Wahindi wanatuharibia nchi

Wahindi wanatuharibia nchi

Zamiluni weye kweli Pumba.
Wahindi wanaongea Kiswahili wako Zanzibar Na Pemba unahisi hawa wenzetu.
Huku bara Kiswahili hawakitaki kuongea Na utamaduni wetu hawautaki.
Inamaana bila ya hawa Wahindi Tanzania itafilisika?
Mimi nadhani hujatembea au hauijui Tanzania.
Tembea BONGO ujionee wazao tunaishi bila ya ruzuku za hao miungu Watu wako.Hawa rushwa rushwa.
Ndugu zetu ambao si wazalendo waliwauzia WaHindi kila kitu
Sasa Mzee Ngosha kawatosa hivyo vibaraka vya Wahindi.Mashamba Na viwanda taifishwa.
Tuone kama tutakufa njaa.
Kweli mkuu. Huwa nashangaa sana nikimsikia mhindi wa Zenji na wa bongo. Katika kuongea ni tofauti kabisa. Wa huku wanajifanya hawajui kiswahili fasaha japo mijitu imezaliwa Hindumandal na kwingine. Pale ambapo unabagua utamaduni wa mtu ni wazi hutatoa vipaumbele kwa sehemu zingine za tamaduni husika. Ila sasa watanyooka tu, na kiswahili fasaha wataongea.
 
Mpendwa acha watu wachape kazi ..SIASA na wakati wa porojo ulishapitwa.. ULIMWENGU wa maneno haushibishi matumbo !! "Tanzania mpya inakuja kwa kuchapa kazi"!!

Zamulini;
Weye nawe ni hao hao au ni msifia mvua?? Sikiliza kaka; mhindi ni mhindi tu. Hata kule kwao, hapikiki. Nenda uendako, yeyote aliyewahi kutana na suluba za kihindi analia kilio cha mbwa.
Hawafai, hakuna wezi na wakwepa kodi ka hao. Serekali inajua hilo ila weshawekwa mfukoni. Tofauti yao na mchina ni kuwa, mchina bahili mhindi ajua kujilinda. Hakuna mhindi asiye na ngao yaani polisi mkubwa flan, na hata IGP analijua hilo kwani alipitia huko huko. Hakuna mkuu wa mkoa asiyesalimiwa na mhindi. Kwa kifupi wahindi wamejilinda ndo maana wanafanya hayo wayafanyayo.
 
Zamulini;
Weye nawe ni hao hao au ni msifia mvua?? Sikiliza kaka; mhindi ni mhindi tu. Hata kule kwao, hapikiki. Nenda uendako, yeyote aliyewahi kutana na suluba za kihindi analia kilio cha mbwa.
Hawafai, hakuna wezi na wakwepa kodi ka hao. Serekali inajua hilo ila weshawekwa mfukoni. Tofauti yao na mchina ni kuwa, mchina bahili mhindi ajua kujilinda. Hakuna mhindi asiye na ngao yaani polisi mkubwa flan, na hata IGP analijua hilo kwani alipitia huko huko. Hakuna mkuu wa mkoa asiyesalimiwa na mhindi. Kwa kifupi wahindi wamejilinda ndo maana wanafanya hayo wayafanyayo.
Umesema kweli. Siku moja nilikuwa nimeenda kununua kifaa/mashine fulani kwenye duka moja kubwa sana la wahindi la vifaa vya steshsnari. Ile mashine ilikuwa mbovu nikawarudishia wakaanza kunizungusha. Nikaenda kituo cha polisi cha jirani kushitaki. Wale polisi walikuwa reluctant ila wakaniandikia ujumbe kumpelekea huyo mhindi. Nikapeleka na mhindi akaisoma akasema hawezi kwenda, polisi ndio wamfuate. Nilipowaambia polisi wakasema hawana cha kufanya. Wakaniambia mambo ambayo kiukweli si mazuri. Askari wetu wanahitaji kuwezeshwa kimaslahi na kimaadili ili kuweza kuepuka hila za hawa jamaa. Bahati nzuri nilifanikiwa kurudishiwa hela yangu maana ningewasumbua tu
 
Umesema kweli. Siku moja nilikuwa nimeenda kununua kifaa/mashine fulani kwenye duka moja kubwa sana la wahindi la vifaa vya steshsnari. Ile mashine ilikuwa mbovu nikawarudishia wakaanza kunizungusha. Nikaenda kituo cha polisi cha jirani kushitaki. Wale polisi walikuwa reluctant ila wakaniandikia ujumbe kumpelekea huyo mhindi. Nikapeleka na mhindi akaisoma akasema hawezi kwenda, polisi ndio wamfuate. Nilipowaambia polisi wakasema hawana cha kufanya. Wakaniambia mambo ambayo kiukweli si mazuri. Askari wetu wanahitaji kuwezeshwa kimaslahi na kimaadili ili kuweza kuepuka hila za hawa jamaa. Bahati nzuri nilifanikiwa kurudishiwa hela yangu maana ningewasumbua tu

