chama mpangala
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 508
- 704
Kuna taarifa zinasambaa ambapo inasemekana wagonjwa wa COVID-19 walikuwa wamelazwa hopitali ya AMANA wamevunja Geti na kutoroka.
Inasemekana hii ni kutokana na kutelekezwa bila ya kupatiwa huduma na kutelekezewa maiti hospitalini.
Mwenye update kamili atujuze mimi nimepata Clip za Audio nimeshindwa kuziweka hapa.
Nambiwa wanapanda magari sasa sijui wanarudi makwao au wanaenda wapi!?
Mungu atunusuru kwakweli.
---
UPDATES MWANANYAMALA
Wagonjwa waleta vurugu
Wagonjwa hao wa corona wamedai wamechoka kukaa hospitalini hapo na sasa wanapiga makelele waruhusiwe waondoke.
UPDATE
Mkuu wa Wilaya Ilala ambayo ndiyo Wilaya yenye Hospitali ya Amana amethibitisha wagonjwa kutaka kuondoka ili wakajitibie nyumbani. Zaidi soma > Ilala: DC Sophia Mjema athibitisha wagonjwa wa COVID-19 hospitali ya Amana kuleta fujo na kutaka kuondoka wakajitibie nyumbani
Inasemekana hii ni kutokana na kutelekezwa bila ya kupatiwa huduma na kutelekezewa maiti hospitalini.
Mwenye update kamili atujuze mimi nimepata Clip za Audio nimeshindwa kuziweka hapa.
Nambiwa wanapanda magari sasa sijui wanarudi makwao au wanaenda wapi!?
Mungu atunusuru kwakweli.
---
UPDATES MWANANYAMALA
Wagonjwa waleta vurugu
Wagonjwa hao wa corona wamedai wamechoka kukaa hospitalini hapo na sasa wanapiga makelele waruhusiwe waondoke.
UPDATE
Mkuu wa Wilaya Ilala ambayo ndiyo Wilaya yenye Hospitali ya Amana amethibitisha wagonjwa kutaka kuondoka ili wakajitibie nyumbani. Zaidi soma > Ilala: DC Sophia Mjema athibitisha wagonjwa wa COVID-19 hospitali ya Amana kuleta fujo na kutaka kuondoka wakajitibie nyumbani