Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

Mzee wa msoga walimkata p um bu wakati anatibiwa tezi Dume, Ili kuokota nchi inabidi akatwe shingo
 
Wahuni walituchungulia mapema na wametuwahi , itafika mahali wahuni watakuwa wengi ambapo kuwatoa inabidi kumwaga damu,

Wahuni wameikumbatia mihimili ya bunge, mahakama ili tukose la kupata haki inaumiza mno
Haya yasemwayo kama ni kweli na kama ndo kinachoendelea basi ujue kuna janga litakuja tuu automatically.
Na dalili kuu ni pale huo uhuni ukiingia kwenye mfumo wa ulinzi ujue kiufutacho ni out of control.
 
Wahuni wameiteka :-
1.TRA.......biashara zao hazitozwi kodi.
2. TAKUKURU..... wanagawa baiskeli na pikipiki nchi nzima lkn huwasikii wakikamatwa.
 
Haya yasemwayo kama ni kweli na kama ndo kinachoendelea basi ujue kuna janga litakuja tuu automatically.
Na dalili kuu ni pale huo uhuni ukiingia kwenye mfumo wa ulinzi ujue kiufutacho ni out of control.
Kuna kila dalili kwamba ukiangalia yapo mifumo ya ulinzi watanzania tumebaki na matumaini na jwtz tu lakini nayo hati hati hakuna uhakika
 
Kuna kila dalili kwamba ukiangalia yapo mifumo ya ulinzi watanzania tumebaki na matumaini na jwtz tu lakini nayo hati hati hakuna uhakika
Eti kweli kwamba wakuu wachache wa mipaka wamepewa magari mazuri yake ili wakae kimya, naota tu, Kuna waotaji wengi zaidi yangu, wanatoa kweli kweli Sasa hivi
 
Hawa ni wakora sio Wahuni tena.
 
No No, No not real, not true,, kila asiyependa haki hafai. Awe Chadema, CCM, Chauma au yeyote.
Kwenda zako huko mpumbavu
Muasisi wa huu uhuni sasa ni jiwe
Huu uchawa usingekuwepo kama jiwe angekemea
Sukuma gang walikuwa wahuni hasaaaa
Nasemaje Mama atawale hadi 2035
Washamba rudini mkachunge ng'ombe
 
Ni bora mara 20 kuendelea na wahuni kuliko kurudi Sukumq gang, ni wakatili zaidi
ukweli ni kuwa wahuni wapo vzuri mnooo , better wahuni kwa kweli kuliko kulishana michembe
 
Kwenda zako huko mpumbavu
Muasisi wa huu uhuni sasa ni jiwe
Huu uchawa usingekuwepo kama jiwe angekemea
Sukuma gang walikuwa wahuni hasaaaa
Nasemaje Mama atawale hadi 2035
Washamba rudini mkachunge ng'ombe
Mkuu kwahyo wew unawaona watz wote wako upande wa sukuma gang na wahuni squad tuu?
Magu na Mama wote ni the same. Kam mama angekuwa makin asinge yachukua mabaya ya Magu akaacha mazuri yake
Kiufupi tz ina thamano kuliko hata JK yerere(mchonga) sembuse Magu na mama?.
Tusiwashabikie wanapo tengeneza nyufa wala tusiwavunje moyo wanapo ziba ufa.
Hakuna raisi aliye zaidi ya uraisi, na uraisi ni kwa ajili ya taifa wala taifa sio kwa ajli ya uraisi.
 
If someone, will not rise up in Tanganyika to oppose these rubbish strongly,, we shall become close/near to Colombia were we can see, cartel gangs, criminal gangs drugs gangs, and all evils.

Nchi ilipo sasa, wahuni wamepora kila mamlaka, na wananchi wamefanywa kuwa watumwa wao. Baadhi ya wananchi wameamua kuwasifia wahuni kwa nguvu zao zote ili angalao wapewe upendeleo wa kuwatumikia wahuni kwa nafasi za karibu, lakini ni watumwa, kwani hawaruhusiwi kuwa na maamuzi.
 
