Wahindi wanatuharibia nchi

Wahindi wanatuharibia nchi

Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba iko siko mume atakosa. Mchana hatukuruhisiwa kulala tulipika maandazi, tulitwanga hina n.k. wali ukibaki tunaanika na siku pesa hakuna tunakaanga na kunywa na chai. Mhindi hata mzee atafanya shughuli yeyote ile. Mhindi hafanyi kufuru ya pombe wala chakula na hata siku moja hutaona wakitupa chakula. Mhindi hajazi ndugu ndani ya nyumba waliokaa bure wakitegemea kaka a shemeji no aibu na matusi makubwa sio wenye nyumba wameamka kutafuta riziki wewe upo unakunywa chai ya bure kisha kwenye TV unabadilisha channel. Mhindi akichukua mkopo anaotakiwa kulipa tarehe 1, tarehe 25 mhindi amesharejesha. Kweli wapo wanyanyasaji lakini pia inakera mtu 1 hr ofisini anakunywa chai, kazi ya dakika 30 inachukua masaa 3, kill kit no matayarisho Jamani unajijua uta retire a utazeheka je mwili umeutayarisha? Akili je, akiba je? Mhindi akipata 10,000 atatumia 4000 anajua kupata sio kila siku. Wahindi wana mema yao na waafrika mema yao ni wana imani, wanasaidiana na pia kulemazana. Hivyo wote wanahitaji kubadilika. No mengi ya kusema mhindi hachezei pesa eti vikao au mchango wa harusi nje ya uwezo ajili ya show off hakuna kitu kama hicho Jamani ni mhindi na ni muafrika I am proud of both especially nikiitwa mbulu sijui mtanihukumu vipi. Na kuna maarifa mengi sana kuhusu maisha. Thank bros and sisters kama nimekosea kumradhi
Shukran ndugu.. umemaliza yote "tunahitaji kubadilika" !!
God Bless Tanzania
 
Wapo Wahindi makanjanja wengi kwenye makampuni, hasa ya ujenzi, wanatumia vyeti feki, wanajifanya wahandisi kumbe kiuhalisia hawana hata taaluma hizo, serikali ifuatilie tatizo hilo, hasa kampuni kubwa za ujenzi hapo mjini, mchezo wao ndio huo.
 
Nyiendo hamulitakii heri hili liimchi !! "tunasikia " Mtasikia mengi sana.. Fungueni MASIKIO yalo kufa !!
Nchi Kavu bila wahindi nchi itaenda bila dira, nchi itayumba, nchi itafilisika, nchi itakufa kwa magonjwa... nk nk !!
Nahizo nyumba muzsemayo muzionayo ni asili yake zilikuwa za wa hindi na ndo walozijenga !!! ULIZENI mababu !!...acheni kukurupuka na kupayuka ubaguzi na chuki !!! UCHUMI WANAOUJUWA NI WAHINDI..nyie niwatu wa kufilisi na UFISADI tu !! Hata Hospitali KUU YA MUHIMBILI ni ya MUHINDI..ila mulipo imiliki mkawalaza wazawaa chini kama siyafu na FUNZA !! "DUNIA haijapa kuona hayo !!!
hyusuph tafadahli tumia akili usitumie moyo wa CHUKI !!
Akili yako ya kipumbavu sana Ingekuwa idd amin Yupo ningekupeleka akukate kichwa. pumbafuuu
 
Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba iko siko mume atakosa. Mchana hatukuruhisiwa kulala tulipika maandazi, tulitwanga hina n.k. wali ukibaki tunaanika na siku pesa hakuna tunakaanga na kunywa na chai. Mhindi hata mzee atafanya shughuli yeyote ile. Mhindi hafanyi kufuru ya pombe wala chakula na hata siku moja hutaona wakitupa chakula. Mhindi hajazi ndugu ndani ya nyumba waliokaa bure wakitegemea kaka a shemeji no aibu na matusi makubwa sio wenye nyumba wameamka kutafuta riziki wewe upo unakunywa chai ya bure kisha kwenye TV unabadilisha channel. Mhindi akichukua mkopo anaotakiwa kulipa tarehe 1, tarehe 25 mhindi amesharejesha. Kweli wapo wanyanyasaji lakini pia inakera mtu 1 hr ofisini anakunywa chai, kazi ya dakika 30 inachukua masaa 3, kill kit no matayarisho Jamani unajijua uta retire a utazeheka je mwili umeutayarisha? Akili je, akiba je? Mhindi akipata 10,000 atatumia 4000 anajua kupata sio kila siku. Wahindi wana mema yao na waafrika mema yao ni wana imani, wanasaidiana na pia kulemazana. Hivyo wote wanahitaji kubadilika. No mengi ya kusema mhindi hachezei pesa eti vikao au mchango wa harusi nje ya uwezo ajili ya show off hakuna kitu kama hicho Jamani ni mhindi na ni muafrika I am proud of both especially nikiitwa mbulu sijui mtanihukumu vipi. Na kuna maarifa mengi sana kuhusu maisha. Thank bros and sisters kama nimekosea kumradhi

