Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

chama mpangala

JF-Expert Member
Sep 3, 2015
508
704
Kuna taarifa zinasambaa ambapo inasemekana wagonjwa wa COVID-19 walikuwa wamelazwa hopitali ya AMANA wamevunja Geti na kutoroka.

Inasemekana hii ni kutokana na kutelekezwa bila ya kupatiwa huduma na kutelekezewa maiti hospitalini.

Mwenye update kamili atujuze mimi nimepata Clip za Audio nimeshindwa kuziweka hapa.

Nambiwa wanapanda magari sasa sijui wanarudi makwao au wanaenda wapi!?

Mungu atunusuru kwakweli.
---

UPDATES MWANANYAMALA

Wagonjwa waleta vurugu


Wagonjwa hao wa corona wamedai wamechoka kukaa hospitalini hapo na sasa wanapiga makelele waruhusiwe waondoke.

UPDATE

Mkuu wa Wilaya Ilala ambayo ndiyo Wilaya yenye Hospitali ya Amana amethibitisha wagonjwa kutaka kuondoka ili wakajitibie nyumbani. Zaidi soma > Ilala: DC Sophia Mjema athibitisha wagonjwa wa COVID-19 hospitali ya Amana kuleta fujo na kutaka kuondoka wakajitibie nyumbani
 
nawakaribisha ... waambie waje kwa AvatarView attachment 1427366

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200422-233932-1.jpg
 
Back
Top Bottom