Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Mkuu ofcourse kuna a lot of hatred..., why..?, Sababu matabaka yanazidi na watu wanaona maisha yao magumu, ufisadi unazidi.., worse still wanaona dogo anakula bhata...!!. Huenda waliopita walifanya madudu mengi ila huenda waliyanfanya incognito.., tofauti na huyu muheshimiwa ambae kuna kipindi anakwenda sehemu na escort na watu wanadai anaingilia shughuli za chama..
Sasa mkuu who is to blame hapo..??
Huyu dogo VoiceOfReason inafaa asome alama za nyakati, hapa Tanzania kuna uchaguzi kila baada ya miaka mitano, huyo baba yake hawezi kukaa pale milele kama Gaddafi na yaliyomkuta ameyaona mwenyewe!
Kama anataka usalama wake atulie akae vizuri na watu, alifanikiwa kumsimika Baba yake wakati ule sijui kama washare uprsident labda, lakini anayofanya watu wanarecord yatamtokea puani!