Haya yasemwayo kama ni kweli na kama ndo kinachoendelea basi ujue kuna janga litakuja tuu automatically.
Na dalili kuu ni pale huo uhuni ukiingia kwenye mfumo wa ulinzi ujue kiufutacho ni out of control.
Eti, eti kwenye mfumo wa ??????
Kwenda zako huko mpumbavu
Muasisi wa huu uhuni sasa ni jiwe
Huu uchawa usingekuwepo kama jiwe angekemea
Sukuma gang walikuwa wahuni hasaaaa
Nasemaje Mama atawale hadi 2035
Washamba rudini mkachunge ng'ombe
Sawa, ng'ombe tutachunga maana ni utajiri pia. Ila yeyote anayeuwa watu, awe jiwe awe mama uwe wewe, ananyima haki za msingi za wengine kuishi.

Wamekufa wakati wa Magufuli, nawanakufa wakati huu wote ni wauaji, wote wametengeneza Yatima na wajane.

Ukifa wewe hasara sio kwako, ila unaowaacha.
 
Na wahuni wamedhibiti taarifa za ufisadi kuleak tofauti na zamani ,

Ni kwa sababu maeneo yote muhimu, wahuni wamewaweka watu wao ili kudhibiti taarifa.

Na kuna maeneo wahuni wamewaweka watu ambao japo siyo sehemu ya wahuni asilia, lakini kwa kuwa wanafahamu kwa kina yote ambayo wahuni wanafanya, basi wamepewa privelege zisizo na mipaka. Fikiria huyu mmoja, kwa vile ndiye anayehusika kuhamisha pesa kwenda kuijenga Zanzibar, kununua pikipiki za kuhonga, na yeye akapewa mamlaka ya kuchota kiasi chochote kwaajili ya kutengeneza timu yake ya mpira. Ndiyo maana akatafuta wachezaji anaowalipa mpaka 20 milioni kwa mwezi wakati mshahara wake yeye mlipaji haufiki shilingi 20 milioni. Huyu japo anajua uhuni wote wa hawa wahuni, lakini kwa sababu ya kupewa uhuru wa kuchota kiasi chochote anachokitaka, anawatumikia wahuni kwa nguvu zake zote kwani hatarajii kama kuna mtawala yeyote makini anaweza kumpa uhuru wa namna hiyo.
 
Kuna kila dalili kwamba ukiangalia yapo mifumo ya ulinzi watanzania tumebaki na matumaini na jwtz tu lakini nayo hati hati hakuna uhakika
Hata hilo geshi (no 6 kwa ubora duniani 🤣) ile top layer ni chawa tupu. Inakuwaje haki zinaminywa, rasilimali zinachezewa, etc, wao wapo kimya tu.
 
If someone, will not rise up in Tanganyika to oppose these rubbish strongly,, we shall become close/near to Colombia were we can see, cartel gangs, criminal gangs drugs gangs, and all evils.
Mzee baba someone inabidi iwe wewe, usiende kupiga kura na kama mzazi wako au ndugu yako alijiandikisha kupiga kura(marehemu mzee wangu alikuwa humwambii kitu kuhusu ccm), kadi/kitambulisho cha kupigia kura kiflash toilet, kuhusiana na kuwa kama colombia tumeshakuwa imagine mtu anavunja mlango wa kwanza, wa pili na watatu kumtoa mdude aliyelala chumbani na kumuua, bado unasubiri tuwe kama colombia?
 
Hadi raslimali za nchi walishaziteka ni zao na familia zao!
Na huu wizi ndio unaowafanya wasiachie madaraka, wanajua uchafu waliofanya kwa kifupi wametuibia future ya vizazi vyote vya tanganyika hadi kufikia sasa, kwani mtaji wakufanyia maendeleo inabidi tulipie riba walizokopa yaani sisi watu 60M tunalipa wao wanatumia / wanajitajirisha familia 3 tu na waarabu koko kina rostam azizi, patel, gsm.
 
Na huu wizi ndio unaowafanya wasiachie madaraka, wanajua uchafu waliofanya kwa kifupi wametuibia future ya vizazi vyote vya tanganyika hadi kufikia sasa, kwani mtaji wakufanyia maendeleo inabidi tulipie riba walizokopa yaani sisi watu 60M tunalipa wao wanatumia / wanajitajirisha familia 3 tu na waarabu koko kina rostam azizi, patel, gsm.
Yes it has been worse, but this is the situation.
 
Back
Top Bottom