Kwa yote ulio sema najua sana wahindi ni economist saaaana ila kitu walichonacho within wao ni Chuki wana chukiana na wana mchukia mtu mwingine, Wana roho mbaya hawaswa utacheka nae ila anakuchoma live ukijiona.
 
Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba iko siko mume atakosa. Mchana hatukuruhisiwa kulala tulipika maandazi, tulitwanga hina n.k. wali ukibaki tunaanika na siku pesa hakuna tunakaanga na kunywa na chai. Mhindi hata mzee atafanya shughuli yeyote ile. Mhindi hafanyi kufuru ya pombe wala chakula na hata siku moja hutaona wakitupa chakula. Mhindi hajazi ndugu ndani ya nyumba waliokaa bure wakitegemea kaka a shemeji no aibu na matusi makubwa sio wenye nyumba wameamka kutafuta riziki wewe upo unakunywa chai ya bure kisha kwenye TV unabadilisha channel. Mhindi akichukua mkopo anaotakiwa kulipa tarehe 1, tarehe 25 mhindi amesharejesha. Kweli wapo wanyanyasaji lakini pia inakera mtu 1 hr ofisini anakunywa chai, kazi ya dakika 30 inachukua masaa 3, kill kit no matayarisho Jamani unajijua uta retire a utazeheka je mwili umeutayarisha? Akili je, akiba je? Mhindi akipata 10,000 atatumia 4000 anajua kupata sio kila siku. Wahindi wana mema yao na waafrika mema yao ni wana imani, wanasaidiana na pia kulemazana. Hivyo wote wanahitaji kubadilika. No mengi ya kusema mhindi hachezei pesa eti vikao au mchango wa harusi nje ya uwezo ajili ya show off hakuna kitu kama hicho Jamani ni mhindi na ni muafrika I am proud of both especially nikiitwa mbulu sijui mtanihukumu vipi. Na kuna maarifa mengi sana kuhusu maisha. Thank bros and sisters kama nimekosea kumradhi

Muhindi wewe wa wapi utakuta hata bibi yako alikuonea huruma. Mimi nimefundishwa na wahindi. moja ni ubaguzi wa rangi- Muhindi akizaa na race nyingine anatengwa, pili rushwa- wanatoa sana rushwa, tatu longolongo-muhindi hata hajui kitu atataka afanye kuna mmoja alitundisha engineering physics akawa hata hajui anafundisha nini , nne Wanyanyasaji hawana ubinadamu unakuta mtu akinunua nguo nzuri kazini tu ataonekana mwizi sasa mimi ni mwalimu nakuibia nini?
 
Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba iko siko mume atakosa. Mchana hatukuruhisiwa kulala tulipika maandazi, tulitwanga hina n.k. wali ukibaki tunaanika na siku pesa hakuna tunakaanga na kunywa na chai. Mhindi hata mzee atafanya shughuli yeyote ile. Mhindi hafanyi kufuru ya pombe wala chakula na hata siku moja hutaona wakitupa chakula. Mhindi hajazi ndugu ndani ya nyumba waliokaa bure wakitegemea kaka a shemeji no aibu na matusi makubwa sio wenye nyumba wameamka kutafuta riziki wewe upo unakunywa chai ya bure kisha kwenye TV unabadilisha channel. Mhindi akichukua mkopo anaotakiwa kulipa tarehe 1, tarehe 25 mhindi amesharejesha. Kweli wapo wanyanyasaji lakini pia inakera mtu 1 hr ofisini anakunywa chai, kazi ya dakika 30 inachukua masaa 3, kill kit no matayarisho Jamani unajijua uta retire a utazeheka je mwili umeutayarisha? Akili je, akiba je? Mhindi akipata 10,000 atatumia 4000 anajua kupata sio kila siku. Wahindi wana mema yao na waafrika mema yao ni wana imani, wanasaidiana na pia kulemazana. Hivyo wote wanahitaji kubadilika. No mengi ya kusema mhindi hachezei pesa eti vikao au mchango wa harusi nje ya uwezo ajili ya show off hakuna kitu kama hicho Jamani ni mhindi na ni muafrika I am proud of both especially nikiitwa mbulu sijui mtanihukumu vipi. Na kuna maarifa mengi sana kuhusu maisha. Thank bros and sisters kama nimekosea kumradhi
Nimekupa like kwa unayopitia. Mimi nina ndugu zangu wadada wawili walikuwa wanafanya kazi kwa wahindi enzi hizoooo, wakawazalisha, mmoja wa kiume na mwingine wa kike. Dada zangu wale walitelekezwa na hao wahindi na wakalea wenyewe kwa mbinde. Watoto sasa wamekua na hawatambuliki kwenye jamii ya kihindi kwa LOLOTE. Labda unasemea wale wahindi wanaofanana na sisi. Wale wanaotokea Culcata India ambao ni maji ya kunde na wengine ni weusi tii ka mimi
 
