Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge
Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?
Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge
Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?
Hapo kwenye kekundu?!, mi nadhani wewe ndo umehamishia mawazo kwingine!, nilikuwa nauliza tu.
Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge
Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?
Huyu mweshimiwa ni manzi wa ukweli sana!Cheki jicho kalielekeza wapi???? Ila ni mwanaume bana so anajarib kufanya assessment!
Working on it!!!
bana, jamaa ana makengeza!