maana anaweza akawepo humu. Binti huyu mrembo kwa haraka haraka ukimtizama utasema hana mume na Mimi ckutaka sana kumuuliza kama ameolewa wala kuuliza kama ana mtoto zaidi nikijiaminisha kuwa hajaolewa.
Basi mwanzoni nilijifanya mgumu kumwelewa nae akawa hakati tamaa,asbh na mapema nikiingia ofcn yy anakuja Kunisalimia na kuniletea vizawadi vya kimtego mtego,Mara Leo aniletee pipi ya lolipop Mara kesho anileletee kiua Mara SAA ya mkononi,basi tu ili mradi kuonyesha ananijali na Kunithamini japo alikua anajua kuwa Nina mke,cku moja asbh akaniletea zawadi eti ya boksa mpya 3 na kuniambia eti hizo ni size yangu na ameninunulia km zawadi,nikagoma kuzipokea lkn akaniomba sana kuwa nizipokee maana ameshazinunua na nisipopokea atazipeleka wapi?.
Mpaka wakati huo nikajiaminisha kuwa hakuolewa na kwa ujinga wangu ckumuuliza ,...nikazipokea.
Rafiki yangu mmoja pale oficn akaugundua mchezo kwa ukaribu nilokua nao kwa binti yule nae akawa ananikazania kuwa Nile mzigo.
Kuna cku tulikua tunatoka kwenda kwenye kazi za nje ya ofisi kama timu Mimi nikiwa kiongozi maana wakati huo nlishapewa ukuu wa kitengo changu.bac binti alinifata na kuniomba nikirudi ofcn nimletee zawadi,nikamuuliza zawadi gani akanambia pipi ya lollipop, na nikaleta kweli.
Weekend ilofuata nikamuomba tuonane mahali flan ambapo palikua restaurant ambayo pia INA lodge kwa nyuma,Nilishaamua kwamba liwalo na liwe,kwa uroho wangu nikaamua sasa namsaliti mke wangu kwa Mara ya kwanza tangu nifunge nae ndoa.jumapili ikafika SAA Tisa mchana nikitangulia kufika mimi kisha nikamtext kuwa nakusubiri nae akajibu yuko njiani anakuja,binti akafika SAA Tisa na nusu akiwa kapendeza hatari kwa nguo zake za heshima,alipofika tu nilipokaa akanibusu shavuni huku akiniomba radhi kwa kuchelewa.Alinikuta nimeagiza juice ya ukwaju nae akaomba kama hiyo.
Pamoja na umalaya wangu wote wa cku za nyuma lkn nilijikuta nakosa mambo ya kuongea na kubaki kimya Mara nyingi au kuongelea mambo ya kazini,.binti alielewa mchezo nae akawa km ndio muongeaji mkuu huku akinitaka niwe huru maana yy alitamani sana kuwa nami mahali kama pale toka zamani sana. Baadae nikajiona fala,nikatest mitambo na kumwambia kuwa cjisikii amani kukaa nae pale maana anaweza kutokea MTU na Kuniona nipo nae pale,nikamwomba twende mahali private ambapo tutakuwa peke yetu bila kuonekana ndio tuzungumze,nae bila hiyana akakubali.
Nikaenda reception kuulizia room nikapata chumba safi kwa 25k,nikalipa then nikatangulia ndani kisha nikamtext njoo chumba namba 9 nipo ndani(ckutaka tuongozane nae),akajibu nakuja mume. Alipofika ndani bila hata ajizi akafunga mlango kwa ufunguo na Kunifata nilipo akanikumbatia kwa nguvu kisha akasema,..." my love nilikusubiri kwa kipindi kirefu sana ili unilete sehemu kama hii,naomba penzi lako maana nakupenda sana,Mara akaudaka mdomo wangu na kuanza kunipa denda,nikaona kanirahisishia maana ckua na jeuri ya kumuanza,mtoto alinipa penzi LA hatari,mtoto mtamu,mtoto wa moto hatari,nilienda raund 2 za ukweli nae akanisifia kuwa nimemkojolesha kwa Mara ya kwanza tokea miaka 2 ipite hajawahi kojoleshwa,hapo ndio akavunja ukimya kwa kunambia kuwa mume wake hajawahi mkojolesha,eti jamaa akipampu Mara NNE au tano kashamwaga,na akimwaga harudii tena,analala usingizi mzito huku anakoroma na kumwacha bibie na hamu zake,akashangaa mm nimepiga mwanzo mwisho hadi anakojoa yy kwanza kisha Mimi,.
Kiukweli nilishtuka kutajiwa neno mume,nikaogopa sana,pa1 na kulala na wanawake kibao huko nyuma ckuwahi kabisa kuwaza kuwa cku moja ntakuja kulala na mke wa MTU,nikamuuliza kuwa mbona hakunambia kama ameolewa?,..akajibu kirahisi tu kuwa alidhani ninajua,eti mbona watu wote wanajua kaolewa na ana mtoto mmoja wa miaka mitatu?,..akanitoa hofu kuwa nisiwe na wasiwasi maana mume wake ana duka lake mjini na hawezi jua maana anarudi home SAA NNE au tano ucku,akaniaminisha kwa maneno kibao kuwa tutakua makini na jamaa hatojua,
Ukweli niliogapa sana na japo nilipanga kurudia round ya mwisho lkn mzigo ukagoma hata kuamka tena kwa woga,nikamwambia tuondoke,tukavaa na kuondoka,baadae nikawaza mbona hata vimatiti vyake ni vidogo na havionyeshi kama kashanyonyesha?,nikakosa jibu.nilifika home SAA moja kasoro na Kumkuta wife anasali swala ya magharibi, nikawahi bafuni chap chap kuoga kisha na Mimi nikasali na kuungana na wife sebuleni,baadae kidogo cm yangu ikaingiza msg WhatsApp, kufungua ni yeye,akanambia VP uko poa?,...ckuijibu maana nikaona nikijibu itaendeleza charting kisha tushikwe,...................
..................,,
...........
Endelea zaidi
Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma
Habari za Leo wana Jf wenzangu, Mimi sio mgeni humu. ndani,Nina ID ninayoitumia tangu mwaka 2013 ila kutokana na kitu ninachotaka kukiandika humu basi nimelazimika kufungua ID mpya kabisa. Nimezaliwa miaka 40 iliyopita ktk moja ya wilaya zilizopo kaskazini ya Tanzania, ni mtoto wa 4 kuzaliwa...
www.jamiiforums.com