Wahanga wenzangu, njoeni tuilaumu Serikali

Elimu ambayo haiwezi kukukwamua kwenye lindi la umaskini basi ni sawa na bure. Msukuma kaelimika zaidi na PhD yake ya mchongo
Sijawah kujivunia elimu niliyonayo. Kuna watu huwa wanasema nijivunie kusoma chuo kikubwa, elimu hii.
Sasa mm nashangaa, nijivunie kwa lipi wakati jua kali mifukoni
 
Lengo moja wapo la elimu ni kujua kosoma na kuandika.

Mnao ilaumu serikali mtakuwa mlidili na lengo hilo moja tu Hapo juu saivi mnajua kusoma na kuandika tu, ila hamna hela au akili, au vyote kwa pamoja.
 
Tatizo ni kwamba hawakutuambia lolote wakati tunasoma.Kinachouma zaidi ni zile siku ambazo hatukulala usiku ili tukeshe tukipiga msuli,miaka kibao yani.
Wengine wazazi hawakuwa na kitu,walivyofanya mpaka tukapata hiyo elimu ni Mungu pekee ndo anayejua.halafu umemaliza kusoma anategemea sasa mwanangu ananikomboa unakuta kazi huna unahangaika na machungwa jioni una buku mbili tu ambayo haikutoshi hata kula mwenyewe unamsaidiaje huyo mzazi.Elimu ya bongo ni u.... Tu
 
Tatizo ni kwamba hawakutuambia lolote wakati tunasoma.Kinachouma zaidi ni zile siku ambazo hatukulala usiku ili tukeshe tukipiga msuli,miaka kibao yani.
Wengine wazazi hawakuwa na kitu,walivyofanya mpaka tukapata hiyo elimu ni Mungu pekee ndo anayejua.halafu umemaliza kusoma anategemea sasa mwanangu ananikomboa unakuta kazi huna unahangaika na machungwa jioni una buku mbili tu ambayo haikutoshi hata kula mwenyewe unamsaidiaje huyo mzazi.Elimu ya bongo ni u.... Tu

Kuna watu hawaelewi uhalisia.

Mm mfumo huu unaniumiza mno
 
Lengo moja wapo la elimu ni kujua kosoma na kuandika.

Mnao ilaumi serikali mtakuwa mlidili na lengo hilo moja tu Hapo juu saivi mnajua kusoma na kuandika tu, ila hamna hela au akili, au vyote kwa pamoja.
Kusoma na kuandika ni stadi inayofundishwa mashuleni kwa miaka miwili ya mwanzo wa masomo.

Imagine sisi mpaka kumaliza degree ya kwanza tumepigika miaka 18.
Ukiondoa hiyo 2 ya kujifunza kusoma na kuandika. Miaka 16 tulikuwa tukijifunza nini?
 
Kusoma na kuandika ni stadi inayofundishwa mashuleni kwa miaka miwili ya mwanzo wa masomo.

Imagine sisi mpaka kumaliza degree ya kwanza tumepigika miaka 18.
Ukiondoa hiyo 2 ya kujifunza kusoma na kuandika. Miaka 16 tulikuwa tukijifunza nini?
Hiyo miaka 16 baada ya kujua kusoma na kuandika ndo inadili na malengo mengine ya elimu ambayo sijayataja.

Pia kusoma na kuandika hatujifunzi kwa miaka miwili tu,
 
Back
Top Bottom