Tumesikia kuhusu ishu ya IMTU kipindi kile ambapo walikuwa wakitumia miili ya binadamu kufanyia mazoezi kwa vitendo na kisha kwenda kutupa viungo huko kwenye machimbo ya mchanga

Umeandika utafkiri ni kosa kutumia mwili wa binadamu. Ndo wanavyojifunzaga hivyo. Shida ilikuwa disposal.
 
Wachina na wahindi aisee hawa watu siwakubali kabisa bora mwarabu
 
Umeandika utafkiri ni kosa kutumia mwili wa binadamu. Ndo wanavyojifunzaga hivyo. Shida ilikuwa disposal.
Nawe vipi tena? Kwani unadhani ile ishu ilikuzwa kutokana na kutumia viungo vya binadamu? Hoja yangu haikuwa hiyo
 
Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba iko siko mume atakosa. Mchana hatukuruhisiwa kulala tulipika maandazi, tulitwanga hina n.k. wali ukibaki tunaanika na siku pesa hakuna tunakaanga na kunywa na chai. Mhindi hata mzee atafanya shughuli yeyote ile. Mhindi hafanyi kufuru ya pombe wala chakula na hata siku moja hutaona wakitupa chakula. Mhindi hajazi ndugu ndani ya nyumba waliokaa bure wakitegemea kaka a shemeji no aibu na matusi makubwa sio wenye nyumba wameamka kutafuta riziki wewe upo unakunywa chai ya bure kisha kwenye TV unabadilisha channel. Mhindi akichukua mkopo anaotakiwa kulipa tarehe 1, tarehe 25 mhindi amesharejesha. Kweli wapo wanyanyasaji lakini pia inakera mtu 1 hr ofisini anakunywa chai, kazi ya dakika 30 inachukua masaa 3, kill kit no matayarisho Jamani unajijua uta retire a utazeheka je mwili umeutayarisha? Akili je, akiba je? Mhindi akipata 10,000 atatumia 4000 anajua kupata sio kila siku. Wahindi wana mema yao na waafrika mema yao ni wana imani, wanasaidiana na pia kulemazana. Hivyo wote wanahitaji kubadilika. No mengi ya kusema mhindi hachezei pesa eti vikao au mchango wa harusi nje ya uwezo ajili ya show off hakuna kitu kama hicho Jamani ni mhindi na ni muafrika I am proud of both especially nikiitwa mbulu sijui mtanihukumu vipi. Na kuna maarifa mengi sana kuhusu maisha. Thank bros and sisters kama nimekosea kumradhi

Muafrika hatuwezi kuwafikia wahindi Na ni aibu kuwajadili hawa wahindi ni ubaguzi, wenzetu wanajua kuishi Na maisha wana mipango wewe muafrika ni kulalamika Na visingizio vingi. Wahindi miaka ya nyuma walifukuzwa kwenye nyumba hizo hizo lkn Leo wapo tele, jiulizeni waafrika mnakosea Wapi?

Hamuwezi kujiendesha na mukiachiwa mujiendeshe mutavuruga tuu, Muafrika akili zako mwisho kuwaza ni saa 4 usiku au labda ukeshe bar. Wahindi dunia watafika muda wataimiliki karne zijazo. Sasa hivi hebu izunguke dunia uangalie wanavosonga mbele.
 
