Bakhmut (Ukrainian: Бахмýт, IPA: [bɐx'mut]), also known as Artemivsk (Ukrainian: Артемівськ) or Artyomovsk (Russian: Артёмовск), is a city in eastern Ukraine. It serves as the administrative center of Bakhmut Raion in Donetsk Oblast. It is located on the Bakhmutka River, about 89 kilometres (55 mi) north of Donetsk, the administrative center of the oblast. Bakhmut was designated a city of regional significance until 2020 when the designation was abolished. Population: 71,094 (2022 est.).Bakhmut was the capital of Slavo-Serbia (1753–1764), which was established by mainly Serbian frontiersmen. In 1920–1924, the city was an administrative center of Donets Governorate of the Ukrainian SSR.
During the 2022 Russian invasion of Ukraine, Bakhmut was besieged by Russian forces and largely destroyed, with most of its population having fled. As of March 2023, Ukrainian forces remain in control of the city, which is an epicentre of fierce fighting, as Russian forces battle to take control.
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia. Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.
Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu...
Muda itabidi waachiwe pakutokea....
===========
Ukraine forces have retaken land near Bakhmut from Russia, Kyiv says
Ukrainian forces have recaptured the heights over Bakhmut and are successfully encircling Russian troops in the city, a defence minister in Kyiv has said.
Hanna Maliar also...
Yaani mpaka unamfikia kumuua kamanda utakua umefagia wanajeshi kama senene...jameni Urusi nani atawaokoa...
Enzi za kunyang'anyana ardhi ziliisha, hatupo kwenye zama za kale ambapo mvamizi alikua anavamia na kujimegea, leo hii ramani zilishachorwa na kila mtu anaijua nchi yake na mipaka yake...
Bakhmut inandelea kuwa kichinjio cha Warusi, wamefia sana pale na wanasogeshwa nyuma, hivi kwenye vitabu vyao vya historia, itaandikwa walifia nini hapo Bakhmut maana hivi karibuni wataondolewa kabisa, wamekufa zaidi ya 100,000
After the successful offensive actions, the Armed Forces of Ukraine...
Ukrainian servicemen of the 10th Mountain Assault Brigade "Edelweiss" shift position after firing rockets from a BM-21 'Grad' multiple rocket launcher towards Russian positions, near Bakhmut in the Donetsk region
Snapshot
Ukraine claimed to have the “strategic initiative” near Bakhmut with...
Ikumbukwe Warusi walikufa zaidi ya 60,000 huku wengi wakiwa wapiganaji wa Wagner kipindi walikua wanajaribu kuteka mji wa Bakhmut, kiongozi huyu alijitangazia ushindi na kuondoka na kuacha wanajeshi wa Urusi wakijipambania, sasa amehamaki sana baada ya taarifa kumfikia kwamba maeneo mengi...
Wanajeshi 20,000 wa kundi la mamluki la Wagner la Russia waliuawa katika vita vya miezi kadhaa vya kuudhibiti mji wa Bakhmut mashariki mwa Ukraine, mwanzilishi wake amesema.
Yevgeny Prigozhin alisema amewaandikisha wafungwa wapatao 50,000 kupigana na Wagner katika vita vya Russia nchini Ukraine...
Vita vimechacha Bakhmut, wanajeshi wa Ukraine wanaendelea kupeleka moto huku Wagner wakiharakisha kutoka baada ya kujitangazia ushindi.......wanajeshi wa Urusi watachinjwa sana maana waliokolewa na "mizoga" ya Wagner ambao walikua wanakufa kama chambo.
==========================
On 25 May, on...
Kiongozi wa Wagner amesema zoezi la kumkabidhi Biden mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa wakiipigania Bakhmut isikombolewe limeanza. Katika mchakato huo, ameanza na mabaki ya mwili wa Nikolas Maimer, mwanajeshi wa Marekani wa Special forces aliyeuliwa na Wagner huko Bakhmut...
Wagner forces have begun withdrawing from Bakhmut and will hand over positions to the Russian army, says the mercenary group’s chief Yevgeny Prigozhin, having claimed to have captured Ukraine’s eastern city.
Russia’s security service announces the arrest of two Ukrainians suspected of planning...
Hii vita imefika pahala ni akili zaidi. Urusi anajua anapambana na mtu ambaye anasaidiwa na kundi kubwa la watu wanaotaka wamuangamize. Hivyo anajuwa anapewa silaha na taarifa nying za kijasusii. Imebidi na yeye asitumie silaha peke yake aongezee na hadaa za hali ya juu.
Mtu aliyetumika...
"Kuna sababu kadhaa, kwanza wanahitaji angalau ushindi wa mbali, kwa sababu tayari wameifedhehesha dunia nzima wakati hawana uwezo wa kuchukua kituo cha mkoa kwa zaidi ya miezi 9
Cherevaty, in an interview with Ukraine's Radio NV, said there are two significant reasons why Prigozhin appears to...
Warusi wanaendelea kupokea kichapo huku wakitoroka......
Jana yote JF haikukalika pro-Russia waliposheherekea tamko la yule mzee kicha kiongozi wa Wagner...
Ukraine has pushed back against Russian forces in the city of Bakhmut, retaking a number of buildings, a Ukrainian armed forces spokesman...
Zelensky anatia huruma, hataki kuamini kuwa habari za kutekwa Bukhmut ni halisi!! Anatamani iwe ni kama ndoto ili atakapotoka usingizini aseme Ah! kumbe ni ndoto tu. Lakini huo ndio ukweli, aliwekeza nguvu zake zote kuilinda ngome yake kubwa ya Bukhmut.
Wakati msaidizi wake amekubali kuwa...
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.
Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.
Katika miji hii...
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.
Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa...
Muziki wa Bakhmut bado tena sana tu, kwanza Ukraine waanza kuzingira Mashariki...hehehe huku Putin akiingizwa mkenge na Wagner na kukimbilia kutoa hongera, hii aibu sana kwa supapawa
Ukrainian forces have partly encircled the besieged eastern city of Bakhmut along the flanks and still maintain...
Kuna siku walisimika bendera usiku wakasema wameiteka Bakhmut yote, siku chache kiongozi wao akaanza kulia lia silaha, akaahidiwa silaha, juzi ghafla akasema wanajeshi wa Urusi wanakimbia mapambano na kwamba hii itasababisha Wagner kuzingirwa, huyu leo ameibuka na kusema Bakhmut yote wameichukua...
Kesho Zelensky atahudhuria kikao cha G7 akiwa na taarifa mbaya za kutekwa mji ambao aliweka ngome yake uitwao Bakhmut.
Key Donbass city fully liberated – Moscow
Artyomovsk, also known as Bakhmut, has been captured, the Russian Defense Ministry confirmed
Fighters from the Wagner PMC in...
Mapigano ya Bakhmut nimeyafuatilia kwa kina bila Upendeleo wowote ule. Ukweli uko hivi:
1.Wapiganaji wa WAGNER kazi yao ni kuuteka mji wa Bakhmut(City centre) wakitokea Mashariki mwa Dotnesk.
2.Wanajeshi wa Urusi (Russia Regular Army) walipewa kazi mbili:
(i) Kuteka vijiji vote vinavyouzunguka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.