The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,079
ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
We subili revenge yake lakini usirushe ngumi.
waswahili wanasema utasoma plate number ha ha ha ha ha ha ha ha ha
ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
We subili revenge yake lakini usirushe ngumi.
Thubutu!!
[/COLOR]
Duh!, Hayo maneno ni makali sana, yapunguzie kidogo ukali sio wanaume wote wako vile inatokea kwa baadhi, lakini wengine wanaheshimu ndoa zao vilivyo.
Mbona unapemda sana kunipa presha ili mradi tu ujue kama kweli nakupenda, okay haya basi :A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S 8::A S 8::A S 8:
waswahili wanasema utasoma plate number ha ha ha ha ha ha ha ha ha
jikaushe bana unajua fl1 yuko anga hizi halafu sitaki kugombana naye,njoo pale kichochoroni pa siku zote tutaongea vizuri maana hapa namuogopa mkweo ukizingatia inabidi na mie nionyeshe kina mama wenzangu kua nakemea infidelity si unaona walivyokasirika kwa kitendo cha ndibalema kumsaliti mbeijin mwenzetu.
Kusema kweli kama ndo mimi ningezikuta zile sms kwenye simu yake, hakyanani leo ningekuwa mahabusu Keko.
Hahahaha kibaya zaidi yeye analipizia kibab kubwa anachonga na njemba yake imusms kisha anajifanya alisahau cmu mezani anakuta na sms inasema tiGo yako tamu sana lazima jamaa ajinyonge hahahaha
Nina uhakika maumivu atakayopata jamaa lazima watu watundikwe mitini au juu ya dari
kusema kweli kaka ndibalema hii kauli yako imenifanya nijisikie vibaya kweli.
unajua kila siku najiuliza kama kweli nawajua wanaume vizuri!
mkuki kwa nguruwe sio eeh,kwa nini unamfanyia mkeo vitu ambavyo unakiri huwezi kukubali kufanyiwa naye?unapomfanyia ambayo hutaki akufanyie ni kuwa uko bora kumshinda au?
kaka jirekebisheni!!
katibu naona anataka afukuzwe kazi!Mpwa umechukua minutes za hii statement maana inabidi kuiwakilisha kule
cjasema wote mnafanya kama Ndibalema, nimlimaanisha kwamba ucpokuwa na kituko hiki atakuwa na kile....na ni uklweli, full vituko.
kusema kweli kaka ndibalema hii kauli yako imenifanya nijisikie vibaya kweli.
unajua kila siku najiuliza kama kweli nawajua wanaume vizuri!
mkuki kwa nguruwe sio eeh,kwa nini unamfanyia mkeo vitu ambavyo unakiri huwezi kukubali kufanyiwa naye?unapomfanyia ambayo hutaki akufanyie ni kuwa uko bora kumshinda au?
kaka jirekebisheni!!
kusema kweli kaka ndibalema hii kauli yako imenifanya nijisikie vibaya kweli.
unajua kila siku najiuliza kama kweli nawajua wanaume vizuri!
mkuki kwa nguruwe sio eeh,kwa nini unamfanyia mkeo vitu ambavyo unakiri huwezi kukubali kufanyiwa naye?unapomfanyia ambayo hutaki akufanyie ni kuwa uko bora kumshinda au?
kaka jirekebisheni!!
kama na yeye ana mabaya yake inakuuma? mbona wewe una yako na umemuumiza vya kutosha tu sema ana act haja mind...kuna mawili kakuweka kiporo kwanza atulie ajue afanyaje au ndio yupo kwenye mchakato wa revenge, maisha ni mafupi sana nyie waume zetu bado mnataka kuyafupisha zaidi.... ,huwaga cna huruma kwa watu kama nyie....AMESAMEHE KIRAHISI HIVYO...UNACHEZA WEWE!
Katika ndoa hakuna revenge - Ni institution ambaye Mwanaume ni KICHWA cha familia - mwanamke is anything below it - akitaka anaweza kuwa shingo au hata kiwiliwili kilichobakia. Kwahiyo mwanaume anapotenda kosa kama hilo lazima asamehewe ili MWILI uendelee kuishi la sivyo hakutakuwepo na maisha.
Lakini kikubwa nataka kumwambia jamaa hapa kama yeye anakula wa wenzie na yeye akubali wa kwake kuliwa haijalisha kujiexpress au nini popote pale kuna wadau wanasema wake za watu wanapo wapata huwa wanajikunja balaaa kama nyani mtu anasimamia kucha
Katika ndoa hakuna revenge - Ni institution ambaye Mwanaume ni KICHWA cha familia - mwanamke is anything below it - akitaka anaweza kuwa shingo au hata kiwiliwili kilichobakia. Kwahiyo mwanaume anapotenda kosa kama hilo lazima asamehewe ili MWILI uendelee kuishi la sivyo hakutakuwepo na maisha.
dah dadangu umeongea ya ukwelinipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI
...Ni shingo, ambayo inazungusha kichwa.....Katika ndoa hakuna revenge - Ni institution ambaye Mwanaume ni KICHWA cha familia - mwanamke is anything below it - akitaka anaweza kuwa shingo au hata kiwiliwili kilichobakia. Kwahiyo mwanaume anapotenda kosa kama hilo lazima asamehewe ili MWILI uendelee kuishi la sivyo hakutakuwepo na maisha.