Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
ndugu zangu wana jf,ni jana tu nilitoka kumtizama ndugu yangu katika hospitali ya taifa ya muhimbili,ndipo nilishuhudia jambo amalo naliwaza na kuwazua pasipo kuelewa umuhimu wa serikali yetu
wagonjwa wamelazwa chini kutokana na upungufu wa vitanda wodini,yaani idadi ya wagonjwa ni kubwa kuliko vitanda vilivyopo
kitu ninachojiuliza hivi kweli hayo ndo maisha bora kwa kila mtanzania?au ndo nguvu zaidi kazi zaidi na ari zaid? kwa kweli hali ya hapo hospiltalini inachefua siwezi hata kusimulia
hizo ahadi za kujenga reli na viwanja vya ndege kwanini hiyo bajeti isiingizwe kwenye sekta ya afya kufanya maboresho? cant tell anymore wana jf nisaidieni
wagonjwa wamelazwa chini kutokana na upungufu wa vitanda wodini,yaani idadi ya wagonjwa ni kubwa kuliko vitanda vilivyopo
kitu ninachojiuliza hivi kweli hayo ndo maisha bora kwa kila mtanzania?au ndo nguvu zaidi kazi zaidi na ari zaid? kwa kweli hali ya hapo hospiltalini inachefua siwezi hata kusimulia
hizo ahadi za kujenga reli na viwanja vya ndege kwanini hiyo bajeti isiingizwe kwenye sekta ya afya kufanya maboresho? cant tell anymore wana jf nisaidieni