Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,310
Wahaya kwa mbwembwe hawana mpinzani,jamaa ni mhudumu wa mochuari sasa anavyojitambulisha kwenye harusi,my name is Kamugisha am working with Muhimbili,infact professionally nawahudumia watu ambao madaktari bingwa wameshindwa kunusuru uhai wao. Da!