Wahindi wanatuharibia nchi

Wahindi wanatuharibia nchi

Tatizo la ukabila tanzania halikuondoka..na zaidi linasababishwa na kila kabila kujiona...wao bora.
Miaka ya nyuma waajiri wakuu ni serikali na mashirika yake.
Serikalini tangu uhuru hakuna muhindi alea ajiriwa huko.ni waafrika watu.iwe jeshini
Polisi
Wizarani au manispaa. Miaka ile wahindi walinyanganywa na mali zao na Nyerere.
Sasa ukija kwenye ajira kama shirika ni Myachusa basi huko utasikia kilugha chao tu..hivyo kwa wahaya na wengine.
Wakati huo wahindi wakabaki masikini na viduka wala wakiuza pipi.
Waafrika hawakua wana lalamika wakati ule kwani kazi xote zao..wakalemaa kwa kubebana hatimae mashitika yale yaka dondoka moja baada ya lingine....yakawa mzigo....
Imekuja sera huria sasa waajiri wakuu ni wafanya biashara...sasa hawa hawachagui tena kwa kilugha bali elimu na uwezo..na hapa ndo kuna tatizo....
Tatizo hili lilo mpaka nje . Watanzania hawaajjiriki .sasa haya malalamiko ni kulia lia tu.badilikeni
 
Tatizo la ukabila tanzania halikuondoka..na zaidi linasababishwa na kila kabila kujiona...wao bora.
Miaka ya nyuma waajiri wakuu ni serikali na mashirika yake.
Serikalini tangu uhuru hakuna muhindi alea ajiriwa huko.ni waafrika watu.iwe jeshini
Polisi
Wizarani au manispaa. Miaka ile wahindi walinyanganywa na mali zao na Nyerere.
Sasa ukija kwenye ajira kama shirika ni Myachusa basi huko utasikia kilugha chao tu..hivyo kwa wahaya na wengine.
Wakati huo wahindi wakabaki masikini na viduka wala wakiuza pipi.
Waafrika hawakua wana lalamika wakati ule kwani kazi xote zao..wakalemaa kwa kubebana hatimae mashitika yale yaka dondoka moja baada ya lingine....yakawa mzigo....
Imekuja sera huria sasa waajiri wakuu ni wafanya biashara...sasa hawa hawachagui tena kwa kilugha bali elimu na uwezo..na hapa ndo kuna tatizo....
Tatizo hili lilo mpaka nje . Watanzania hawaajjiriki .sasa haya malalamiko ni kulia lia tu.badilikeni
Upo nje ya mada mkuu,
Na inaonekana bado hujaelewa kinachoongelewa hapa.
 
Tatizo la ukabila tanzania halikuondoka..na zaidi linasababishwa na kila kabila kujiona...wao bora.
Miaka ya nyuma waajiri wakuu ni serikali na mashirika yake.
Serikalini tangu uhuru hakuna muhindi alea ajiriwa huko.ni waafrika watu.iwe jeshini
Polisi
Wizarani au manispaa. Miaka ile wahindi walinyanganywa na mali zao na Nyerere.
Sasa ukija kwenye ajira kama shirika ni Myachusa basi huko utasikia kilugha chao tu..hivyo kwa wahaya na wengine.
Wakati huo wahindi wakabaki masikini na viduka wala wakiuza pipi.
Waafrika hawakua wana lalamika wakati ule kwani kazi xote zao..wakalemaa kwa kubebana hatimae mashitika yale yaka dondoka moja baada ya lingine....yakawa mzigo....
Imekuja sera huria sasa waajiri wakuu ni wafanya biashara...sasa hawa hawachagui tena kwa kilugha bali elimu na uwezo..na hapa ndo kuna tatizo....
Tatizo hili lilo mpaka nje . Watanzania hawaajjiriki .sasa haya malalamiko ni kulia lia tu.badilikeni
hehe umeongea nn...inaonekana tz huijui na wala hujui kilichotokea mpaka wahindi wakawa matajiri tz wakawa na viwanda wajati waafrika wakabaki maskini...kwa hiyo kutoka katika vijiduka wakaweza kufungua viwanda kila sehemu sio....kumbuka wahindi hawa hawa walikuwa na magorofa ya NHC...kabla hujaongelea umaskini jiulize ni muafrica gani alikuwa na magorofa kipindi kile ns je wahindi waliyatoa wapi...huko huko ndo walikotoa viwanda pia...kosa la mwalimu alichukua tuu nyumba sio hela...wakati MTZ anafilisiwa tz muhundi alikuwa na mali zingine india...alisubiri tuu muda uwe shwari aanze kiserereka...wakati mtz alichukuliwa kila kitu...kuanzia pale muhindi hajengi wala haweki heka benki tz akiogopa serikali inaweza kuzitaifisha...
 
Back
Top Bottom