Wahanga wenzangu, njoeni tuilaumu Serikali

mtoto mdogo sana

JF-Expert Member
Apr 16, 2020
460
1,337
Habari za wikiend

Naomba nianze.

Zamani nilikuwa nikiamini kadir8 ninavyozidisha juhudi kunoa ubongo wangu, kuelewa mambo kwa haraka zaidi, kupata stadi nyingi zaidi ndio nazidi kujiwekea unafuu wa maisha hapo baadae.

Sasa imekuwa kinyume, habari hiyo ilikuwa zamani, hivi sasa mambo ni tofauti.

Kuna wakati huwa najiuliza huenda ni kutokana na mifumo yetu ya elimu, au mfumo mama wa jamii. Sijaelewa bado.

Napiga taswira ya matokeo ya juhudi za kila aliyejituma katika taaluma hapo zamani naishiwa nguvu.

Ngoja niwe case study.
Nikiwa shule nilikuwa nikijiona mbali sana, sio utani nilifikiri mimi ni mtu ambaye ningetoboa mapema mno.

Mimi sikuwa mtu wa kujifunza jambo mara mbili. Na kila kitu nilikuwa nikifanya vizuri Kwa ustadi wa hali ya juu.
Nilijifunza stadi mbali mbali nikawa nafikiri zitanikwamua.

Kuna zile clubs za shule za masomo, elimu ya jinsia na mahusiano pamoja na zile za mazingira. Zote nilikuwa naomb2a kuwa kiongozi. Nikikuwa na ushawishi mkubwa, nilikuwa ni mfano wa mwanagunzi hodari sana.

Kama nikikuambia baada ya chuo kikuu naishije utashangazwa.

Kuna wakati najiuliza maisha yako mfumo wa "kisengelenyuma" najutia skills zote nilizonazo, naumizwa na muda niliotumia kulala macho nikisoma, nakumbuka starehe nilizozikosa nikiweka mbele masomo na taaluma.

Wanasena elimu ni amali isiyochuja thamani. Ila tulijifunza pia kuwa muda ndio kipimo na usahihi.

Uzi tayari, karibuni wahanga wenzangu tuilaumu serikali
 
Mie niko tofauti kidogo Mkuu. Kwanza nashukuru Mungu kwa kunifikisha hapa nilipo. Mie ni kama wewe tofauti ni kwamba mie nilikua mtukutu kiasi shuleni ila darasani na kwenye stadi za shule kama shamba nilikua hodari sana, hasa katika Masomo ya hisabati na ndio sababu ya mie kujiita hili jina Numerali

Juhudi zangu zangu za kuipenda Hisabati ilipelekea mimi kuparangana na kupata kazi haraka sana nilipomaliza tu chuo kikuu, na hisabati imekua sehemu ya maisha yangu na siwezi ilaumu serikali hata kidogo, japo sijawahi hata kufanya kazi serikalini.

Shuleni tulikua tunalima sana asee, hii pia imenifanya kilimo kuwa sehemu ya maisha yangu na kina nipa matokeo chanya.

Nashauri vijana tusome/tufanye vitu kwa juhudi kutoka moyoni "yaani ile kitu roho inapenda" na sio kwasababu mtu flani kakuambia kuwa kinalipa na blabla nyingi.
 
Mie niko tofauti kidogo Mkuu. Kwanza nashukuru Mungu kwa kunifikisha hapa nilipo. Mie ni kama wewe tofauti ni kwamba mie nilikua mtukutu kiasi shuleni ila darasani na kwenye stadi za shule kama shamba nilikua hodari sana, hasa katika Masomo ya hisabati na ndio sababu ya mie kujiita hili jina Numerali

Juhudi zangu zangu za kuipenda Hisabati ilipelekea mimi kuparangana na kupata kazi haraka sana nilipomaliza tu chuo kikuu, na hisabati imekua sehemu ya maisha yangu na siwezi ilaumu serikali hata kidogo, japo sijawahi hata kufanya kazi serikalini.

Shuleni tulikua tunalima sana asee, hii pia imenifanya kilimo kuwa sehemu ya maisha yangu na kina nipa matokeo chanya.

Nashauri vijana tusome/tufanye vitu kwa juhudi kutoka moyoni "yaani ile kitu roho inapenda" na sio kwasababu mtu flani kakuambia kuwa kinalipa na blabla nyingi.
Afadhali yako wewe Numerali
 
FB_IMG_16459431947648772.jpg
 
Habari za wikiend

Naomba nianze.

Zamani nilikuwa nikiamini kadir8 ninavyozidisha juhudi kunoa ubongo wangu, kuelewa mambo kwa haraka zaidi, kupata stadi nyingi zaidi ndio nazidi kujiwekea unafuu wa maisha hapo baadae.

Sasa imekuwa kinyume, habari hiyo ilikuwa zamani, hivi sasa mambo ni tofauti.

Kuna wakati huwa najiuliza huenda ni kutokana na mifumo yetu ya elimu, au mfumo mama wa jamii. Sijaelewa bado.

Napiga taswira ya matokeo ya juhudi za kila aliyejituma katika taaluma hapo zamani naishiwa nguvu.

Ngoja niwe case study.
Nikiwa shule nilikuwa nikijiona mbali sana, sio utani nilifikiri mimi ni mtu ambaye ningetoboa mapema mno.

Mimi sikuwa mtu wa kujifunza jambo mara mbili. Na kila kitu nilikuwa nikifanya vizuri Kwa ustadi wa hali ya juu.
Nilijifunza stadi mbali mbali nikawa nafikiri zitanikwamua.

Kuna zile clubs za shule za masomo, elimu ya jinsia na mahusiano pamoja na zile za mazingira. Zote nilikuwa naomb2a kuwa kiongozi. Nikikuwa na ushawishi mkubwa, nilikuwa ni mfano wa mwanagunzi hodari sana.

Kama nikikuambia baada ya chuo kikuu naishije utashangazwa.

Kuna wakati najiuliza maisha yako mfumo wa "kisengelenyuma" najutia skills zote nilizonazo, naumizwa na muda niliotumia kulala macho nikisoma, nakumbuka starehe nilizozikosa nikiweka mbele masomo na taaluma.

Wanasena elimu ni amali isiyochuja thamani. Ila tulijifunza pia kuwa muda ndio kipimo na usahihi.

Uzi tayari, karibuni wahanga wenzangu tuilaumu serikali
Wenyewe wanasemaga "koneksheni iz everithing"
 
Graduates bailisheni mtazamo mambo yamebadilika sikuhizi hakuna tena ajira za serikalini za mamia na mamia kama ilivyokua zamani zile.

Nw soma ukijua kitaa kinakusubiri so pambana kutoboa kitaa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mbiu hii ni kwa ajili ya wadogo zetu wanaongoja mock ya darasa la nne.

Na bila shaka hawamo humu. Tuzungumzie sisi "wahanga"
 
Back
Top Bottom