Mbona wahindi south Africa wana adabu na wanishi vizuri bongo sisi wenyewe ndio tatizo linapoanza
Mpendwa chukuwa Likes 100,000 Ahsante... tena wapo wahindi nchi nyingi km:- JAMAICA,CARIBEANs,SA,SUDAN,UARABUNI, ULAYA,nk nk !!
 
Mbona wahindi south Africa wana adabu na wanishi vizuri bongo sisi wenyewe ndio tatizo linapoanza

Bado tatizo Ni la wabongo wenyewe kukosa elimu, viongozi kuweka sera nzuri, viongozi wetu fursa wanazibana Na wanawapa wageni wenyeji wanabaki baa tuu, Hawajui chochote kinachoendelea. Wameachwa Watz kuwa wajinga Na watabaki kuwa wajinga.
Wahindi Ni watu wenye kuishi Kwa utaratibu Na Adabu dunia nzima, Na unataka ujue Hilo angalia wale walioko Dubai Na nchi Za kiarabu, awe Na Tajiri awe mnyonge Ni adabu tuu, hata humkuti akijaribu kufanya kosa lolote.

Lakini kwetu nchi imeoza unabakiwa kuwalaumu wageni Na wahindi, nyinyi wanaowaibia Ni waafrika au wabongo wenzenu Ndio wanaowanyonya, hawezi kutoka mgeni huko atokako Aje akuibie wewe bila ya Kupewa fursa.
 
Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba iko siko mume atakosa. Mchana hatukuruhisiwa kulala tulipika maandazi, tulitwanga hina n.k. wali ukibaki tunaanika na siku pesa hakuna tunakaanga na kunywa na chai. Mhindi hata mzee atafanya shughuli yeyote ile. Mhindi hafanyi kufuru ya pombe wala chakula na hata siku moja hutaona wakitupa chakula. Mhindi hajazi ndugu ndani ya nyumba waliokaa bure wakitegemea kaka a shemeji no aibu na matusi makubwa sio wenye nyumba wameamka kutafuta riziki wewe upo unakunywa chai ya bure kisha kwenye TV unabadilisha channel. Mhindi akichukua mkopo anaotakiwa kulipa tarehe 1, tarehe 25 mhindi amesharejesha. Kweli wapo wanyanyasaji lakini pia inakera mtu 1 hr ofisini anakunywa chai, kazi ya dakika 30 inachukua masaa 3, kill kit no matayarisho Jamani unajijua uta retire a utazeheka je mwili umeutayarisha? Akili je, akiba je? Mhindi akipata 10,000 atatumia 4000 anajua kupata sio kila siku. Wahindi wana mema yao na waafrika mema yao ni wana imani, wanasaidiana na pia kulemazana. Hivyo wote wanahitaji kubadilika. No mengi ya kusema mhindi hachezei pesa eti vikao au mchango wa harusi nje ya uwezo ajili ya show off hakuna kitu kama hicho Jamani ni mhindi na ni muafrika I am proud of both especially nikiitwa mbulu sijui mtanihukumu vipi. Na kuna maarifa mengi sana kuhusu maisha. Thank bros and sisters kama nimekosea kumradhi
Mariam nimependa Article yako na una bahati kuchanganya kwani unaweza kuchukua mazuri ya pabnde zote tatu. Wito kwa kweli Watanznia tuthamini kazi!
 
Nyiendo hamulitakii heri hili liimchi !! "tunasikia " Mtasikia mengi sana.. Fungueni MASIKIO yalo kufa !!
Nchi Kavu bila wahindi nchi itaenda bila dira, nchi itayumba, nchi itafilisika, nchi itakufa kwa magonjwa... nk nk !!
Nahizo nyumba muzsemayo muzionayo ni asili yake zilikuwa za wa hindi na ndo walozijenga !!! ULIZENI mababu !!...acheni kukurupuka na kupayuka ubaguzi na chuki !!! UCHUMI WANAOUJUWA NI WAHINDI..nyie niwatu wa kufilisi na UFISADI tu !! Hata Hospitali KUU YA MUHIMBILI ni ya MUHINDI..ila mulipo imiliki mkawalaza wazawaa chini kama siyafu na FUNZA !! "DUNIA haijapa kuona hayo !!!
hyusuph tafadahli tumia akili usitumie moyo wa CHUKI !!
Akili yako ipo sawa kweli?
 
The one started this topic is such an idiot ..... Fingers are the same every culture have some kind arrogance and attitude so please don't be an idiot
 
Back
Top Bottom