mtoto mdogo sana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 460
- 1,337
Habari za wikiend
Naomba nianze.
Zamani nilikuwa nikiamini kadir8 ninavyozidisha juhudi kunoa ubongo wangu, kuelewa mambo kwa haraka zaidi, kupata stadi nyingi zaidi ndio nazidi kujiwekea unafuu wa maisha hapo baadae.
Sasa imekuwa kinyume, habari hiyo ilikuwa zamani, hivi sasa mambo ni tofauti.
Kuna wakati huwa najiuliza huenda ni kutokana na mifumo yetu ya elimu, au mfumo mama wa jamii. Sijaelewa bado.
Napiga taswira ya matokeo ya juhudi za kila aliyejituma katika taaluma hapo zamani naishiwa nguvu.
Ngoja niwe case study.
Nikiwa shule nilikuwa nikijiona mbali sana, sio utani nilifikiri mimi ni mtu ambaye ningetoboa mapema mno.
Mimi sikuwa mtu wa kujifunza jambo mara mbili. Na kila kitu nilikuwa nikifanya vizuri Kwa ustadi wa hali ya juu.
Nilijifunza stadi mbali mbali nikawa nafikiri zitanikwamua.
Kuna zile clubs za shule za masomo, elimu ya jinsia na mahusiano pamoja na zile za mazingira. Zote nilikuwa naomb2a kuwa kiongozi. Nikikuwa na ushawishi mkubwa, nilikuwa ni mfano wa mwanagunzi hodari sana.
Kama nikikuambia baada ya chuo kikuu naishije utashangazwa.
Kuna wakati najiuliza maisha yako mfumo wa "kisengelenyuma" najutia skills zote nilizonazo, naumizwa na muda niliotumia kulala macho nikisoma, nakumbuka starehe nilizozikosa nikiweka mbele masomo na taaluma.
Wanasena elimu ni amali isiyochuja thamani. Ila tulijifunza pia kuwa muda ndio kipimo na usahihi.
Uzi tayari, karibuni wahanga wenzangu tuilaumu serikali
Naomba nianze.
Zamani nilikuwa nikiamini kadir8 ninavyozidisha juhudi kunoa ubongo wangu, kuelewa mambo kwa haraka zaidi, kupata stadi nyingi zaidi ndio nazidi kujiwekea unafuu wa maisha hapo baadae.
Sasa imekuwa kinyume, habari hiyo ilikuwa zamani, hivi sasa mambo ni tofauti.
Kuna wakati huwa najiuliza huenda ni kutokana na mifumo yetu ya elimu, au mfumo mama wa jamii. Sijaelewa bado.
Napiga taswira ya matokeo ya juhudi za kila aliyejituma katika taaluma hapo zamani naishiwa nguvu.
Ngoja niwe case study.
Nikiwa shule nilikuwa nikijiona mbali sana, sio utani nilifikiri mimi ni mtu ambaye ningetoboa mapema mno.
Mimi sikuwa mtu wa kujifunza jambo mara mbili. Na kila kitu nilikuwa nikifanya vizuri Kwa ustadi wa hali ya juu.
Nilijifunza stadi mbali mbali nikawa nafikiri zitanikwamua.
Kuna zile clubs za shule za masomo, elimu ya jinsia na mahusiano pamoja na zile za mazingira. Zote nilikuwa naomb2a kuwa kiongozi. Nikikuwa na ushawishi mkubwa, nilikuwa ni mfano wa mwanagunzi hodari sana.
Kama nikikuambia baada ya chuo kikuu naishije utashangazwa.
Kuna wakati najiuliza maisha yako mfumo wa "kisengelenyuma" najutia skills zote nilizonazo, naumizwa na muda niliotumia kulala macho nikisoma, nakumbuka starehe nilizozikosa nikiweka mbele masomo na taaluma.
Wanasena elimu ni amali isiyochuja thamani. Ila tulijifunza pia kuwa muda ndio kipimo na usahihi.
Uzi tayari, karibuni wahanga wenzangu tuilaumu serikali