Zamulini;
Weye nawe ni hao hao au ni msifia mvua?? Sikiliza kaka; mhindi ni mhindi tu. Hata kule kwao, hapikiki. Nenda uendako, yeyote aliyewahi kutana na suluba za kihindi analia kilio cha mbwa.
Hawafai, hakuna wezi na wakwepa kodi ka hao. Serekali inajua hilo ila weshawekwa mfukoni. Tofauti yao na mchina ni kuwa, mchina bahili mhindi ajua kujilinda. Hakuna mhindi asiye na ngao yaani polisi mkubwa flan, na hata IGP analijua hilo kwani alipitia huko huko. Hakuna mkuu wa mkoa asiyesalimiwa na mhindi. Kwa kifupi wahindi wamejilinda ndo maana wanafanya hayo wayafanyayo.