Kama hukuiombea hiyo hela, itakufilisi kabisaaaaaaa. wahindi wajinga sana. Miye zangu zilirudi ila zilikuwa zinanukia ubani utadhani zilitengenezwa kwa ubani. Nilikomaa nao mpaka kutishiana maisha
 
tatizo hujielewi...na ombeeni nisije kuwa raisi au mtu mwenye power nchi hii nitaanza na nyie...kwenda kutembelea wagonjwa so what...?hela wanazoiba kila siku zinatosha kujifanya wasafi..waindi toka lini wakawa wasafi kuanzia sehemu wanazokaa mpaka tabia...?nenda huko bombey....unambie ni pasafi...dar ni chafu unajua kwa nn...?mmetufanya hata africans tulio dar tuwe wachafu kama nyie...
Uliuliza masuali kadhaa nikakujibu yote kwa ufasaha !!! Sasa...
 
Zamulini;
Weye nawe ni hao hao au ni msifia mvua?? Sikiliza kaka; mhindi ni mhindi tu. Hata kule kwao, hapikiki. Nenda uendako, yeyote aliyewahi kutana na suluba za kihindi analia kilio cha mbwa.
Hawafai, hakuna wezi na wakwepa kodi ka hao. Serekali inajua hilo ila weshawekwa mfukoni. Tofauti yao na mchina ni kuwa, mchina bahili mhindi ajua kujilinda. Hakuna mhindi asiye na ngao yaani polisi mkubwa flan, na hata IGP analijua hilo kwani alipitia huko huko. Hakuna mkuu wa mkoa asiyesalimiwa na mhindi. Kwa kifupi wahindi wamejilinda ndo maana wanafanya hayo wayafanyayo.
Jua ni kali na lina joto sana.... sasa kama huna mwamvuli au kiyeyezo "hiyo siyo tatizo langu" wee endelea kulalama, kulialia na kusingizia wengine!!
 
umenijibu kwa ufasaha au umejikanyaga...Mtz anayependa nchi yake hawezi mpenda muhindi...labda muhindi aliyezaliwa na mtanzania...ambaye anahisi tanzania ni nchi yake sio wale waliokuja kuchuma wanaoona watz ni manyani...
Ok ..Ok miye nakupenda wewe kwanza !!basi acha kupandisha ndg.
 
Ahsante Katavi.... na tukimliza wachina , tujlaumu sisi na baadae tumlaumu aliyeumba hii dunia !!
jamshidamri
mangatara Tibbia ya waBongo wengi mnapenda kujumisha na kujulisha ubaya kwa mtu kwa jamii yote !!
tuendelee kulauuuumu tu !!

we mbona hueleweki...kwani aliyeumba dunia aliwaumba wachina na waindi waje tanzania kutunyonya...?kwanza muindi anaamini mungu...au anaamini masanamu...mbona unajikanyaga....ww km ni muhindi mzigua au mmanyena relax...jiunge na sisi wamakonde tuondoe hii mijamaa mibaguzi....sioni unachotetea juzi tuu wametoka kuwaua wanafunzi wa TZ huko india...bado unasema kuhusu mungu kwa hawa wanyama
 
Kama hukuiombea hiyo hela, itakufilisi kabisaaaaaaa. wahindi wajinga sana. Miye zangu zilirudi ila zilikuwa zinanukia ubani utadhani zilitengenezwa kwa ubani. Nilikomaa nao mpaka kutishiana maisha
Duh! Hatari. Wepesi kupokea wagumu kutoa. Tutakomaa nao tu
 
Tukimaliza kuwalaumu wahindi tutahamia kwa wachina
Tena wachina nao ni balaa. Soon tusipokuwa makini tembo wetu watakuwa historia. Wachina wabaya zaidi. Wanaishi hadi uswazi, wanakomba kila kitu. Juzi kati kama si serikali kuingilia kati huko Manyara punda wangeisha. Mbwa wetu nao wako mashakani, achilia mbali uchumi wetu. Mchina noma!
 
