m ni mwitimu wa chuo kimoja hapa mchini kwetu.. nachoweza sema training tu mhitimu akipewa na organzation yoyote anapiga kazi.. hawa watu ni wahitimu kweli kweli na wana elimu, ila maisha yetu tu hapa nchini n stresfull sana.. ndo maana unaonekana haujui, umechanganyikiwa nk. wapen kaz wawe kama ninyi waongee nao