Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,888
- 15,327
Kiongozi wa Wagner amesema zoezi la kumkabidhi Biden mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa wakiipigania Bakhmut isikombolewe limeanza. Katika mchakato huo, ameanza na mabaki ya mwili wa Nikolas Maimer, mwanajeshi wa Marekani wa Special forces aliyeuliwa na Wagner huko Bakhmut akipigana upande wa Ukraine.
Salamu za rambirambi zimfikie MK254
=======
Salamu za rambirambi zimfikie MK254
=======