Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mmepigaje hapo siku ya leo? Hakika na kweli wanawake ni kiboko mamba akapige shule.
zimepta siku 2 simu ya mwanamke wangu ipo kwa fundi wkt simu yake ipo kwa fundi nilichukua line yake nikaweka kwenye simu yangu ili akitafutwa na ndugu zake wasimkose hewani, sasa jana mchana ikaingia sms inasalimia mambo kwny line yake sikujibu niliporudi home nikampa cm ampigie huyo aliyemsalimia mi nikawa busy na mambo yangu.
Japo nilisikia wanaongea ila sikuskiliza, sasa usiku niliamua kumchatishahuyo mtu maana nilijua ni mwanaume huku nikjidai ndiye muhuska aliyemsalimia mambo yule jamaa akasema kuna rafiki yake mjeda mwenzie anataka namba ya rafiki yake na mwanamke wangu nikamwambia usijiali taitafuta
Mara jamaa anamuuliza mwanamke wangu kama mi nipo, nikajibu hayupo mjeda akampa angalizo kwamba kila sms wanayochati awe anaifuta kwani atapigwa basi tulichat mambo mengi mpaka jamaa anamwambia mwanamke wangu eti awe makini nisjestuka ye anakula tamu yangu na akamwambia yupo Dom atarudi siku si nyingi.
JE WAKUU NICHUKUE HATUA GANI AU NIENDELEE PELELEZA AU NIMPANDIE HEWANI MJEDA?
zimepta siku 2 simu ya mwanamke wangu ipo kwa fundi wkt simu yake ipo kwa fundi nilichukua line yake nikaweka kwenye simu yangu ili akitafutwa na ndugu zake wasimkose hewani, sasa jana mchana ikaingia sms inasalimia mambo kwny line yake sikujibu niliporudi home nikampa cm ampigie huyo aliyemsalimia mi nikawa busy na mambo yangu.
Japo nilisikia wanaongea ila sikuskiliza, sasa usiku niliamua kumchatishahuyo mtu maana nilijua ni mwanaume huku nikjidai ndiye muhuska aliyemsalimia mambo yule jamaa akasema kuna rafiki yake mjeda mwenzie anataka namba ya rafiki yake na mwanamke wangu nikamwambia usijiali taitafuta
Mara jamaa anamuuliza mwanamke wangu kama mi nipo, nikajibu hayupo mjeda akampa angalizo kwamba kila sms wanayochati awe anaifuta kwani atapigwa basi tulichat mambo mengi mpaka jamaa anamwambia mwanamke wangu eti awe makini nisjestuka ye anakula tamu yangu na akamwambia yupo Dom atarudi siku si nyingi.
JE WAKUU NICHUKUE HATUA GANI AU NIENDELEE PELELEZA AU NIMPANDIE HEWANI MJEDA?