Wahindi na kujichubua..

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Pakistani-And-Indian-Celebrities-And-Their-Whitening-Secrets-paknation.pk-2.jpg
19_10_2014_18_56_47_pbvlmrbrordt1nft257asq9bs0_dnizllld1l.jpg
515-e1442257418432.jpg
 
Mpaka leo sijawai kupata jibu kwa nini ngozi ya rangi nyeusi inachukiwa na watu namna hii mpaka kwa weusi wenyewe hawaitaki lakini vitu vya rangi nyeusi ndo vinaongoza kwa mauzo duniani
 
Mpaka leo sijawai kupata jibu kwa nini ngozi ya rangi nyeusi inachukiwa na watu namna hii mpaka kwa weusi wenyewe hawaitaki lakini vitu vya rangi nyeusi ndo vinaongoza kwa mauzo duniani
Jibu ni Uhayawani ndio unaosumbua...
 
Baadhi ya Wabongo Sometimes hamnaga Akili.... Si kila Picha Inayong'aa Kuliko Nyingine Basi mtu Kajichubua..

Kuna Lighting....make up..na Condition za Room na Sehemu aliyopigia
samahani mkuu unatokea nchi gani tuanzie kwanza hapo
 
Baadhi ya Wabongo Sometimes hamnaga Akili.... Si kila Picha Inayong'aa Kuliko Nyingine Basi mtu Kajichubua..

Kuna Lighting....make up..na Condition za Room na Sehemu aliyopigia
wana cream yao maarufu ya kujichubua inaitwa fair&llovely. india ukiwa mweusimweusi kuolewa na kucheza movie inakuwa shida.
 
Yah I have a friend from India anasema kuna cream ukitumia unakuwa white inauzika sana India na ni bei juu sana...ila usikae juani sana ni balaa.... Wanawake Wa jimbo la Kashmir huwa ni weupe sana wanasoko zuri sana la kuolewa India na pia ni wachapakazi hodari ila wafupi wengi hahaha kama King'asti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom