Wahamiaji 14 wafa maji kisiwa cha Mafia

Wahamiaji 14 wafa maji kisiwa cha Mafia

Mitumbwi na boti ndogo kwenye delta ya Nyamisati (sehemu ya Delta ya Mto Rufiji) inapoteza mwelekeo mara kwa mara kutokana na mabadiliko makubwa ya mawimbi ya bahari (tides), kuwepo kwa vijia vingi vya maji vinavyoshonana (maze of channels), nguvu ya mikondo ya maji inayokutana, na mabadiliko ya mara kwa mara ya kingo za mchanga (sandbanks). Delta ya Rufiji ni moja kati ya mifumo mikubwa na migumu zaidi ya mikoko barani Afrika

Dah! Nilipoteza mshikaji wangu hapo, alikuwa na wazungu, hata maiti zao hazikupatikana mpaka leo. Nahodha yeye ndio walimkuta mwambao amezima.
 
Back
Top Bottom