Bahati ni kwamba sasa tumepata angalau kiongozi mwenye maono ya kuweza kuona tatizo kutokana na hawa wageni/raia wenye asili ya kihindi. Kwa muda mrefu tunasikia mambo mengi wakiyafanya ambayo hayana maslahi na taifa hili. Uchaguzi mkuu unapokaribia ndio wa kwanza kupaki vitu vyao na kukaa mkao wa kuondoka. Ndio maana wamejazana kwenye majumba ya msajili na wako tayari kutumia gharama yoyoye kupata nyumba hizo. Sasa watakuwa na amani maana NHC imejenga nyumba za kutosha.

Tumesikia kuhusu ishu ya IMTU kipindi kile ambapo walikuwa wakitumia miili ya binadamu kufanyia mazoezi kwa vitendo na kisha kwenda kutupa viungo huko kwenye machimbo ya mchanga, kamaunaenda Tegeta. Karibuni tumesikia tena ishu ya vyuo vya St Joseph ambapo wanafunzi wanalalamika sana kuhusu huduma mbovu zinazotolewa na vyuo hivyo kuanzia elimu, malazi, hadi nidhamu. Serikali imeamua kuingilia kati na isiishie tu kuhamisha wanafunzi bali ihakikishe inawapa somo hawa wenye chuo.

Kadhalika tumesikia tena kuhusu huko Dangote ambako waswahili wananyanyaswa sana na wahindi. Serikali yetu tukufu isifumbie macho suala hili. Tunahitaji uhuru wa kweli na heshima kwenye nchi yetu. Hawa ni wa tu wa kupita tu na wao wanajua. Hii nchi isiwe shamba lililokosa mwenyewe. Wahindi wameshikilia uchumi wa nchi hii pale ambapo sekta binafsi inahusika. Wanatumia fursa hii kuwapelekesha watanzania kwa namna wanavyotaka.

Tumesikia tena kuhusu huko Minjingu ambapo wafanyakazi wanalalamika kuhusu mikataba na mishahara yao. Minjingu inamilikiwa na makalasinga. Tunataka tufike mahali wageni waiheshimu Tanzania, waheshimu na watanzania. Na ifike mahali pia mgeni ajiulize mara mbili mbili kama kweli anataka kuja Tanzania ikiwa hana uhalali wa kufanya hivyo
Yaan kabla sijamaliza kusoma hii thread yako nakuunga mkono hawa jaamaa wanatunyonya na kututesa saana
 
Muafrika hatuwezi kuwafikia wahindi Na ni aibu kuwajadili hawa wahindi ni ubaguzi, wenzetu wanajua kuishi Na maisha wana mipango wewe muafrika ni kulalamika Na visingizio vingi. Wahindi miaka ya nyuma walifukuzwa kwenye nyumba hizo hizo lkn Leo wapo tele, jiulizeni waafrika mnakosea Wapi?

Hamuwezi kujiendesha na mukiachiwa mujiendeshe mutavuruga tuu, Muafrika akili zako mwisho kuwaza ni saa 4 usiku au labda ukeshe bar. Wahindi dunia watafika muda wataimiliki karne zijazo. Sasa hivi hebu izunguke dunia uangalie wanavosonga mbele.
Mbona nyie huko kwenu ni maskini sana, mna kila aina ya shida, yaani hata mkiwa hapa mnabaguana wenyewe kwa wenyewe??
BTW, Africa is still young, like a growing baby, mtatuelewa tu siku moja.
 
Ahsante Katavi.... na tukimliza wachina , tujlaumu sisi na baadae tumlaumu aliyeumba hii dunia !!
jamshidamri
mangatara Tibbia ya waBongo wengi mnapenda kujumisha na kujulisha ubaya kwa mtu kwa jamii yote !!
tuendelee kulauuuumu tu !!

Zamiluni
Naamini kuwa weye ni mmoja wa hao wahindi au una sehemu kwao. Hatusemi watu kwa sababu mbaya. Sipendi siasa kwenye mambo real. Mhindi yeyote, ana mlinzi wake huko juu na haswa polisi. Tunapoandika humu tunajua kuwa wapo polisi wanayapitia haya. Hatubahatishi bali tunakuambia.
 
Huwa siamini kama bado kuna mtz atamtetea mhindi,
Haijawahi tokea mhindi ajenge nyumba bongo ama afungue account kwenye bank zetu hizi, faida yote anarudisha India, unyonyaji kwa kwenda mbele..
I have been working with them for years, and I know them much better,
Na mnaosema sijui bila wahindi mambo yangekuwaje, wacheni kufikiria kama kuku..
Hakuna aliyezaliwa asaidiwe na mwenzie,
Let them go uone kama kuna atakaekufa njaa.
Mbona wakoloni waliondoka na mambo yakasonga kama kawaida, iwe hawa nguchiro?
Hawaamini Mungu, wanahonga kila idara serikalini,
Time will tell!
 
Back
Top Bottom