Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Isijekuwa Makamanda wamefanya yaoBaada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Mkuu, ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Kumbuka wami kuna mamba wenda walianza kula hivyo vitu taratibu






