johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,028
Uongozi wa Hamas imesema wametoa OFA kwa Israel ya mabadilishano ya Wafungwa wa Kipalestina na miili ya Wanajeshi wa IDF waliouawa vitani lakini Wayahudi hao wamekataa
Hamas wamesema Ofa yao bado ipo
Source Al jazeera news
Hamas wamesema Ofa yao bado ipo
Source Al jazeera news