Waifu kanisamehe kikweli kweli au?

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.
 
USIJALI WALA USIOGOPE AMEKUSAMEHE kama unavyosema "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"
 
Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.

Anavizia akukate hizo nanhii.....kwa hiyo usilale hata chembe...
 
kwa vile wewe ndiye unayemjua vizuri na uko karibu naye,wewe ndio usome alama za nyakati kwa makini halafu utajua kama kasamehe au la.
nakuomba uache hako katabia kenye kupelekea visms vya hatari.
NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
 
USIJALI WALA USIOGOPE AMEKUSAMEHE kama unavyosema "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"


kama na yeye ana mabaya yake inakuuma? mbona wewe una yako na umemuumiza vya kutosha tu sema ana act haja mind...kuna mawili kakuweka kiporo kwanza atulie ajue afanyaje au ndio yupo kwenye mchakato wa revenge, maisha ni mafupi sana nyie waume zetu bado mnataka kuyafupisha zaidi.... ,huwaga cna huruma kwa watu kama nyie....AMESAMEHE KIRAHISI HIVYO...UNACHEZA WEWE!
 
Ndugu yangu usibabike na hiyo signature.
wanawake ni watu wa visasi sana ni lazma niwe na hofu.

Hebu anza kuchunga mnara wako wa simu asije akaamka usiku akaung'oa si unajua wanawake huwa wanaangalia wapi pa kuumiza itabidi usiku ulale umevaa PROTECTIVE GEAR
 
kwa vile wewe ndiye unayemjua vizuri na uko karibu naye,wewe ndio usome alama za nyakati kwa makini halafu utajua kama kasamehe au la.
nakuomba uache hako katabia kenye kupelekea visms vya hatari.
NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.

So kwenye red hapo unamaanisha kazi za nje niendelee kama kawaida ila niwe makini kwenye sms tu? Asante sana.
 
kama na yeye ana mabaya yake inakuuma? mbona wewe una yako na umemuumiza vya kutosha tu sema ana act haja mind...kuna mawili kakuweka kiporo kwanza atulie ajue afanyaje au ndio yupo kwenye mchakato wa revenge, maisha ni mafupi sana nyie waume zetu bado mnataka kuyafupisha zaidi.... ,huwaga cna huruma kwa watu kama nyie....AMESAMEHE KIRAHISI HIVYO...UNACHEZA WEWE!

Dearest upo wangu
 
U r wrong kaka yangu,hakuna watu wepesi wa kusamehe kama wanawake.
tunasamehe ila hatusahau kirahisi.

hivi hiyo ndio tutaweza sema kinyongo? bac mie kiboko wa hiyo...jamani tuseme ukweli hakuna mwanamke wa kusahau kitu kama hiki mapema ni ngumu sana, wanaume kila cku nawambia humu nyie ndio chanzo cha matatizo ndani mwenu, halafu unafikiria kwamba na yeye labda ana mabaya yake kaona ngoma droo haina haja ya kulianzisha...mschew! sasa hapa tegemea vituko vianze.....yaani mnaharibugi sana, hapa umeshampanua akili ya ziada amabyo hakuwa nayo mwanzoni.
 
Kila kukicha vituko vya wanaume haviishi ..
Sina hakika kama mkeo amekusamehe au raha ..inawezekana kampokea roho mtakatifu. au ulimkuta katoka mood nzuri
Muulize tena kwa upole kama ni kweli amekusamehe toka moyoni ,uombe msamaha na usirudie tena hayo makosa .
Mbona hamridhiki ?
 
hivi hiyo ndio tutaweza sema kinyongo? bac mie kiboko wa hiyo...jamani tuseme ukweli hakuna mwanamke wa kusahau kitu kama hiki mapema ni ngumu sana, wanaume kila cku nawambia humu nyie ndio chanzo cha matatizo ndani mwenu, halafu unafikiria kwamba na yeye labda ana mabaya yake kaona ngoma droo haina haja ya kulianzisha...mschew! sasa hapa tegemea vituko vianze.....yaani mnaharibugi sana, hapa umeshampanua akili ya ziada amabyo hakuwa nayo mwanzoni.

Lets assume umempata mwanaume mwingine bado utaendelea kukumbuka yale mabaya aliyokutendea yule mwingine uliyeachana nae na kuendelea kumuwekea kinyngo?
 
Amekusamehe - Wewe endelea tu na akina "Anjelina" as usual:

Usijaribu hata kidogo kubadilisha "life-style" : Tafuta sim card nyingine ya "siri" uedelee na mawasiliano ya "siri"

Concept ya Mke-Mmoja Mme-Mmoja imepitwa na wakati : Watu wana-pretend tu!
 
Ukiona amekuwa mpole ghafla ujue amekuonea huruma, yeye anafanya mabaya zaidi yako
msaada wenu wa mawazo please.
Juzi nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.
 
Kila kukicha vituko vya wanaume haviishi ..
Sina hakika kama mkeo amekusamehe au raha ..inawezekana kampokea roho mtakatifu. au ulimkuta katoka mood nzuri
Muulize tena kwa upole kama ni kweli amekusamehe toka moyoni ,uombe msamaha na usirudie tena hayo makosa .
Mbona hamridhiki ?

Hauwezi kupingana na NATURE by the way mke mtarajiwa anaendeleaje unamkuza vizuri
 
Dearest upo wangu

nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI
 
hivi hiyo ndio tutaweza sema kinyongo? bac mie kiboko wa hiyo...jamani tuseme ukweli hakuna mwanamke wa kusahau kitu kama hiki mapema ni ngumu sana, wanaume kila cku nawambia humu nyie ndio chanzo cha matatizo ndani mwenu, halafu unafikiria kwamba na yeye labda ana mabaya yake kaona ngoma droo haina haja ya kulianzisha...mschew! sasa hapa tegemea vituko vianze.....yaani mnaharibugi sana, hapa umeshampanua akili ya ziada amabyo hakuwa nayo mwanzoni.

hio sio kinyongo,si ushashuhudia mara nyingi kina baba wanatembea/zaa na housegirls,wanacheat na vituko vingi vya usaliti lkn wanawake zao wanawasamehe na maisha yanasonga na wanaendelea kuwapenda lkn kusahau lile tukio sio rahisi .kinyongo ni pale unaposhindwa kumsamehe mtu hata upite muda gani unamchukia tu.
anyway huo ni mtizamo wangu.
 
Amekusamehe - Wewe endelea tu na akina "Anjelina" as usual:

Usijaribu hata kidogo kubadilisha "life-style" : Tafuta sim card nyingine ya "siri" uedelee na mawasiliano ya "siri"

Concept ya Mke-Mmoja Mme-Mmoja imepitwa na wakati : Watu wana-pretend tu!

Ngoja ninukuu hii kwa niaba ya katibu halafu nitaipeleka kwenye kikao chetu cha ISC ijadiliwe kwa mapana zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom