Waheshimiwa DOM

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,821
59,411
Embu muone huyu mbunge anavyokodolea macho kifua cha mwenzie!!Sidhani kama anamsikiliza anachosema hapo!!!
 
Mbunge+wa+Kigoma+mjini+Peter+Serukamba+%2528R%2529+akiwa+na+Mbunge+vitimaalumu+mkoa+Shinyanga+Esther+Bulaya+katika+viwanja+va+Bunge.JPG


Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge

Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?
 
Mbunge+wa+Kigoma+mjini+Peter+Serukamba+%2528R%2529+akiwa+na+Mbunge+vitimaalumu+mkoa+Shinyanga+Esther+Bulaya+katika+viwanja+va+Bunge.JPG


Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge

Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?




Hahahahaha...........mchungaji kwa uchokozi sikuwezi,halafu umemuona mheshimiwa wa kiume anavyorembua...?

 
Ah, anajaribu kupata picha. Safi sana mleta picha lete nyingi za hivi. Hivi hamna sheria ya kuwataka waje na wenza wao mjengoni?
 
Mbunge+wa+Kigoma+mjini+Peter+Serukamba+%2528R%2529+akiwa+na+Mbunge+vitimaalumu+mkoa+Shinyanga+Esther+Bulaya+katika+viwanja+va+Bunge.JPG


Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge

Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?


Hapo kwenye kekundu?!, mi nadhani wewe ndo umehamishia mawazo kwingine!, nilikuwa nauliza tu.
 
Mbunge+wa+Kigoma+mjini+Peter+Serukamba+%2528R%2529+akiwa+na+Mbunge+vitimaalumu+mkoa+Shinyanga+Esther+Bulaya+katika+viwanja+va+Bunge.JPG


Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba (R) akiwa na Mbunge vitimaalumu mkoa Shinyanga Esther Bulaya katika viwanja va Bunge

Huyu Serukamba mbona kama mawazo kahamishia kwingine?

Cheki jicho kalielekeza wapi???? Ila ni mwanaume bana so anajarib kufanya assessment!
 
Kama sijakosea picha unayomaanisha ndiyo hiyo niliyoweka hapo juu...Esther Bulaya Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Shinyanga anajiongelesha mwenyewe tu hapo.
 
Rev,
Leo umeniachahooooi, sikuwahi kufurahia posts zako ila hii itanipa usingizi mzuri leo. Mawazo ya mh....yapo wapi vileeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom